Nina wasiwasi sana kwa 'Kiherehere' cha Tanzania Kukubali kuwa Kituo cha Mapambano ya Ugaidi Afrika

Nina wasiwasi sana kwa 'Kiherehere' cha Tanzania Kukubali kuwa Kituo cha Mapambano ya Ugaidi Afrika

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nina Kumbukumbu ya nchi kadhaa barani Afrika ( ikiwepo Kenya ) na hata za huko Kwingineko duniani zilizokuwa na 'Kiherehere' cha kuwa Vinara wa Upambanaji wa Ugaidi duniani jinsi ambapo ziligeuka kuwa 'Target' ya Mashambulizi ya Makundi ya Ugaidi yaliyopelekea Vifo na Uharibifu mwingi.

Je, Mamlaka ya Tanzania imekubali kuwa Kituo cha Mapambano ya Ugaidi ili ipate Pesa nyingi kutoka kwa Mataifa Matajiri na UN ili 'wazipige' au Tanzania ina uhakika kuwa ina Uwezo mkubwa wa Kijeshi, Kiusalama na Kiulinzi Barani Afrika na huenda hata duniani pia?

Nimesikitishwa mno na Maamuzi haya ya 'Kukurupuka' na sasa kwa hiki 'Kiherehere' chetu cha kutafuta Sifa na kutaka kupata Pesa kutoka UN na kwa Mataifa Makubwa na Tajiri tujiandae kuwa 'Target' ya akina IS, Al Shabaab na Al Qaeda ( kama bado wapo ) na wakianza Kutuvizia, Kutupiga na Kutuua tafadhali tusianze kusema kuwa wasababishi wa Matendo hayo ya Ugaidi ni Wanasiasa wetu wa Vyama Vikubwa vya Upinzani nchini Tanzania.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Stegormena Lawrence Tax usingelikubali hili kwa 'Kukurupuka' badala yake ungelipima Kwanza kutokana na Mifano iliyoko ya nchi zilizokuwa na 'Kiherehere' kama hiki chetu jinsi zilivyokiona cha Moto kwa Mashambulizi ya Makundi makubwa ya Ugaidi duniani.

Binafsi nimesikitika mno na ninaogopa!
 
Nina Kumbukumbu ya nchi kadhaa barani Afrika ( ikiwepo Kenya ) na hata za huko Kwingineko duniani zilizokuwa na 'Kiherehere' cha kuwa Vinara wa Upambanaji wa Ugaidi duniani jinsi ambapo ziligeuka kuwa 'Target' ya Mashambulizi ya Makundi ya Ugaidi yaliyopelekea Vifo na Uharibifu mwingi.

Je, Mamlaka ya Tanzania imekubali kuwa Kituo cha Mapambano ya Ugaidi ili ipate Pesa nyingi kutoka kwa Mataifa Matajiri na UN ili 'wazipige' au Tanzania ina uhakika kuwa ina Uwezo mkubwa wa Kijeshi, Kiusalama na Kiulinzi Barani Afrika na huenda hata duniani pia?

Nimesikitishwa mno na Maamuzi haya ya 'Kukurupuka' na sasa kwa hiki 'Kiherehere' chetu cha kutafuta Sifa na kutaka kupata Pesa kutoka UN na kwa Mataifa Makubwa na Tajiri tujiandae kuwa 'Target' ya akina IS, Al Shabaab na Al Qaeda ( kama bado wapo ) na wakianza Kutuvizia, Kutupiga na Kutuua tafadhali tusianze kusema kuwa wasababishi wa Matendo hayo ya Ugaidi ni Wanasiasa wetu wa Vyama Vikubwa vya Upinzani nchini Tanzania.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Stegormena Lawrence Tax usingelikubali hili kwa 'Kukurupuka' badala yake ungelipima Kwanza kutokana na Mifano iliyoko ya nchi zilizokuwa na 'Kiherehere' kama hiki chetu jinsi zilivyokiona cha Moto kwa Mashambulizi ya Makundi makubwa ya Ugaidi duniani.

Binafsi nimesikitika mno na ninaogopa!
Kama sijaelewa elewa hivi!! etii??
 
Nahisi kama tulipaswa kujpima kitendo chetu cha kuwa kituo kikuu cha wapagania uhuru wa Nchi za Afrika

1. Tulifaidika nini?

2.Je tulipata hasara au athari gani?

3. Hayo yametutesa au yalitutesa kwa kiwango gani?

Halafu ndo tuanze na mengine.

Hapa tu UMASKINI UNATUTESA TENA TUONGEZEWE MAUMASKINI MENGINE YA KUTO KULALA NA KUTEMBEA KWA AMANI!! JAMANI???
 
Japo huwa unaandika kimuhemuko mr banned ila ulichoandika ni ukweli.

Sisi nchi za tatu tusijikute viherehere kupambana na maadui wa wakubwa. Wao wenyew wanawachachafya sembuse sisi.
 
Nina Kumbukumbu ya nchi kadhaa barani Afrika ( ikiwepo Kenya ) na hata za huko Kwingineko duniani zilizokuwa na 'Kiherehere' cha kuwa Vinara wa Upambanaji wa Ugaidi duniani jinsi ambapo ziligeuka kuwa 'Target' ya Mashambulizi ya Makundi ya Ugaidi yaliyopelekea Vifo na Uharibifu mwingi.

Je, Mamlaka ya Tanzania imekubali kuwa Kituo cha Mapambano ya Ugaidi ili ipate Pesa nyingi kutoka kwa Mataifa Matajiri na UN ili 'wazipige' au Tanzania ina uhakika kuwa ina Uwezo mkubwa wa Kijeshi, Kiusalama na Kiulinzi Barani Afrika na huenda hata duniani pia?

Nimesikitishwa mno na Maamuzi haya ya 'Kukurupuka' na sasa kwa hiki 'Kiherehere' chetu cha kutafuta Sifa na kutaka kupata Pesa kutoka UN na kwa Mataifa Makubwa na Tajiri tujiandae kuwa 'Target' ya akina IS, Al Shabaab na Al Qaeda ( kama bado wapo ) na wakianza Kutuvizia, Kutupiga na Kutuua tafadhali tusianze kusema kuwa wasababishi wa Matendo hayo ya Ugaidi ni Wanasiasa wetu wa Vyama Vikubwa vya Upinzani nchini Tanzania.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Stegormena Lawrence Tax usingelikubali hili kwa 'Kukurupuka' badala yake ungelipima Kwanza kutokana na Mifano iliyoko ya nchi zilizokuwa na 'Kiherehere' kama hiki chetu jinsi zilivyokiona cha Moto kwa Mashambulizi ya Makundi makubwa ya Ugaidi duniani.

Binafsi nimesikitika mno na ninaogopa!
Hii content yako yako ndo content muhim ya mwaka na yafaa kuijadili na watu wenye akili pana, mambumbumbu kaeni pemben hamtoweza kuielewa
 
Nina Kumbukumbu ya nchi kadhaa barani Afrika ( ikiwepo Kenya ) na hata za huko Kwingineko duniani zilizokuwa na 'Kiherehere' cha kuwa Vinara wa Upambanaji wa Ugaidi duniani jinsi ambapo ziligeuka kuwa 'Target' ya Mashambulizi ya Makundi ya Ugaidi yaliyopelekea Vifo na Uharibifu mwingi.

Je, Mamlaka ya Tanzania imekubali kuwa Kituo cha Mapambano ya Ugaidi ili ipate Pesa nyingi kutoka kwa Mataifa Matajiri na UN ili 'wazipige' au Tanzania ina uhakika kuwa ina Uwezo mkubwa wa Kijeshi, Kiusalama na Kiulinzi Barani Afrika na huenda hata duniani pia?

Nimesikitishwa mno na Maamuzi haya ya 'Kukurupuka' na sasa kwa hiki 'Kiherehere' chetu cha kutafuta Sifa na kutaka kupata Pesa kutoka UN na kwa Mataifa Makubwa na Tajiri tujiandae kuwa 'Target' ya akina IS, Al Shabaab na Al Qaeda ( kama bado wapo ) na wakianza Kutuvizia, Kutupiga na Kutuua tafadhali tusianze kusema kuwa wasababishi wa Matendo hayo ya Ugaidi ni Wanasiasa wetu wa Vyama Vikubwa vya Upinzani nchini Tanzania.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Stegormena Lawrence Tax usingelikubali hili kwa 'Kukurupuka' badala yake ungelipima Kwanza kutokana na Mifano iliyoko ya nchi zilizokuwa na 'Kiherehere' kama hiki chetu jinsi zilivyokiona cha Moto kwa Mashambulizi ya Makundi makubwa ya Ugaidi duniani.

Binafsi nimesikitika mno na ninaogopa!
Hii ndio aina ya uongozi wa samia kutaka hela za nje kirahisi lakini madhumuni ni watu wake wapige. Mtu wa kawaida anaona hatari ya nchi kulengwa na magaidi lakini viongozi wa nchi wa awamu ya samia wanaona hela. Shame on them
 
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Stegormena Lawrence Tax usingelikubali hili kwa 'Kukurupuka' badala yake ungelipima Kwanza kutokana na Mifano iliyoko ya nchi zilizokuwa na 'Kiherehere' kama hiki chetu jinsi zilivyokiona cha Moto kwa Mashambulizi ya Makundi makubwa ya Ugaidi duniani.
Kuna uzi humu unasema mpango huo ulianza na kukubaliwa 2019 nadhani muda huo huyu waziri hakuwepo kwenye hiyo nafasi.
 
Ugaidi ni tatizo kubwa linalo zitoa jasho nchi kubwa duniani zenye uwezo na nguvu kubwa ya kijeshi,sasa Tanzania ina uwezo gani kuzishinda hizo nchi,naona kabisa ni kutaka kujitafutia matatizo makubwa kwa nchi na wananchi kiujumla,sioni sababu ya lazima kupambana na ugaidi ambao naweza kusema hautusumbui,

Labda ni kutaka kuonyesha utii kwa mabwana wakubwa,sioni sababu ya msingi zaidi ya kuleta taharuki kutoka na mashambulizi yatakayo elekezwa nchini humu,tufikirie kwa kina faida na hasara kwa jambo ambalo ni nyeti kwa taifa letu.
 
Nina Kumbukumbu ya nchi kadhaa barani Afrika ( ikiwepo Kenya ) na hata za huko Kwingineko duniani zilizokuwa na 'Kiherehere' cha kuwa Vinara wa Upambanaji wa Ugaidi duniani jinsi ambapo ziligeuka kuwa 'Target' ya Mashambulizi ya Makundi ya Ugaidi yaliyopelekea Vifo na Uharibifu mwingi.

Je, Mamlaka ya Tanzania imekubali kuwa Kituo cha Mapambano ya Ugaidi ili ipate Pesa nyingi kutoka kwa Mataifa Matajiri na UN ili 'wazipige' au Tanzania ina uhakika kuwa ina Uwezo mkubwa wa Kijeshi, Kiusalama na Kiulinzi Barani Afrika na huenda hata duniani pia?

Nimesikitishwa mno na Maamuzi haya ya 'Kukurupuka' na sasa kwa hiki 'Kiherehere' chetu cha kutafuta Sifa na kutaka kupata Pesa kutoka UN na kwa Mataifa Makubwa na Tajiri tujiandae kuwa 'Target' ya akina IS, Al Shabaab na Al Qaeda ( kama bado wapo ) na wakianza Kutuvizia, Kutupiga na Kutuua tafadhali tusianze kusema kuwa wasababishi wa Matendo hayo ya Ugaidi ni Wanasiasa wetu wa Vyama Vikubwa vya Upinzani nchini Tanzania.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Stegormena Lawrence Tax usingelikubali hili kwa 'Kukurupuka' badala yake ungelipima Kwanza kutokana na Mifano iliyoko ya nchi zilizokuwa na 'Kiherehere' kama hiki chetu jinsi zilivyokiona cha Moto kwa Mashambulizi ya Makundi makubwa ya Ugaidi duniani.

Binafsi nimesikitika mno na ninaogopa!
Serikali ya Mama ni kusanya kusanya yenyewe inaangalia kuingiza hela tu
 
Back
Top Bottom