Nina wasiwasi na mke wangu...

Nina wasiwasi na mke wangu...

Akirudi afanye haya?;
1. Omba simu yake kwa kushtukiza
2. Apewe tiketi
Vinginevyo akague hilo beseni down akikuta limetepeta baasi
[emoji1787][emoji23] et beseni
 
Habar wana JF,
Naimani mko wazima.

Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.

Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.

Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.

Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.

Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.

Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.

Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.

Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.

Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.

Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.

Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
Tatizo lilianza mapema pale ambapo "hukutaka kudoubt"
 
Hii ifanye imeshapita kubali matokeo kuwa ni 3-0 ila nikufundishe kitu, muonja asali huwa haonji mara moja, atarejea tena kukuomba ruhusa kama hiyo wakati mwingine.

NINI UFANYE?

Mruhusu aende kwao wala usioneshe kuwa umestuka au una wasiwasi wowote, akiondoka kama Dar alfajiri basi saa 12 jioni atakuwa kashaingia Singida. Msubiri saa 1 usiku hv ...mpigie simu uongee nae halafu mwambie amkabidhi simu dada yake au ndugu zake waliopo hapo usalimiane nao kwa kupitia simu yake....au wapigie simu shemeji zako uongee nao halafu waambie kuwa wamkabidhi simu ndugu yao maana umemtafuta humpati.Ukiweza kuongea nae utajua kuwa yupo kweli singida kama hujampata jua kuwa hayupo hapo .
 
Mkuu nilimruhusu sababu yakusema ameitwa na dadazake but haijulikani nini shida kwakuwa ni familia yake nikamruhu aende ili tujue nini shida huko
Kwani wewe na dada zake nani ndo Mume? Acha kuwa mpumbavu, mwanamke akishaolewa hata wazazi wake hawana mamlaka nae ni mali ya mwanaume hiyo.

hata wazazi wake wakimuita ukiona ni upuuz na hakuna ulazima unamkataza hakuna kwenda na hawana la kufanya juu yako. Ukiona wanaleta unamfukuza mtoto wao wamuoe wenyewe.. mwanaume unapaswa kuwa na misimamo ktk nyumba yako.hata wazazi wako hawana mamlaka ya maamuzi ya familia yako
 
Hapana mkuu huwa naamua lakini hii sikutaka ku doubt coz nikimkataliga safar analalamika na kuona namuonea lakini pia nikwasababu tu kaeleza kuwa kaitwa na hajui nini shida kwa heshima tu za mashemeji nikamuacha aende ili akirud anieleze vizur hicho kilichomfanya akaitwa huko
Huna namba za shemeji zako? Ni kweli ana dada zake wanaoishi singida? Mwisho, mkeo ni mtu wa kabila gani? Tusijekuwa tunaongea mambo ya ushemeji hapa
 
Hii ifanye imeshapita kubali matokeo kuwa ni 3-0 ila nikufundishe kitu, muonja asali huwa haonji mara moja, atarejea tena kukuomba ruhusa kama hiyo wakati mwingine.

NINI UFANYE?

Mruhusu aende kwao wala usioneshe kuwa umestuka au una wasiwasi wowote, akiondoka kama Dar alfajiri basi saa 12 jioni atakuwa kashaingia Singida. Msubiri saa 1 usiku hv ...mpigie simu uongee nae halafu mwambie amkabidhi simu dada yake au ndugu zake waliopo hapo usalimiane nao kwa kupitia simu yake....au wapigie simu shemeji zako uongee nao halafu waambie kuwa wamkabidhi simu ndugu yao maana umemtafuta humpati.Ukiweza kuongea nae utajua kuwa yupo kweli singida kama hujampata jua kuwa hayupo hapo .
Hakuna haja ya kuhangaika na upuuzi huo, malaya kama huyo hajui thaman ya kuwekwa ndani piga chini
 
Wanaume wote wa jf wana authority kwa wake zao kasoro huyu mwamba.
Yaani wake zao hawaendi kwao bila mtu wa kwao kumuomba ruhusa mume🤣🤣🤣🤣. Mpo vizuri.
Hatutaki ujinga sie wanaume wa jf
 
Akirudi afanye haya?;
1. Omba simu yake kwa kushtukiza
2. Apewe tiketi
Vinginevyo akague hilo beseni down akikuta limetepeta baasi
Adai tiketi zote na aulize mashemeji zake inshort mali imeliwa
 
Hapana mkuu huwa naamua lakini hii sikutaka ku doubt coz nikimkataliga safar analalamika na kuona namuonea lakini pia nikwasababu tu kaeleza kuwa kaitwa na hajui nini shida kwa heshima tu za mashemeji nikamuacha aende ili akirud anieleze vizur hicho kilichomfanya akaitwa huko
Mmmmmhhhhhhh


Shemeji zako wanamwita mkeo hawakwambii wewe na kinatosha walichokiongea wao!! Kwanini wasikupigie Simu na kukujulisha A to Z ya hicho wanachohitaji kuongea na ndugu yao???

Kulingana na maelezo SAFARI YA MKEO ILIKUWA-CONTROLLED na Mtu mwingine.... Ingawa hujaeleza unakaa mkoa gani LAKINI kwa safari serious huwa zinaanza asubuhi na mapema....

LAKINI NI DHARAU YA HALI YA JUU KUMWAGA MWENZA WAKO KIENYEJI HIVYO.... Chunguza itakuwa umpata MSAIDIZI kaka yangu...

Kama kweli ana jambo angalia yafuatayo:
1. Umahiri wa kuwa karibu na simu yake na vipassword vipya, au kuipotezea mazima uwapo nyumbani.

2. Kutaongezeka ratiba za visafari vya hapa na pale vya kushitukiza...

3. Kitandani ataanza kuwa mchovu kwa kisingizio cha safari, kazi na mfano wake..

4. Simu yake itakuwa chanzo kikubwa cha FURAHA....

KWETU WANAWAKE AKIANZA KUCHEPUKA KAMA HAIKUWA TABIA YAKE BASI SIYO NGUMU KUGUNDUA KWA MWANAUME MAKINI.

Kwa masilahi ya FAMILIA NA WATOTO akikiri msamehe na muongezee dozi kitandani na mlee watoto maana HATUTAKI UJE UTELETEE VISA VYA MKEO[MAMA WA KAMBO] KUWANYANYASA WANAO.
 
Mwanamke umleavyo ndivyo aishivyo na wewe,

Hizo taabu umezitengeneza mwenyewe, maana kwenye ndoa inabidi WEWE NDIO UWE MUAMUZI WA MWISHO, NA WEWE NDIO WA KUMRUHUSU AENDE AU ASIENDE
 
Wanaume wote wa jf wana authority kwa wake zao kasoro huyu mwamba.
Yaani wake zao hawaendi kwao bila mtu wa kwao kumuomba ruhusa mume[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mpo vizuri.
Demi mimi na comment wapi maana bado sijaoa
 
Back
Top Bottom