Nina wazo la kuondoa msongamano wa watu Kariakoo, Dar es Salaam

Nina wazo la kuondoa msongamano wa watu Kariakoo, Dar es Salaam

Idea yako ishafeli sababu wabongo zaidi ya Instagram na WhatsApp hawawezi kutumia app nyingine yoyote.

Kuna app ya kukata tickets za mabasi ya mikoani, hii hapa Welcome To StartMySafari, very useful, unakata kwa bei ile ile ya Ubungo bila kwenda Ubungo ila watu hawakutumia bado wanataka kwenda Ubungo ndo sembuse hiyo ya Kariakoo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Marketing ndo tatizo hapo. Pia iwepo incentive ya mtu kukata online mfano kupata discount ya tiketi. Ukishamteka mteja mara ya kwanza basi huyo atakuwa repeated customer. Kwa hiyo challenge ni jinsi ya kumfanya mtu aitumie hiyo app kwa mara ya kwanza. Inahitaji marketing ya nguvu. Budget kubwa ni marketing na expansion.
 
Habarini wakuu


lengo langu kubwa ni kuwafikia wateja walipo kwa bei ile ile ya kariakoo, kuwasaidia wafanya biashara wanaotoka mikoani na kufata mzigo, mtu mmoja mmoja anayefuata mahitaji kariakoo, hii itasaidia kupunguza foleni na msongamano wa watu pale kariakoo, itasaidia kutokutapeliwa, na kupata unachokihitaji kwa wakati muafaka, hata wa mikoani itawasaidia kununua bidhaa kwa bei ya kariakoo

Nahitaji watu ili tuweze kusaidiana kutimiza lengo hili

1: Mtu anayeweza kutengeneza application
2: mpiga picha mzuri sana
3: sponsor (kama atapatikana)

Wakiwa wakazi wa dsm itapendeza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Anza na prototype mkuu na uanze na watu wachache. Sponsor hawezi kuja bila proof of concept. Idea lazima uifanyie testing kuona kukubalika kwake kabla ya kuwaza kama hiyo idea ni nzuri
 
Marketing ndo tatizo hapo. Pia iwepo incentive ya mtu kukata online mfano kupata discount ya tiketi. Ukishamteka mteja mara ya kwanza basi huyo atakuwa repeated customer. Kwa hiyo challenge ni jinsi ya kumfanya mtu aitumie hiyo app kwa mara ya kwanza. Inahitaji marketing ya nguvu. Budget kubwa ni marketing na expansion.
Ahsante sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idea yako ishafeli sababu wabongo zaidi ya Instagram na WhatsApp hawawezi kutumia app nyingine yoyote.

Kuna app ya kukata tickets za mabasi ya mikoani, hii hapa Welcome To StartMySafari, very useful, unakata kwa bei ile ile ya Ubungo bila kwenda Ubungo ila watu hawakutumia bado wanataka kwenda Ubungo ndo sembuse hiyo ya Kariakoo.



Sent using Jamii Forums mobile app

safari za wabongo nyingi sio za kuplan ni gafla tu
 
Wabongo kwa kukatishana tamaa, dah. Hio ya tiketi ni nzuri lakini inahitaji matangazo Sana. I had the same idea, ni ya kuboresha tu

Mpwa, cha kufanya Nenda pale COSTECH kuna jamaa alishadevelop Kama hio na akashinda bingo ya COSTECH, wamenitumia email Leo kuwa kuna shindano lingine, Nenda Sayansi pale au Ingia LinkedIn kisha tafuta COSTECH utapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu


lengo langu kubwa ni kuwafikia wateja walipo kwa bei ile ile ya kariakoo, kuwasaidia wafanya biashara wanaotoka mikoani na kufata mzigo, mtu mmoja mmoja anayefuata mahitaji kariakoo, hii itasaidia kupunguza foleni na msongamano wa watu pale kariakoo, itasaidia kutokutapeliwa, na kupata unachokihitaji kwa wakati muafaka, hata wa mikoani itawasaidia kununua bidhaa kwa bei ya kariakoo

Nahitaji watu ili tuweze kusaidiana kutimiza lengo hili

1: Mtu anayeweza kutengeneza application
2: mpiga picha mzuri sana
3: sponsor (kama atapatikana)

Wakiwa wakazi wa dsm itapendeza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Omba uingie kwenye hio competition faster
Screenshot_2018-08-23-14-00-55.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu


lengo langu kubwa ni kuwafikia wateja walipo kwa bei ile ile ya kariakoo, kuwasaidia wafanya biashara wanaotoka mikoani na kufata mzigo, mtu mmoja mmoja anayefuata mahitaji kariakoo, hii itasaidia kupunguza foleni na msongamano wa watu pale kariakoo, itasaidia kutokutapeliwa, na kupata unachokihitaji kwa wakati muafaka, hata wa mikoani itawasaidia kununua bidhaa kwa bei ya kariakoo

Nahitaji watu ili tuweze kusaidiana kutimiza lengo hili

1: Mtu anayeweza kutengeneza application
2: mpiga picha mzuri sana
3: sponsor (kama atapatikana)

Wakiwa wakazi wa dsm itapendeza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazo zur sana kiongoz ila you have to do reserch uangalie jins gn ya kuliboresha for the time nikushaur uandae business plan itakayo kuongoza then nenda costech kuna shindano wanaliendesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina uhakika sababu nimewahi kufuatilia closely. Start my safari jamaa aliwekeza sana kwenye hii ishu ila hakufanikiwa wala kurudisha pesa yake hata robo, watu bado wanataka kwenda stand wakakate ticket au wakijitahidi sana na kama wanamjua konda wanampigia konda simu na kutuma pesa mpesa.

Hiyo ni ticketing app ambayo ni very straightforward sijui app ya kununua vitu, bargaining, kufunga mzigo, kutuma nk kama itafanikiwa. I dare say it's bound to fail.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kubwa ni kukosekana promotion ya kutosha

Mteja mpaka aitumie hyo huduma inapaswa awe ashaiskia mara kadhaa na shuhuda za watu mbalimbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una mtihani kiongozi
Watu wanatoka Zambia kufuata mzigo kariakoo
Kwa sababu walishajaribu kuwatumia WaTanzania wakaishia kutapeliwa,

Hapa hapa nchini nako watu wametapeliana.
Pia kuna Wengine wanaenda kuchukua Mali kauli kwenye duka la mazoea.

Je utawasaidiaje?
Mwingine anakwenda kariakoo kujua fashion mpya mjini
Utawasaidiaje?

Kila la kheri

[emoji252] [emoji479]
 
Una mtihani kiongozi
Watu wanatoka Zambia kufuata mzigo kariakoo
Kwa sababu walishajaribu kuwatumia WaTanzania wakaishia kutapeliwa,

Hapa hapa nchini nako watu wametapeliana.
Pia kuna Wengine wanaenda kuchukua Mali kauli kwenye duka la mazoea.

Je utawasaidiaje?
Mwingine anakwenda kariakoo kujua fashion mpya mjini
Utawasaidiaje?

Kila la kheri

[emoji252] [emoji479]
Mkuu ni maswali mazur sana kwanza tutajenga uaminifu kwetu na kwao, maana itakuwa imesajiliwa na serikali, hivyo kutakuwa na account moja tu ya kuingiza pesa na sisi ndio tutafanya manunuzi, kuhusu malikauli tutafanya mawasiliano kati ya owner na yule anayechukua kwa malikauli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom