Nina wivu na mchepuko

Nina wivu na mchepuko

Hivi wadau nimejikuta nimekwama kwenye penzi la mchepuko kiasi kwamba nina wivu nae sana.

Nina mke na watoto, huyu mchepuko nilianza nae kitambo kidogo miaka ya nyuma na hatukuwa serious kihvyo ila sasa tunakoelekea dah nashindwa hata kuelewa.

Huyu mchepuko kakubaliana na hali halisi kuwa mimi nina familia yangu, na kwasababu hiyo basi na yeye ana mahusiano yake(ana mabwana zake).

Sasa ugomvi unaotokana na wivu unatokea pale mchepuko wangu nikagundua kaenda kwa hao mabwana zake kwakweli najisiki kuchanganyikiwa na navurugwa kiasi kwamba nahamishia ugomvi kwa wife na watoto, mara nyingine akainikasirisha jnakuta mke wangu ananiuliza nina shida gani lakini kwakuwa siwezi kuelezea kuwa tatizo ni mchepuko basi namuwashia hasira na yeye.

Huyi mchepuko nishamuomba aachane na hao mabwana zake hataki kabisa kusikia ananiambia mimi na yeye tunafanya for Fun sasa hawezi kuwa na mahusiano seriously na mimi kwasababu nina mke tayari.

Na akienda kwa mabwana zake huwa haniambii kwahyo nabaki hohehahe simu hapokei msgs hajibu, kwakweli nimechangangikiwa kabisa

Naombeni ushauri wenu wadau
Usimhudumie akikuomba hela mwambie akaombe kwa mabwana zake, wanaume huwa hatususi papuchi kwa vile kaamua kutumika basi mtumie tu
 
Be a man!! Mwanaume huwa hamfatifati mwanamke ila mwache mwanamke akufate yeye!! Hiyo ndio principle ya uwanaume. Ikiwa anaona una umuhimu kwake hawezi kupitisha siku au masaa bila ya kutaka kujua uwepo wako kwake ila ukiona anakukaushia hata 3 days na wewe kula bati usimtafute wala usimpigie simu.Endelea na hustle zako!! Akikutafuta mpokelee simu kisha mwambie upo busy kidogo then kata simu.Usimtafute
Fact sana man, i will take this advice as my therapy,
 
Inamaana haumtimizii eeeh??

Inakuwaje unamruhusu akaliwe nje nawe upo??

Kashakudharau yaani,inakuwaje mwanaume unajua kabisa demu yako inaliwa na masela huko nje!!!!

All the aii una moyo wa chuma
 
Be a man!! Mwanaume huwa hamfatifati mwanamke ila mwache mwanamke akufate yeye!! Hiyo ndio principle ya uwanaume. Ikiwa anaona una umuhimu kwake hawezi kupitisha siku au masaa bila ya kutaka kujua uwepo wako kwake ila ukiona anakukaushia hata 3 days na wewe kula bati usimtafute wala usimpigie simu.Endelea na hustle zako!! Akikutafuta mpokelee simu kisha mwambie upo busy kidogo then kata simu.Usimtafute
Mmmh! Atauweza kweli huu ushauri mana jamaa anaonekana kakolea haswa
 
Uja

Ujasiri wa kumpiga ngumi anautoa wapu wakati hammiliki na they are just doing it for fun...mbaya zaidi inaonekana jamaa hamgharamikii huyo demu kodi ya nyumba wala kodi wa meza achilia mbali mavazi na urembo wake.

Ujasiri wa kumpiga anautoa wapi, kiufupi tu wapo kwa ajili ya kutoana nyege zao tu nothing else
Kumbe,,kama hivyo atulie eletewe magonjwa

Angekuwa anamuhudumia angeheshimika
 
Tena uwaambie ukweli, hapa wanajifanya wanaume wa shoka, ila huko nje sasa wanapigwa na mapenzi hadi wanakua makerubi. Unafiki tyuuh umewajaa bora wee umeweka wazi hapa.
@cocastic Wauweeeeeeeeeeeh
 
Umeona seen


Angekuwa anahudumia ipasavyo wala asingeteseka,

Labda hapo bi dada alimwambia bwana kama hauwezi nihudumia niache niendelee na wanaonihudumia[emoji2442]
 
Umeona seen


Angekuwa anahudumia ipasavyo wala asingeteseka,

Labda hapo bi dada alimwambia bwana kama hauwezi nihudumia niache niendelee na wanaonihudumia[emoji2442]
Akienda kwa bwana mwingine na simu hapokei[emoji23] ndio mana mtoa mada kachizika.

Huduma nazo ukute kweli hatoi, dada kaona isiwe tabu na hivi jamaa ana mke tayar wacha aangalie ustaarabu mwingine
 
Back
Top Bottom