Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Bado inatumika hiii ?labda hajaitangaza maana mi huwa sipendi kukata tiket stendi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilitangazwa sana tu kuna hadi matamasha yalifanywa kuipromoti ila bado haikushika kasi, mwaka juzi kama sikosei walipewa tuzo ila ajabu huwezi kuta mtu anaijua nadhani wale jamaa walipoona wabongo hawaelewi wakapunguza kasi ya uwekezaji huko.
I believe bado inafanya kazi.