cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Na nani? [emoji23][emoji23][emoji23]Utasutwa [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nani? [emoji23][emoji23][emoji23]Utasutwa [emoji1787]
hongeraHivi mnawezaje aisee..mimi ndio sinaga time kabisa..mimi nadhani ukiwa busy na mishe za life huwezi kukaa eti umuonee wivu mwanamke.
hata mimi hawajuagi kama nina wivu saana! Navunga tu kisha namove onNo,anaweza asikuonyeshe ila anaumia ndani bwana....kama unamuamini Kwa Nini uwe na wivu hivyo jamani?Mi hata simu ya shemeji yako sitaki mazoea
mimi nilidhani kwamba huna wivu kabisa! Kumbe unao isipokuwa unaumudu!Kweli tumetofautiana,,,Mimi na maneno hapaaaana,Nina Moyo mdogo sana,yaani maneno Huwa yananiput off sana naona kama Ile dignity yangu imepotea,ila wivu naumudu sana
Daah vijana wa hovyo hawafai. Wanastahili viboko kabisa. Lakini ungelegeza moyo vijana kama mimi tupate nafasi ya kuusuuza huo moyo teketeke.😂😂😂😂😃,,ni kijana mwenzenu ndo kasababisha
[emoji23][emoji23] asante kwa kuja Mkuu Lucha nilidhani ni mimi na Nifah peke yetu yaani 2/50!Sijui hata mi nina wivu wa kiboya hivyo hivyo vunga tu mkali wade haina tiba ficha tu usijulikane
ili usionekane mtu wa ajabu inabidi upretend kama uko sawa basi tuHataacha hii nadhani huwa ni inborn na malezi mi pia ninayo na Inanipa wakati mgumu sana so most of the time huwa na pretend kama Niko ok ila burning inside
Jiamini na muamini uliyenae
Huwezi kukosa wivu Kwa mtu unaempenda utakuwa uongo,Sasa hapo kwenye kuumudu ndio tunapotofautiana.....yaani wewe unapata wivu Hadi unatetemeka wakati mi napata wivu hafifuuu naendelea na shughuli zangumimi nilidhani kwamba huna wivu kabisa! Kumbe unao isipokuwa unaumudu!
Hata mimi ninaumudu ila kwa maumivu makali sana
Ndio vizuri....ukiachia wivu uonekane sana unamboa patner then penzi chalihata mimi hawajuagi kama nina wivu saana! Navunga tu kisha namove on
Na wenye wivu wa mapenzi 😂Na nani? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka angu mbona simuoni.!! Umemficha wapi?Huwezi kukosa wivu Kwa mtu unaempenda utakuwa uongo,Sasa hapo kwenye kuumudu ndio tunapotofautiana.....yaani wewe unapata wivu Hadi unatetemeka wakati mi napata wivu hafifuuu naendelea na shughuli zangu
Shauri yako😃😃😃Daah vijana wa hovyo hawafai. Wanastahili viboko kabisa. Lakini ungelegeza moyo vijana kama mimi tupate nafasi ya kuusuuza huo moyo teketeke.
👊👊Ivo yaan
Nikuacha kuwa na wivu tuNikiri kwamba nina wivu kupita maelezo!
Hii hali mimi mwenyewe siipendi na hata hivyo nashindwa kuicontrol.
Sipendi kujiingiza kwenye mahusiano na wanawake kwa sababu hii hii!
Wakuu ni jinsi gani naweza kufanya ili kupunguza wivu?
mkuu kujiamini vipi??Watu wenye wivu wa kijinga hawajiamini na wapo inferior
mkuu kujiamini vipi??
basi mimi siko hivyo, kuogopa kuachwa huo ni udhaifu mwingine! wivu wangu unanituma kuachana nae mara moja ninapohisi hali yoyote ya usaliti..Watu wenye wivu mkali mara nyingi huhofia kuachwa na kutokuwa na uwezo wa kupats Mwanamke au mwanaume wa kiwango kilekile