Dah we acha tu kuna demu alishawahi kuongea na bwana ake kuwa yupo kikazi mkoani kumbe yupo zake gesti tena kakalia mlingoti wa chuma...hivi viumbe ni vya kuviogopa aisee, vikiamua kukusaundisha huwezi kuchomoka. Kikubwa tuishi nao kwa akili. Unaweza kumchunga asitoke na bado akamleta bwana ake humo humo ndani mwako wakati upo kazini na akagegedwa!!
Watu wanaofanya kazi maofisini (waajiriwa wa serikali na sekta binafsi) wanagongewa sana kwa style hiyo. Kwasababu muda wao wa kurudi home unakuwa predictable.