Nina wazo la kuondoa msongamano wa watu Kariakoo, Dar es Salaam

wazo zuri ila kumbuka utapingwa sana maana kunawengi wanapona kulingana na idadi ile so jipange
 
K/koo lazima twende kudhibitisha ubora wa bidhaa na mali halisi...
Wtz si waaminifu ukiagiza kupata unachotaka ni bahati na bla bla nyingii....
 
Siku moja niliingia kwenye mtandao mmoja hivi nikakuta tangazo la facebook kwamba wananitaka nijiunge na mtandao wao, sasa nikajisemea Moyoni yaani hadi hawa wenye users wanakaribia 2B dunia nzima bado wanaitangaza hii app yao, kwan nani asieijua facebook sasa hivi?

Somo ni kwamba: Biashara ni matangazo hii principle haijawahi kupitwa na wakati haijalishi mkubwa au mdogo kwenye biashara!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa mikoani ni watu wa mikoani tu, lazima waende kariakoo,ataenda kuhadithia nini huko mkoani?
Hicho tunachotaka kuhadithia tutatoa maoni kwenye hiyo app kuwe na picha na video za mazingira mbalimbali ya Dar
 
Michango ya WADAU ndio iliyonileta hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…