Nina wasiwasi na mke wangu...

Kwa hiyo alienda kusukumiwa mb oo?
 
Akili hiyo hakuwa nayo kwa wakati huo
 
Kwahyo ata alivyofk hujaongea na ndugu wa dom au Zanzibar

Hajakup muda wa kusalimia, mwambie abeb asali na mafut ya alzet
 

Wanaume tupo wachache sana! Naona mwanamke anajua ulivyo legevu mpaka anafanya anavyoona yeye ni sawa!
 
Mtoa uzi pole sana ila unaonekana huwa huna authority ndani ya nyumba yako, ni type ya wanaume wanaoendeshwa na wanawake.

Hivi dada zake walishindwa kukupigia simu ww kukwambia kuwa wanamuhitaji mdogo wao kwa siku kadhaa na ni lazima wakupe taarifa kuwa wanamuhitaji kwa lipi?!

Inaonekana huyo binti wa kinyaturu/kinyiramba amekutawala mno ila sishangai kwasababu wanawake wa mkoa wa singida hupenda kuwa juu ya waume zao.

Pole sana.
 
K
Kwann hao mashemeji hawakukupigia simu kukuomba ruhusa mkuu wa kaya?!
 
Mkeo amekupanda kichawani, ama ana kazi nzuri kuliko wewe, pengine elimu yako ni ndogo kuliko yeye au pesa anazo kukushinda wewe. Hana maamuzi kama mwanaume ndani ya familia kifupi unabiruzwa na mkeo.

Be a man kataa upumbavu upumbavu kama huo ndani ya familia mwanamke anapangaje safari kinamna hiyo na wewe unakubali kubali tu.
 
Kwa hiyo alienda kusukumiwa mb oo?
Anajua mwenyewe,mwili wake mbususu yake,ananyonyesha bado .Nilishajiapia siwezi jipa stress na maana shetani hajawahi Acha kuwadanganya hadi kesho.
 
E bana wife kasharudisha kiporo baada ya kugongwa.
Tupe maneno
 
Utaharibu movie sasa joa😆🤣🤣
 
Yani pia alivokwambia kakosa gari unakuta Yuko zake Dom sa nyingi sana anasubiri kesho ndo akwambie anashuka Dom hapo kashalala siku nzima

Nakumbuka nishawahi lala na mke wa mtu hivi hivi alienda kikazi sehemu wangekaa 3days ..ila akaomba ruhusa anajisikia vibaya hivo atangulie kuwaacha siku moja kabla me akapitia geto akalala kesho yake kaenda kwake kuwa ndo wamerudi🤔 jamaa ake sidhani Kama aliwahi kujua yule mwanamke anaeza mfanyia vile

Nawaogopa sana hawa viumbe
 
Nyie mnadate au mmeoana ?

Mke ukishamuweka ndani Yuko juu yako hakuna Cha ndugu Wal mavi ya ndugu ,, ndo Mana anatumia ubini wako
 
Ila uache uzwazwa, wana shida na mkeo wwakupigie wewe kumuombea ruhusa,safari ya kindezi kama hizo kwako full stop.
Au akirudi amuulize kimafumbo kumuonesha Kama kugundua kitu like

Haya hicho ndo nafsi yako ilikuwa inataka ndo irdhike, Kama bado nikupende nauli Tena uende dom
 
Ticket ataona unazingua,

Nakumbuka Kuna manzi mmoja aliwahi nidanganya Yuko sehemu flani anakuja ....kumbe Yuko mjini naona kafikia sehemu siku moja au mbili kabla kesho yake ananambia ndo anatoka mkoa X namuuliza bus gani hajui anasema Mara jekundu .

Unfortunately mabus nayajua vizuri nikamwambia mbna hamnaga bus jekundu hii njia akanambia kwani unajua mabus yote nikamwambia of course, Mara akanitajia kampuni X hapa naona aliulizia kwa mtu , Napo nikamjibu ni lipi umepanda akasema la kwanza, nikamuuliza kwa hio Hilo bus ni jekundu unavoona? Akajibu nilichanganya rangi, nikampa kazi ndogo anitajieherufi za gari kwenye plate ..like DPM,DJS,DPK

Hii sector alishindwa et haoni 😁 kituko location Kuna sehemu alinambia yupo after 1hr anasema kafika sehemu flani ambapo Kuna 167km Sasa wako na bus 1hr nikaona napigwa hapa, kidogo kafika ananukia kaoga vizuri naona Yani alivo ni hakupanda bus siku hio ni kwamba alikuwa town Tu analiwa sehemu
 
Kuna vitu viwili hapa , hii ni chai umeamua tu kuchangamsha jukwaa au huyo kakuzidi kipato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…