Nina wivu na mchepuko

Nina wivu na mchepuko

Nawe unajiita mwanaume mzee!? Uanaune sio kuwa na dushelele tu, pia kuna sehemu unatakiwa uoneshe uanaume wako.
 
Sawa endeleeni kunitukana na kuniona mimi mjinga,
Nina uhakika wanaume wengi wanapatwa na hii hali sipo peke yangu.
Na nyie mnaosema kuwa ukimwi hauwezi isha kwa style hii kafieni mbele sijaja kuomba ushauri wa afya hapa mimi
 
Ivi wadau nimejikuta nimekwama kwenye penzi la mchepuko kiasi kwamba nina wivu nae sana.

Nina mke na watoto, huyu mchepuko nilianza nae kitambo kidogo miaka ya nyuma na hatukuwa serious kihvyo ila sasa tunakoelekea dah nashindwa hata kuelewa.

Huyu mchepuko kakubaliana na hali halisi kuwa mimi nina familia yangu, na kwasababu hiyo basi na yeye ana mahusiano yake(ana mabwana zake).

Sasa ugomvi unaotokana na wivu unatokea pale mchepuko wangu nikagundua kaenda kwa hao mabwana zake kwakweli najisiki kuchanganyikiwa na navurugwa kiasi kwamba nahamishia ugomvi kwa wife na watoto, mara nyingine akainikasirisha jnakuta mke wangu ananiuliza nina shida gani lakini kwakuwa siwezi kuelezea kuwa tatizo ni mchepuko basi namuwashia hasira na yeye.

Huyi mchepuko nishamuomba aachane na hao mabwana zake hataki kabisa kusikia ananiambia mimi na yeye tunafanya for Fun sasa hawezi kuwa na mahusiano seriously na mimi kwasababu nina mke tayari.

Na akienda kwa mabwana zake huwa haniambii kwahyo nabaki hohehahe simu hapokei msgs hajibu, kwakweli nimechangangikiwa kabisa

Naombeni ushauri wenu wadau

Umesharogwa tayari,,,, subiri tu kutelekeza familia na watoto. Jifunze kuamini kuwa huyo ni mchepuko tu, na usimuonee wivu pia.
 
Huyu ndo tunaita ng'ombe wa mayai!
Kama unaona wivu uwe unaenda nae akienda kugongwa ili uhakikishe hawamuumizi.
Faken kbsa! Mapenz umeyakutia ukubwani shwaini. Nyie ndo chaputa! Bladihenken!🤧
 
Ivi wadau nimejikuta nimekwama kwenye penzi la mchepuko kiasi kwamba nina wivu nae sana.

Nina mke na watoto, huyu mchepuko nilianza nae kitambo kidogo miaka ya nyuma na hatukuwa serious kihvyo ila sasa tunakoelekea dah nashindwa hata kuelewa.

Huyu mchepuko kakubaliana na hali halisi kuwa mimi nina familia yangu, na kwasababu hiyo basi na yeye ana mahusiano yake(ana mabwana zake).

Sasa ugomvi unaotokana na wivu unatokea pale mchepuko wangu nikagundua kaenda kwa hao mabwana zake kwakweli najisiki kuchanganyikiwa na navurugwa kiasi kwamba nahamishia ugomvi kwa wife na watoto, mara nyingine akainikasirisha jnakuta mke wangu ananiuliza nina shida gani lakini kwakuwa siwezi kuelezea kuwa tatizo ni mchepuko basi namuwashia hasira na yeye.

Huyi mchepuko nishamuomba aachane na hao mabwana zake hataki kabisa kusikia ananiambia mimi na yeye tunafanya for Fun sasa hawezi kuwa na mahusiano seriously na mimi kwasababu nina mke tayari.

Na akienda kwa mabwana zake huwa haniambii kwahyo nabaki hohehahe simu hapokei msgs hajibu, kwakweli nimechangangikiwa kabisa

Naombeni ushauri wenu wadau
Msimulie mkeo jinsi huyo mchepuko anavyokutesa, nakuapia hatakutesa Tena.
Utanishukuru.
Ramadan Kareem.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Unapanik wakati nyapu ni yake. Kikubwa umeelezwa ukweli we endelea kula . Tena kula kwa tahadhari. Usije anza kulia ukinyimwa kisa kuchunguza sana.

Ata yeye anatamani kutombw* kila siku na wewe huko na mke afanyeje
 
Hivi wadau nimejikuta nimekwama kwenye penzi la mchepuko kiasi kwamba nina wivu nae sana.

Nina mke na watoto, huyu mchepuko nilianza nae kitambo kidogo miaka ya nyuma na hatukuwa serious kihvyo ila sasa tunakoelekea dah nashindwa hata kuelewa.

Huyu mchepuko kakubaliana na hali halisi kuwa mimi nina familia yangu, na kwasababu hiyo basi na yeye ana mahusiano yake(ana mabwana zake).

Sasa ugomvi unaotokana na wivu unatokea pale mchepuko wangu nikagundua kaenda kwa hao mabwana zake kwakweli najisiki kuchanganyikiwa na navurugwa kiasi kwamba nahamishia ugomvi kwa wife na watoto, mara nyingine akainikasirisha jnakuta mke wangu ananiuliza nina shida gani lakini kwakuwa siwezi kuelezea kuwa tatizo ni mchepuko basi namuwashia hasira na yeye.

Huyi mchepuko nishamuomba aachane na hao mabwana zake hataki kabisa kusikia ananiambia mimi na yeye tunafanya for Fun sasa hawezi kuwa na mahusiano seriously na mimi kwasababu nina mke tayari.

Na akienda kwa mabwana zake huwa haniambii kwahyo nabaki hohehahe simu hapokei msgs hajibu, kwakweli nimechangangikiwa kabisa

Naombeni ushauri wenu wadau
Yaani ana mabwana zake?Na umekubaliana tu na hali?Katika binadamu wachoyo ni mimi.Sichangii mwanamke na mtu.
 
Jamaa kapanic, kasahau kwamba ni yeye ndio alileta bandiko hapa anaomba ushauri watu wanatiririka anamind tena [emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haya mambo ya kupanic blaza bora hata umekuwa muelewa
 
Yaani ana mabwana zake?Na umekubaliana tu na hali?Katika binadamu wachoyo ni mimi.Sichangii mwanamke na mtu.

Kwahyo huyu mchepuko wangu ni dhahiri anazingua sio!!

You see alot of people apa wananiona mimi fala lakini trust me wengi wetu hapaa ambao tuna wake zetu hata ikatokea ukiwa na mchepuko hautotaka huyo mchepuko awe na anatiwa na masela wengine
 
Back
Top Bottom