Nina wasiwasi sana kwa 'Kiherehere' cha Tanzania Kukubali kuwa Kituo cha Mapambano ya Ugaidi Afrika

Ugaidi ni mtamu kwani tutapata fungu la ndululu za chee kama za Uviko19, siku hizi kila anayekamatwa ni gaidi ilimradi dunia isikie kilio chetu na walete pesa.
 
Nikifikiria mipaka yetu ilivo wazi kuanzia uingozwaji wa silaha holela za burundi na Congo, nikiwaza mbinu za IS na Alshabaab halafu wajue mipango yao mingi yawkuwadhoofisha hufanyika Tanzania, nikiwaza jinsi tusivyo na ukaguzi hata wa detector kwenye mabenki, hospitali, mashuleni, masokoni, vyuoni naona bado giza ni nene mbele yetu
 
Nikiwaza zaidi tulivo hatuna doria za kudumu kuanzia asubuhi hadi mchana, hapa unaona kabisa tukiwa targeted tutaisha sana
 
Ni hatari Sana!!yani hii nchi yetu Mungu tu aendelee kuisimamia!!!

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Majamaa now yanawachora tu siku wakitangaza rasmi utaona intro ya warning tuache kiherehere
Itapigwa ambush
Mpaka Policcm na kamanda zero aanze wasingizia wafuasi wa CHADEMA na mbowe!
 
Aisee tumeisha.

Yani hadi Rwanda kaukwepa huu mtego alafu sisi maintaprinyuwaaa wa misaaada tumeshindwa kusoma alama za nyakati!
 
Aisee tumeisha.

Yani hadi Rwanda kaukwepa huu mtego alafu sisi maintaprinyuwaaa wa misaaada tumeshindwa kusoma alama za nyakati!
Acheni woga wanaume wa Dar nyie, hao magaidi walipokuwa wanachinja watanzania hapo Kitaya mtwara, tuliwakosea nini?? haya majitu hayana cha sababu wala nini, ni mijitu inayopenda damu za watu tu, hawana sababu kabisa, jiulize pale Congo wanaua raia kila siku, Congo imewakosea nini?? dawa ni kupambana nao tu
 
Basi sawa kabisa kijana ngangari wewe kweri-kweri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…