Nina wazo la kuondoa msongamano wa watu Kariakoo, Dar es Salaam

Bado inatumika hiii ?labda hajaitangaza maana mi huwa sipendi kukata tiket stendi

Sent using Jamii Forums mobile app

Ilitangazwa sana tu kuna hadi matamasha yalifanywa kuipromoti ila bado haikushika kasi, mwaka juzi kama sikosei walipewa tuzo ila ajabu huwezi kuta mtu anaijua nadhani wale jamaa walipoona wabongo hawaelewi wakapunguza kasi ya uwekezaji huko.

I believe bado inafanya kazi.
 
Programmer hana idea, mwenye idea hajui kuprogram. Hii ndio dunia bwana, tunategemeana.
 
Hii idea lazima ifanikiwe.
Mawazo negative kama ya kina Bufa huwa hapo tu. Hawakosagi watu wa namna hii. Hata Zuckerberg alipigwa mkwara mara kadhaa na Panel ya Maprofesa pale Harvard. Tazama leo hii (bilionea wa tano)
 

Wazo zuri sana.

Twende tupige kazi. App kama hii itachukua 3 months kuwa live.
 
Hii idea lazima ifanikiwe.
Mawazo negative kama ya kina Bufa huwa hapo tu. Hawakosagi watu wa namna hii. Hata Zuckerberg alipigwa mkwara mara kadhaa na Panel ya Maprofesa pale Harvard. Tazama leo hii (bilionea wa tano)
Tatizo mkiambiwa ukweli mnadhani tunawachukia. Mazingira na uelewa wa watu nje na TZ ni tofauti sana

Mtu wa Ileje hawezi nunua kitu online badala ya kwenda mwenyewe achilia mbali idadi ya wanaomiliki smartphone. Jumia wenyewe wanaenda kwa kusuasua na wanakubali africa kuna changamoto kubwa kufanya biashara online na hili ni kampuni kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.... na pengine wanapigwa (tapeliwa) kifala kuliko hata wa mikoani.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wazo lako ni zuri sana

Ila bado una changamoto katika kulifanikisha hili jambo

Kwa mtazamo wangu (wa juu juu usio wa utafiti), wajasiriamali kutoka mikoani ambao wanafuata mzigo kariakoo, hawapo conscious sana na matumizi ya teknolojia katika kupata bidhaa na masoko ya bidhaa zako

Wazo lako litafanikiwa ila unahitaji muda, ili uje uone matunda. Kwa hiyo lazima uwe mvumilivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri lile wazo la mkuu wa Dar la kuhamisha uuzaji wa magari, angefanya hili na kuanzisha sehemu nyingine na storage za uhakika ingekuwa bora sana

Sent from my SM using Tapatalk
 
App gani hiyo mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inafanyaje kazi? Kwamba naorder vitu kwenye app halafu unaniletea nilipo mikoani? Ni order and delivery app? Au unaonganisha muuzaji na mnunuzi tu halafu wewe unakula service fee?
 
Ahsante kwa ushaur murua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…