Nina wivu na mchepuko

Nina wivu na mchepuko

Maana hapo kwanza ncheke[emoji23][emoji23][emoji23]
Mpandishe cheo Kaka awe mke wa pili yaishe
 
Yaani unajua kabisa kuwa ameenda kuliwa? Nimejikuta nacheka kichizi wallah

Sasa kama dem nipo nae from monday to friday ikifika tu jmos anapotea kama mchawi tunakuja kuonana j3 na anarudi na mahaba yote ukimuuliza why she wasn’t replying to my calls anachekacheka mabusu mawili matatu unapotezea. Haya mambo yanakera sana aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hili wazo kama limekaa fresh lakini kuna namna mambo yanaweza yakavurugika nikawa nimemwaga ugali home and away
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatafuta vita ya III ya Dunia.
 
Sasa kama dem nipo nae from monday to friday ikifika tu jmos anapotea kama mchawi tunakuja kuonana j3 na anarudi na mahaba yote ukimuuliza why she wasn’t replying to my calls anachekacheka mabusu mawili matatu unapotezea. Haya mambo yanakera sana aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee weekend si uwe na mkeo?
 
Yaani hapo umeuiruhusu nafsi yako kuwa mtumwa kwake!! Hakuna kitu kibaya na kinachouma kama kudate na demu ambae unajua ana bwana/ mabwana halafu umpigie simu uone inaita haipokelewi!!!

Yaani hapo akili yako inakutuma sijui sasa hv kawekwa mbuzi kagoma au ananyonya dushe la mshikaji kama anavyonyonya lako au anaukatikia mpingo wa jamaa!! Aisee utaumia sana na utajitengenezea mastress yasiyokuwa na mpango ktk maisha yako na mwisho kabisa utaiharibu familia yako.

Kama una date nae we mchukulie kama malaya, usimuweke moyoni mwako hata kidogo ,infact don't even chase her wala usimpigiepigie simu mpk akutafute wewe ,asipokutafuta na wewe mpotezee endelea na mishe zako.
 
Hivi wadau nimejikuta nimekwama kwenye penzi la mchepuko kiasi kwamba nina wivu nae sana.

Nina mke na watoto, huyu mchepuko nilianza nae kitambo kidogo miaka ya nyuma na hatukuwa serious kihvyo ila sasa tunakoelekea dah nashindwa hata kuelewa.


Naombeni ushauri wenu wadau
Unaonrea wivu kiti cha daladala kupandwq na kukaliwa na watu wengine?
Unaonea wivu kisima cha kijiji kuwa na ngata nyingi kwa qjili ya kuchotea maji?

Jali.mchepuko kama kipisi cha sigara,

Mzee baba mkeo hutakiwi kumuhamishia hasira hata kidogo sema hasira za mkeo ndo umpelekee mchepuko ( unatakiwa uufanye kama uwanja wa mazoezi)
Mchepuko hauwezi kukuuguza, kuwa nawe kwenye majanga na haujawahi kuwa na faida.

ACHANA NA MCHEPUKO MKUU
 
Sasa kama dem nipo nae from monday to friday ikifika tu jmos anapotea kama mchawi tunakuja kuonana j3 na anarudi na mahaba yote ukimuuliza why she wasn’t replying to my calls anachekacheka mabusu mawili matatu unapotezea. Haya mambo yanakera sana aisee

rikiboy

Anaweza akawa kafanya yake mkuu

1+1 ukikopa 1 kichwani
 
Sasa kama dem nipo nae from monday to friday ikifika tu jmos anapotea kama mchawi tunakuja kuonana j3 na anarudi na mahaba yote ukimuuliza why she wasn’t replying to my calls anachekacheka mabusu mawili matatu unapotezea. Haya mambo yanakera sana aisee
Hayo mabusu mawili matatu anayokupa wewe mpokee na vitasa akili imkae vizuri siyo kukuona bushoke.Na umwambie kama hataki kuwa na wewe anyooshe goti asije kukuletea magonjwa familia yako ije iteseke
 
Yaani hapo umeuiruhusu nafsi yako kuwa mtumwa kwake!! Hakuna kitu kibaya na kinachouma kama kudate na demu ambae unajua ana bwana/ mabwana halafu umpigie simu uone inaita haipokelewi!!!

Yaani hapo akili yako inakutuma sijui sasa hv kawekwa mbuzi kagoma au ananyonya dushe la mshikaji kama anavyonyonya lako au anaukatikia mpingo wa jamaa!! Aisee utaumia sana na utajitengenezea mastress yasiyokuwa na mpango ktk maisha yako na mwisho kabisa utaiharibu familia yako.

Kama una date nae we mchukulie kama malaya, usimuweke moyoni mwako hata kidogo ,infact don't even chase her wala usimpigiepigie simu mpk akutafute wewe ,asipokutafuta na wewe mpotezee endelea na mishe zako.

Fact sana man, i will take this advice as my therapy,
 
Uja
Hayo mabusu mawili matatu anayokupa wewe mpokee na vitasa akili imkae vizuri siyo kukuona bushoke.Na umwambie kama hataki kuwa na wewe anyooshe goti asije kukuletea magonjwa familia yako ije iteseke
Ujasiri wa kumpiga ngumi anautoa wapu wakati hammiliki na they are just doing it for fun...mbaya zaidi inaonekana jamaa hamgharamikii huyo demu kodi ya nyumba wala kodi wa meza achilia mbali mavazi na urembo wake.

Ujasiri wa kumpiga anautoa wapi, kiufupi tu wapo kwa ajili ya kutoana nyege zao tu nothing else
 
Back
Top Bottom