Nina wivu wa kibwege sana

Nina wivu wa kibwege sana

Kuwa na wivu sio mbaya ila wivu mwingi ni dalili ya kuwa hujiamini na umiliki wa ulichonacho muda wowote unaweza nyang’anywa
Na siku zote mwizi huwa ana wivu sana maana anahisi anaibiwa kama anavyoiba yeye
Usidhan mtu kukuonea wivu sana ni anakupenda ni mtu anajilinda mwenyewe
 
mimi nina wivu wa kimapenzi. Siku moja nikamuona mpenzi wangu akisalimiana na jamaa wa kazini kwao kwa kukumbatiana tena kumbatio la kujiachia mzima mzima, aisee nilihisi kama nataka kubast hivi, nikataka kuongea sauti haitoki, miguu ilianza kutetemeka ikabidi nijifanye kama napokea simu ili nisione tukio lingine maana ningezima!
😳🙄🤔We nomaaaa🙌
Hii sio kawaida
Mi Nina wivu ila we umezidi
 
Kabla sijaangalia aliyepost
🙈🙈Nilihisi tu

Mambo, kimyaaa
Feb mwanzoni Moshi hapo, 21 feb dar karibu
Nifafanulie. Mwalimu Atakuwa Dar Feb 21? Utakuwepo? Nikiwa Dar sitakosa Ma Mchungaji 🙏🏿

Nimemwekea picha na ujumbe huo ili huyu jamaa mwenye wivu ajue kuwa kuchapiwa ni jambo la kawaida tu hata afanyeje. Na wivu wake huu wala hausaidii cho chote mbali na kumletea presha na kisukari cha haraka. Hapa duniani hakuna cha mpenzi wa peke yako. We share!

Au nadanganya mzabzab? 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Nikiri kwamba nina wivu kupita maelezo!
Hii hali mimi mwenyewe siipendi na hata hivyo nashindwa kuicontrol.

Sipendi kujiingiza kwenye mahusiano na wanawake kwa sababu hii hii!

Wakuu ni jinsi gani naweza kufanya ili kupunguza wivu?
Tafuta pesa.

Ukiwa na pesa utaogopa kufilisika kuliko kuachwa na mwanamke.
 
Nifafanulie. Mwalimu Atakuwa Dar Feb 21? Utakuwepo? Nikiwa Dar sitakosa Ma Mchungaji 🙏🏿

Nimemwekea picha na ujumbe huo ili huyu jamaa mwenye wivu ajue kuwa kuchapiwa ni jambo la kawaida tu hata afanyeje. Na wivu wake huu wala hausaidii cho chote mbali na kumletea presha na kisukari cha haraka. Hapa duniani hakuna cha mpenzi wa peke yako. We share!

Au nadanganya mzabzab? 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
Yes msukuma
Niko mjini kitambo sn!
So nitakuwepo pia! Feb 21-25

Karibu sana,ni viwanja vya Kawe pembeni ya mwaposa.

Duh kwahiyo ni mwendo wa sharing 😅
 
Nadhani bado hujawahi kupigwa matukio, kuna stage ukifika kila kitu unajionea kawaida tu, hata mtu acheat mbele yako unaona fresh tu.. Wewe bado endelea kupenda tena wawili watatu hadi ukae sawa usiogope...
Mkuu nakuunga mkono. Haya mambo yanataka uzoefu, au wanasema ''ukiona nyani mzee, ujue amekwepa mishale mingi''.
 
Yes msukuma
Niko mjini kitambo sn!
So nitakuwepo pia! Feb 21-25

Karibu sana,ni viwanja vya Kawe pembeni ya mwaposa.

Duh kwahiyo ni mwendo wa sharing 😅
Nilikuwa na safari hizo tarehe ngoja niahirishe kabisa. Utakuwa unahudumu idara gani? Mungu Akipenda sitakosa hata siku moja 🙏🏿

Ndiyo. We share. Wa peke yako utampata wapi katika dunia hii ya sasa iliyotawaliwa na pesa? 😳😳😳
 
Nadhani bado hujawahi kupigwa matukio, kuna stage ukifika kila kitu unajionea kawaida tu, hata mtu acheat mbele yako unaona fresh tu.. Wewe bado endelea kupenda tena wawili watatu hadi ukae sawa usiogope...
Mpaka kuna time inafika inabidi uigize tu kua una wivu, maana utamkwaza mwenzio.
Mtu gani huumii atahisi humpendi kumbe wala ni vile huumii kindezi.
 
Nilikuwa na safari hizo tarehe ngoja niahirishe kabisa. Utakuwa unahudumu idara gani? Mungu Akipenda sitakosa hata siku moja 🙏🏿

Ndiyo. We share. Wa peke yako utampata wapi katika dunia hii ya sasa iliyotawaliwa na pesa? 😳😳😳
Nitakua nje tu ,hua tunavaa mikanda ,kukusanya sadaka ,kubeba wanao ombewa nk .....sitakaa ndani this time!
 
Back
Top Bottom