Barabara ya kutoka kipati Hadi agape utatusaidia Sana kilasiku nilikuwa naomba hiki kipande kijengwe.
Phase ya tatu wajitahidi kuongeza kilometers Hadi 600 hapa watakuwa wamecheza vizuri
Mkuu, hii Dondwe si ipo Mkuranga? Mkuranga ni Wilaya ya Pwani sio Dar es Salaam. Kule Chanika maeneo ya Homboza mpaka Masaki mbele ndo kuna hiyo barabara au nimechanganya madesa?Huko nyuma niliwahi kusoma kwamba barabara ya Mvuti - Dondwe imo DMDP phase two. Ila sasa sijaiona hapo juu. Jee iliondolewa?
Temeke..Kipati ipo wilaya gani ?
Magufili BT to Mpiji Magohe tumekosa!Katika Mwaka wa fedha 2012/13 Serikali ilibuni Mradi wa uendelezaji wa Jiji la Dar es salaam (Dar es Salaam Metropolitan Development Project – DMDP), Madhumuni makubwa ya mradi wa DMDP ni kukabili changamoto zinazolikabili Jiji la Dar es Salaam kwa kutilia mkazo uboreshaji wa huduma za jamii kama miundombinu na kujenga uwezo wa Manispaa za Jiji la Dar es Salaam katika utoaji huduma, kuchangia katika kukabili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na kusaidia katika kukabili matukio makubwa ya dharura kama majanga ambayo yanaweza kulikabili Jiji la Dar es Salaam.
Vipaumbele muhimu vilianishwa kwa kufuata vigezo muhimu bila kuangalia umaarufu wa maeneo au itikadi mbalimbali. Vigezo muhimu vilivyoanishwa ni pamoja na Miradi iwe inayounganisha maeneo ya watu wenye kipato kidogo na yaliyojengwa holela, Miradi iwe inayounganisha Wilaya na Mkoa na Miradi iwe inayounganisha maeneo mbalimbali na ukanda wa mabasi yaendayo haraka (BRT) ili kurahisisha usafirishaji.
Ikaibuliwa miradi ya Ujenzi barabara za mlisho (feeder roads) zenye urefu wa kilometa 65.6 katika Manispaa zote za Jiji ili kupunguza changamoto za msongamano. Mradi Mwingine ukawa ni Ujenzi wa mitaro ya kutiririsha maji ya mvua yenye urefu wa kilometa 31.8 katika maeneo ya mto Ng’ombe, Msimbazi, Gerezani Creek, Yombo na Kwashego ili kutatua changamoto za mafuriko.
Kupandisha hadhi makazi yaliyopangwa kiholela katika Kata 14 za Tandale, Mburahati, Mwananyamala, Gongo la Mboto, Kiwalani, Ukonga, Keko, Kilakala, Mbagalakuu, Mbagala, Mtoni, Yombo Vituka, Kijichi na Makangarawe kwa kujenga kilometa 145 kwa kiwango cha lami, kuweka nyenzo za ukusanyaji wa taka ngumu, kujenga mitaro ya kutiririsha maji ya mvua, kuweka taa za barabarani, kujenga njia za watembea kwa miguu, ujenzi wa maeneo ya mapumziko na vituo vya mabasi, ujenzi wa vyoo vya umma na ujenzi wa maeneo ya michezo.
Kuandaa Mpango kabambe wa Mfumo wa Maji ya Mvua na Maji Taka (Storm Drainage and Sewerage Master plan) kwa kushirikiana na DAWASA/DAWASCO ambao utasaidia kupanua wigo wa mifumo kwa asilimia 100% kufikia 2030. Kufunga mfumo wa kisasa wa ukusanyaji wa mapato katika Manispaa zote na kuepuka mianya ya kuvuja na ukwepaji wa kulipa kodi. Na Kujenga uwezo wa mwitikio wa haraka katika kukabiliana na majanga.
UTEKELEZAJI
Katika mwaka wa fedha 2015/16 Serikali iliingia Mkataba na Benki ya Dunia wenye thamani ya dola za Kimarekani 300 milioni za utekelezaji wa mradi wa DMDP kwa kipindi cha miaka mitano. Aidha, mfuko wa maendeleo ya nchi za Nordic (NDF) umechangia dola za Kimarekani 5 milioni kwa ajili ya kukabili changamoto za mabadiliko ya tabia Nchi na Serikali ya Tanzania ina changia dola za Kimarekani 25.3 milioni katika mradi huu.
Katika mwaka fedha 2016/17 utekelezaji wa miradi ya DMDP Awamu ya kwanza ulianza.
Sekretarieti ya Mkoa ndo ilikuwa na jukumu la ushiriki wa pamoja na Ofisi ya Rais TAMISEMI na Manispaa katika maandalizi ya usimamizi wa utekelezaji wa mradi. Kwa sasa Mchakato ya Kuunda Mamlaka ya Jiji la Dar Es Salaam kusimamia miradi huu unaendelea.
Manispaa Bajeti kwa Mwaka 2016/17 (Sh.) Kazi zilizoanza kutekelezwa Temeke 72,804,468,467.00
- Kujenga barabara za mlisho 14.51km
- Ujenzi wa mitaro mikubwa 8.9km
- Ujenzi wa barabara za mitaa 55km
Ilala 43,242,117,826.00
- Kujenga barabara za mlisho 2.84km
- Ujenzi wa mitaro mikubwa
- Ujenzi wa barabara za mitaa 55km
Kinondoni 63,938,175,211.00
- Kujenga barabara za mlisho 14.51km
- Ujenzi wa mitaro mikubwa 8.9km
- Ujenzi wa barabara za Mitaa 55km
Kutekelezwa kwa miradi hii kumeibadilisha sura ya Jiji la Dar es Salaam na kuwa na muonekano. Sasa hivi Ukienda Mbagala, Kijichi, Temeke, Ilala, Tandika nk, Unakuta lami hadi vichochochoroni. Yote hayo ni Matunda ya Miradi ya DMDP.
MIRADI YA DMDP II INAYOJENGWA KUANZIA 2024
Mwaka 2024, Miradi ya DMDP II inaanza tena ambapo, Mkoa wa Dar es Salaam, barabara za awali zitakazoanza kujengwa kwenye awamu ya kwanza ya utekelezaji na zimeshafanyiwa usanifu zitakuwa zina urefu wa kilomita 150.74.
Kwa wilaya ya Ubungo, jumla ya kilomita 36.11 zitajengwa kwenye maeneo zaidi ya 20 kwa umbali tofauti.
Katika maeneo yote barabara ndefu zaidi ni kilomita 9.83 ya Msumi, na Goba Wakorea kilomita 7.76, huku barabara fupi ni ile ya kilomita 0.28 ya Tiptop na barabara ya Shule.
Nyingine ni Hondogo Shija (4.16), Makoka (4.04), Posta Matembe (0.82), Sheikh Bofu (1.13), Msikitini (0.37), Sinza KKKT (0.27), Segesera (0.77), Lion (0.84), Juma Ikangaa (0.97), Mbegani (0.28), Namnani (0.66), Chimwaga (0.34) na Mikindani (0.45)
Zimo barabara za Ubungo NHC (0.6), Midizini (0.99) na Binti Kayenga (1.27). Jumla ni kilomita 36.11.
Manispaa ya Kinondoni
Kilomita 20.34 zitajengwa katika manispaa hii. Zipo barabara za Nakalekwa -Bwawani (7.32), Umoja (3.86), Mivumoni (4.79), Tegeta Polisi - Silver- Binti Matola (0.77), na Amiri/Leni Tatu (Dawasa) kilomita 0.68.
Nyingine ni Togo (0.36), Togo 2 (0.36) na Togo 3 (0.2).
Jiji la Dar es Salaam(Wilaya ya Ilala)
Jumla ya kilomita 29.8 zitajengwa zikijumuisha barabara ya Banana Kitunda- Kivule -Msongola kilomita (16.31), Barakuda- Changombe -Majichumvi (3.27), Majumba Sita - Segerea (3.31), Migombani (1.57), Tabata Mawenzi - Kisiwani 2.12 na Bombom Market (0.12).
Barabara nyingine ni Community Park 2 (0.38), Community Park 2 Road 2 (0.56), Community Park 2 Road 3 (0.11), Community Park 2 Road 4 (0.11), Community Park 1 (0.35), Community Park 2 (0.11), Kigilagila Market 2 (0.28), Kigilagila Market (0.76), Kigilagila Market 3 (0.44).
Temeke
Kilomita 32.09 zitajengwa zikigusa barabara ya Ndunguru (1.64), Masaki (3.91) Masuliza (4.04) Kipati (0.72), Agape (1.07), Kilimahewa -Toangoma (6.17), Msikitini (0.45), Mwembeni (Nyika) (0.44), Malawi (0.28), Songambele (0.32), Mwakalinga Road 1.07.
Nyingine ni Markas (0.48), Majimaji (0.32), Keko Machungwa (0.57), Magorofani (0.31), Igome (Yemen) kilomita 0.85, Diwani (0.67), Basri (0.9), Konisaga 1 (0.29), Konisaga (3 0.4), Kurasini (1.12), Taningira (0.42), Uhasibu (0.44), Kizota (0.91) na Lushoto (0.3).
Pia zimo barabara za Pendamoyo (0.56), Pendamoyo 1 (0.2), Mandera (0.85), Mkumba - Miburani (0.39).
Kigamboni
Kwa upande wa Manispaa ya Kigamboni, zitaboreshwa barabara za kilomita 32.4.
Hizi zitajumuisha MC Full Shangwe (1.38), Gofingo - Shangwe (1.77), Kibada Plot (2.91), Lingia - Nyakwale (3.75), Gezaulole (Mivumoni) (7.05), Geza Juu - Eddah Avenue (2.92), Muongozo P/S (2.85), Pengo Simba (2.47), Dege Mbutu (1.6) na Atani Dege (1.76).
Nyingine ni Machava Njama (0.7), Mtaa wa Maji - Posta (1.28), Orasa (0.89), Mzee Msomi (0.65) na Polisi Pikori.
ujio wa DMDP awamu ya pili ni kicheko na furaha kwa Wananchi ambao hawakufikiwa na awamu ya kwanza.
Je, Umenufaikaje na miradi hii Sehemu unayoishi? Nini maoni yako?
Asante.
Naomba uniuzie kabla ujenzi haujaanza tafadhali!Nimefurahi sana Dmdp kujenga barabara ya kitunda kivule mpaka msongola maana Nina kiwanja kivule fremu kumi kipo barabarani..
Lami ikikamilika kitapanda sana thamani
Naomba uniuzie kabla ujenzi haujaanza tafadhali!
Mkuu barabara inapoanzia Mvuti ni wilaya ya Ilala na barabara ilipotakiwa kuishia ni gereza la Mvuti (mwanzo wa Dondwe). Gereza hilo liko mpakani Ilala na Mkuranga. Hiyo Dondwe ni kijiji kilicho Mkuranga, lakini mpakani na Ilala.Mkuu, hii Dondwe si ipo Mkuranga? Mkuranga ni Wilaya ya Pwani sio Dar es Salaam. Kule Chanika maeneo ya Homboza mpaka Masaki mbele ndo kuna hiyo barabara au nimechanganya madesa?
Nahisi ni kwakuwa huko ni pembezoni. Hata Saranga yenye watu wengi naona hawajapata. Naamini awatu ya tatu wote watafikiwa.Mkuu barabara inapoanzia Mvuti ni wilaya ya Ilala na barabara ilipotakiwa kuishia ni gereza la Mvuti (mwanzo wa Dondwe). Gereza hilo liko mpakani Ilala na Mkuranga. Hiyo Dondwe ni kijiji kilicho Mkuranga, lakini mpakani na Ilala.
Hivyo barabara hiyo yote iko Ilala.
Thanks.Nahisi ni kwakuwa huko ni pembezoni. Hata Saranga yenye watu wengi naona hawajapata. Naamini awatu ya tatu wote watafikiwa.
Sidhani kama wote wanaweza kufikiwa kwa wakati mmoja. Nchi ya Tanzania bado Masikini. Hata hapo panapojengwa na hela za Mikopp nahisi.Hawa jamaa wanatelekeza maeneo mengi sana. Barabara za Malamba-Kwembe, Luguruni-Kwembe-Kisopwa hadi Kisarawe? Mbona wamebase sana upande wa kulia wa barabara ya Morogoro?
Wilaya ya ubungo hamna hata barabara 1 upande wa jimbo la kibamba!kwa dar hamna sehemu korofi yenye barabara mbovu kama jimbo la kibamba na limepewa za uso huku mbunge wake mtemvu hana habari!Katika Mwaka wa fedha 2012/13 Serikali ilibuni Mradi wa uendelezaji wa Jiji la Dar es salaam (Dar es Salaam Metropolitan Development Project – DMDP), Madhumuni makubwa ya mradi wa DMDP ni kukabili changamoto zinazolikabili Jiji la Dar es Salaam kwa kutilia mkazo uboreshaji wa huduma za jamii kama miundombinu na kujenga uwezo wa Manispaa za Jiji la Dar es Salaam katika utoaji huduma, kuchangia katika kukabili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na kusaidia katika kukabili matukio makubwa ya dharura kama majanga ambayo yanaweza kulikabili Jiji la Dar es Salaam.
Vipaumbele muhimu vilianishwa kwa kufuata vigezo muhimu bila kuangalia umaarufu wa maeneo au itikadi mbalimbali. Vigezo muhimu vilivyoanishwa ni pamoja na Miradi iwe inayounganisha maeneo ya watu wenye kipato kidogo na yaliyojengwa holela, Miradi iwe inayounganisha Wilaya na Mkoa na Miradi iwe inayounganisha maeneo mbalimbali na ukanda wa mabasi yaendayo haraka (BRT) ili kurahisisha usafirishaji.
Ikaibuliwa miradi ya Ujenzi barabara za mlisho (feeder roads) zenye urefu wa kilometa 65.6 katika Manispaa zote za Jiji ili kupunguza changamoto za msongamano. Mradi Mwingine ukawa ni Ujenzi wa mitaro ya kutiririsha maji ya mvua yenye urefu wa kilometa 31.8 katika maeneo ya mto Ng’ombe, Msimbazi, Gerezani Creek, Yombo na Kwashego ili kutatua changamoto za mafuriko.
Kupandisha hadhi makazi yaliyopangwa kiholela katika Kata 14 za Tandale, Mburahati, Mwananyamala, Gongo la Mboto, Kiwalani, Ukonga, Keko, Kilakala, Mbagalakuu, Mbagala, Mtoni, Yombo Vituka, Kijichi na Makangarawe kwa kujenga kilometa 145 kwa kiwango cha lami, kuweka nyenzo za ukusanyaji wa taka ngumu, kujenga mitaro ya kutiririsha maji ya mvua, kuweka taa za barabarani, kujenga njia za watembea kwa miguu, ujenzi wa maeneo ya mapumziko na vituo vya mabasi, ujenzi wa vyoo vya umma na ujenzi wa maeneo ya michezo.
Kuandaa Mpango kabambe wa Mfumo wa Maji ya Mvua na Maji Taka (Storm Drainage and Sewerage Master plan) kwa kushirikiana na DAWASA/DAWASCO ambao utasaidia kupanua wigo wa mifumo kwa asilimia 100% kufikia 2030. Kufunga mfumo wa kisasa wa ukusanyaji wa mapato katika Manispaa zote na kuepuka mianya ya kuvuja na ukwepaji wa kulipa kodi. Na Kujenga uwezo wa mwitikio wa haraka katika kukabiliana na majanga.
UTEKELEZAJI
Katika mwaka wa fedha 2015/16 Serikali iliingia Mkataba na Benki ya Dunia wenye thamani ya dola za Kimarekani 300 milioni za utekelezaji wa mradi wa DMDP kwa kipindi cha miaka mitano. Aidha, mfuko wa maendeleo ya nchi za Nordic (NDF) umechangia dola za Kimarekani 5 milioni kwa ajili ya kukabili changamoto za mabadiliko ya tabia Nchi na Serikali ya Tanzania ina changia dola za Kimarekani 25.3 milioni katika mradi huu.
Katika mwaka fedha 2016/17 utekelezaji wa miradi ya DMDP Awamu ya kwanza ulianza.
Sekretarieti ya Mkoa ndo ilikuwa na jukumu la ushiriki wa pamoja na Ofisi ya Rais TAMISEMI na Manispaa katika maandalizi ya usimamizi wa utekelezaji wa mradi. Kwa sasa Mchakato ya Kuunda Mamlaka ya Jiji la Dar Es Salaam kusimamia miradi huu unaendelea.
Manispaa Bajeti kwa Mwaka 2016/17 (Sh.) Kazi zilizoanza kutekelezwa Temeke 72,804,468,467.00
- Kujenga barabara za mlisho 14.51km
- Ujenzi wa mitaro mikubwa 8.9km
- Ujenzi wa barabara za mitaa 55km
Ilala 43,242,117,826.00
- Kujenga barabara za mlisho 2.84km
- Ujenzi wa mitaro mikubwa
- Ujenzi wa barabara za mitaa 55km
Kinondoni 63,938,175,211.00
- Kujenga barabara za mlisho 14.51km
- Ujenzi wa mitaro mikubwa 8.9km
- Ujenzi wa barabara za Mitaa 55km
Kutekelezwa kwa miradi hii kumeibadilisha sura ya Jiji la Dar es Salaam na kuwa na muonekano. Sasa hivi Ukienda Mbagala, Kijichi, Temeke, Ilala, Tandika nk, Unakuta lami hadi vichochochoroni. Yote hayo ni Matunda ya Miradi ya DMDP.
MIRADI YA DMDP II INAYOJENGWA KUANZIA 2024
Mwaka 2024, Miradi ya DMDP II inaanza tena ambapo, Mkoa wa Dar es Salaam, barabara za awali zitakazoanza kujengwa kwenye awamu ya kwanza ya utekelezaji na zimeshafanyiwa usanifu zitakuwa zina urefu wa kilomita 150.74.
Kwa wilaya ya Ubungo, jumla ya kilomita 36.11 zitajengwa kwenye maeneo zaidi ya 20 kwa umbali tofauti.
Katika maeneo yote barabara ndefu zaidi ni kilomita 9.83 ya Msumi, na Goba Wakorea kilomita 7.76, huku barabara fupi ni ile ya kilomita 0.28 ya Tiptop na barabara ya Shule.
Nyingine ni Hondogo Shija (4.16), Makoka (4.04), Posta Matembe (0.82), Sheikh Bofu (1.13), Msikitini (0.37), Sinza KKKT (0.27), Segesera (0.77), Lion (0.84), Juma Ikangaa (0.97), Mbegani (0.28), Namnani (0.66), Chimwaga (0.34) na Mikindani (0.45)
Zimo barabara za Ubungo NHC (0.6), Midizini (0.99) na Binti Kayenga (1.27). Jumla ni kilomita 36.11.
Manispaa ya Kinondoni
Kilomita 20.34 zitajengwa katika manispaa hii. Zipo barabara za Nakalekwa -Bwawani (7.32), Umoja (3.86), Mivumoni (4.79), Tegeta Polisi - Silver- Binti Matola (0.77), na Amiri/Leni Tatu (Dawasa) kilomita 0.68.
Nyingine ni Togo (0.36), Togo 2 (0.36) na Togo 3 (0.2).
Jiji la Dar es Salaam(Wilaya ya Ilala)
Jumla ya kilomita 29.8 zitajengwa zikijumuisha barabara ya Banana Kitunda- Kivule -Msongola kilomita (16.31), Barakuda- Changombe -Majichumvi (3.27), Majumba Sita - Segerea (3.31), Migombani (1.57), Tabata Mawenzi - Kisiwani 2.12 na Bombom Market (0.12).
Barabara nyingine ni Community Park 2 (0.38), Community Park 2 Road 2 (0.56), Community Park 2 Road 3 (0.11), Community Park 2 Road 4 (0.11), Community Park 1 (0.35), Community Park 2 (0.11), Kigilagila Market 2 (0.28), Kigilagila Market (0.76), Kigilagila Market 3 (0.44).
Temeke
Kilomita 32.09 zitajengwa zikigusa barabara ya Ndunguru (1.64), Masaki (3.91) Masuliza (4.04) Kipati (0.72), Agape (1.07), Kilimahewa -Toangoma (6.17), Msikitini (0.45), Mwembeni (Nyika) (0.44), Malawi (0.28), Songambele (0.32), Mwakalinga Road 1.07.
Nyingine ni Markas (0.48), Majimaji (0.32), Keko Machungwa (0.57), Magorofani (0.31), Igome (Yemen) kilomita 0.85, Diwani (0.67), Basri (0.9), Konisaga 1 (0.29), Konisaga (3 0.4), Kurasini (1.12), Taningira (0.42), Uhasibu (0.44), Kizota (0.91) na Lushoto (0.3).
Pia zimo barabara za Pendamoyo (0.56), Pendamoyo 1 (0.2), Mandera (0.85), Mkumba - Miburani (0.39).
Kigamboni
Kwa upande wa Manispaa ya Kigamboni, zitaboreshwa barabara za kilomita 32.4.
Hizi zitajumuisha MC Full Shangwe (1.38), Gofingo - Shangwe (1.77), Kibada Plot (2.91), Lingia - Nyakwale (3.75), Gezaulole (Mivumoni) (7.05), Geza Juu - Eddah Avenue (2.92), Muongozo P/S (2.85), Pengo Simba (2.47), Dege Mbutu (1.6) na Atani Dege (1.76).
Nyingine ni Machava Njama (0.7), Mtaa wa Maji - Posta (1.28), Orasa (0.89), Mzee Msomi (0.65) na Polisi Pikori.
ujio wa DMDP awamu ya pili ni kicheko na furaha kwa Wananchi ambao hawakufikiwa na awamu ya kwanza.
Je, Umenufaikaje na miradi hii Sehemu unayoishi? Nini maoni yako?
Asante.
Mpiji magowe,kwembe,malamba mawili,king'azi ziko jimbo la kibamba,kwenye huo mkeka kwa awamu hii hamna barabara itakayojengwa jimbo la kibambaMpijii magowe wasitusahau Safari hii
Wilaya ya ubungo ina majimbo 2,ubungo kwa kitila mkumbo na kibamba kwa mtemvu,mradi haujagusa jimbo la kibamba hata kidogo,barabara zote zitajengwa jimbo la ubungoKwa wilaya ya Ubungo, jumla ya kilomita 36.11 zitajengwa kwenye maeneo zaidi ya 20 kwa umbali tofauti.
Kwa upande wa Temeke (Mbagala), mungeongeza juhudi ya kutanua Barabara ya kuanzia Kituo kikuu cha mabasi ya mwendo kasi Mbagala mpaka Vikindu pia lijengwe daraja linaloeleweka pale Kokoto.Katika Mwaka wa fedha 2012/13 Serikali ilibuni Mradi wa uendelezaji wa Jiji la Dar es salaam (Dar es Salaam Metropolitan Development Project – DMDP), Madhumuni makubwa ya mradi wa DMDP ni kukabili changamoto zinazolikabili Jiji la Dar es Salaam kwa kutilia mkazo uboreshaji wa huduma za jamii kama miundombinu na kujenga uwezo wa Manispaa za Jiji la Dar es Salaam katika utoaji huduma, kuchangia katika kukabili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na kusaidia katika kukabili matukio makubwa ya dharura kama majanga ambayo yanaweza kulikabili Jiji la Dar es Salaam.
Vipaumbele muhimu vilianishwa kwa kufuata vigezo muhimu bila kuangalia umaarufu wa maeneo au itikadi mbalimbali. Vigezo muhimu vilivyoanishwa ni pamoja na Miradi iwe inayounganisha maeneo ya watu wenye kipato kidogo na yaliyojengwa holela, Miradi iwe inayounganisha Wilaya na Mkoa na Miradi iwe inayounganisha maeneo mbalimbali na ukanda wa mabasi yaendayo haraka (BRT) ili kurahisisha usafirishaji.
Ikaibuliwa miradi ya Ujenzi barabara za mlisho (feeder roads) zenye urefu wa kilometa 65.6 katika Manispaa zote za Jiji ili kupunguza changamoto za msongamano. Mradi Mwingine ukawa ni Ujenzi wa mitaro ya kutiririsha maji ya mvua yenye urefu wa kilometa 31.8 katika maeneo ya mto Ng’ombe, Msimbazi, Gerezani Creek, Yombo na Kwashego ili kutatua changamoto za mafuriko.
Kupandisha hadhi makazi yaliyopangwa kiholela katika Kata 14 za Tandale, Mburahati, Mwananyamala, Gongo la Mboto, Kiwalani, Ukonga, Keko, Kilakala, Mbagalakuu, Mbagala, Mtoni, Yombo Vituka, Kijichi na Makangarawe kwa kujenga kilometa 145 kwa kiwango cha lami, kuweka nyenzo za ukusanyaji wa taka ngumu, kujenga mitaro ya kutiririsha maji ya mvua, kuweka taa za barabarani, kujenga njia za watembea kwa miguu, ujenzi wa maeneo ya mapumziko na vituo vya mabasi, ujenzi wa vyoo vya umma na ujenzi wa maeneo ya michezo.
Kuandaa Mpango kabambe wa Mfumo wa Maji ya Mvua na Maji Taka (Storm Drainage and Sewerage Master plan) kwa kushirikiana na DAWASA/DAWASCO ambao utasaidia kupanua wigo wa mifumo kwa asilimia 100% kufikia 2030. Kufunga mfumo wa kisasa wa ukusanyaji wa mapato katika Manispaa zote na kuepuka mianya ya kuvuja na ukwepaji wa kulipa kodi. Na Kujenga uwezo wa mwitikio wa haraka katika kukabiliana na majanga.
UTEKELEZAJI
Katika mwaka wa fedha 2015/16 Serikali iliingia Mkataba na Benki ya Dunia wenye thamani ya dola za Kimarekani 300 milioni za utekelezaji wa mradi wa DMDP kwa kipindi cha miaka mitano. Aidha, mfuko wa maendeleo ya nchi za Nordic (NDF) umechangia dola za Kimarekani 5 milioni kwa ajili ya kukabili changamoto za mabadiliko ya tabia Nchi na Serikali ya Tanzania ina changia dola za Kimarekani 25.3 milioni katika mradi huu.
Katika mwaka fedha 2016/17 utekelezaji wa miradi ya DMDP Awamu ya kwanza ulianza.
Sekretarieti ya Mkoa ndo ilikuwa na jukumu la ushiriki wa pamoja na Ofisi ya Rais TAMISEMI na Manispaa katika maandalizi ya usimamizi wa utekelezaji wa mradi. Kwa sasa Mchakato ya Kuunda Mamlaka ya Jiji la Dar Es Salaam kusimamia miradi huu unaendelea.
Manispaa Bajeti kwa Mwaka 2016/17 (Sh.) Kazi zilizoanza kutekelezwa Temeke 72,804,468,467.00
- Kujenga barabara za mlisho 14.51km
- Ujenzi wa mitaro mikubwa 8.9km
- Ujenzi wa barabara za mitaa 55km
Ilala 43,242,117,826.00
- Kujenga barabara za mlisho 2.84km
- Ujenzi wa mitaro mikubwa
- Ujenzi wa barabara za mitaa 55km
Kinondoni 63,938,175,211.00
- Kujenga barabara za mlisho 14.51km
- Ujenzi wa mitaro mikubwa 8.9km
- Ujenzi wa barabara za Mitaa 55km
Kutekelezwa kwa miradi hii kumeibadilisha sura ya Jiji la Dar es Salaam na kuwa na muonekano. Sasa hivi Ukienda Mbagala, Kijichi, Temeke, Ilala, Tandika nk, Unakuta lami hadi vichochochoroni. Yote hayo ni Matunda ya Miradi ya DMDP.
MIRADI YA DMDP II INAYOJENGWA KUANZIA 2024
Mwaka 2024, Miradi ya DMDP II inaanza tena ambapo, Mkoa wa Dar es Salaam, barabara za awali zitakazoanza kujengwa kwenye awamu ya kwanza ya utekelezaji na zimeshafanyiwa usanifu zitakuwa zina urefu wa kilomita 150.74.
Kwa wilaya ya Ubungo, jumla ya kilomita 36.11 zitajengwa kwenye maeneo zaidi ya 20 kwa umbali tofauti.
Katika maeneo yote barabara ndefu zaidi ni kilomita 9.83 ya Msumi, na Goba Wakorea kilomita 7.76, huku barabara fupi ni ile ya kilomita 0.28 ya Tiptop na barabara ya Shule.
Nyingine ni Hondogo Shija (4.16), Makoka (4.04), Posta Matembe (0.82), Sheikh Bofu (1.13), Msikitini (0.37), Sinza KKKT (0.27), Segesera (0.77), Lion (0.84), Juma Ikangaa (0.97), Mbegani (0.28), Namnani (0.66), Chimwaga (0.34) na Mikindani (0.45)
Zimo barabara za Ubungo NHC (0.6), Midizini (0.99) na Binti Kayenga (1.27). Jumla ni kilomita 36.11.
Manispaa ya Kinondoni
Kilomita 20.34 zitajengwa katika manispaa hii. Zipo barabara za Nakalekwa -Bwawani (7.32), Umoja (3.86), Mivumoni (4.79), Tegeta Polisi - Silver- Binti Matola (0.77), na Amiri/Leni Tatu (Dawasa) kilomita 0.68.
Nyingine ni Togo (0.36), Togo 2 (0.36) na Togo 3 (0.2).
Jiji la Dar es Salaam(Wilaya ya Ilala)
Jumla ya kilomita 29.8 zitajengwa zikijumuisha barabara ya Banana Kitunda- Kivule -Msongola kilomita (16.31), Barakuda- Changombe -Majichumvi (3.27), Majumba Sita - Segerea (3.31), Migombani (1.57), Tabata Mawenzi - Kisiwani 2.12 na Bombom Market (0.12).
Barabara nyingine ni Community Park 2 (0.38), Community Park 2 Road 2 (0.56), Community Park 2 Road 3 (0.11), Community Park 2 Road 4 (0.11), Community Park 1 (0.35), Community Park 2 (0.11), Kigilagila Market 2 (0.28), Kigilagila Market (0.76), Kigilagila Market 3 (0.44).
Temeke
Kilomita 32.09 zitajengwa zikigusa barabara ya Ndunguru (1.64), Masaki (3.91) Masuliza (4.04) Kipati (0.72), Agape (1.07), Kilimahewa -Toangoma (6.17), Msikitini (0.45), Mwembeni (Nyika) (0.44), Malawi (0.28), Songambele (0.32), Mwakalinga Road 1.07.
Nyingine ni Markas (0.48), Majimaji (0.32), Keko Machungwa (0.57), Magorofani (0.31), Igome (Yemen) kilomita 0.85, Diwani (0.67), Basri (0.9), Konisaga 1 (0.29), Konisaga (3 0.4), Kurasini (1.12), Taningira (0.42), Uhasibu (0.44), Kizota (0.91) na Lushoto (0.3).
Pia zimo barabara za Pendamoyo (0.56), Pendamoyo 1 (0.2), Mandera (0.85), Mkumba - Miburani (0.39).
Kigamboni
Kwa upande wa Manispaa ya Kigamboni, zitaboreshwa barabara za kilomita 32.4.
Hizi zitajumuisha MC Full Shangwe (1.38), Gofingo - Shangwe (1.77), Kibada Plot (2.91), Lingia - Nyakwale (3.75), Gezaulole (Mivumoni) (7.05), Geza Juu - Eddah Avenue (2.92), Muongozo P/S (2.85), Pengo Simba (2.47), Dege Mbutu (1.6) na Atani Dege (1.76).
Nyingine ni Machava Njama (0.7), Mtaa wa Maji - Posta (1.28), Orasa (0.89), Mzee Msomi (0.65) na Polisi Pikori.
ujio wa DMDP awamu ya pili ni kicheko na furaha kwa Wananchi ambao hawakufikiwa na awamu ya kwanza.
Je, Umenufaikaje na miradi hii Sehemu unayoishi? Nini maoni yako?
Asante.
Asante kwa ufafanuzi ILA mbona kinondoni zipo chache hasa jimbo la kawe ambalo halijawahi guswa na dmdp phase za nyuma????Katika Mwaka wa fedha 2012/13 Serikali ilibuni Mradi wa uendelezaji wa Jiji la Dar es salaam (Dar es Salaam Metropolitan Development Project – DMDP), Madhumuni makubwa ya mradi wa DMDP ni kukabili changamoto zinazolikabili Jiji la Dar es Salaam kwa kutilia mkazo uboreshaji wa huduma za jamii kama miundombinu na kujenga uwezo wa Manispaa za Jiji la Dar es Salaam katika utoaji huduma, kuchangia katika kukabili changamoto za mabadiliko ya tabia nchi na kusaidia katika kukabili matukio makubwa ya dharura kama majanga ambayo yanaweza kulikabili Jiji la Dar es Salaam.
Vipaumbele muhimu vilianishwa kwa kufuata vigezo muhimu bila kuangalia umaarufu wa maeneo au itikadi mbalimbali. Vigezo muhimu vilivyoanishwa ni pamoja na Miradi iwe inayounganisha maeneo ya watu wenye kipato kidogo na yaliyojengwa holela, Miradi iwe inayounganisha Wilaya na Mkoa na Miradi iwe inayounganisha maeneo mbalimbali na ukanda wa mabasi yaendayo haraka (BRT) ili kurahisisha usafirishaji.
Ikaibuliwa miradi ya Ujenzi barabara za mlisho (feeder roads) zenye urefu wa kilometa 65.6 katika Manispaa zote za Jiji ili kupunguza changamoto za msongamano. Mradi Mwingine ukawa ni Ujenzi wa mitaro ya kutiririsha maji ya mvua yenye urefu wa kilometa 31.8 katika maeneo ya mto Ng’ombe, Msimbazi, Gerezani Creek, Yombo na Kwashego ili kutatua changamoto za mafuriko.
Kupandisha hadhi makazi yaliyopangwa kiholela katika Kata 14 za Tandale, Mburahati, Mwananyamala, Gongo la Mboto, Kiwalani, Ukonga, Keko, Kilakala, Mbagalakuu, Mbagala, Mtoni, Yombo Vituka, Kijichi na Makangarawe kwa kujenga kilometa 145 kwa kiwango cha lami, kuweka nyenzo za ukusanyaji wa taka ngumu, kujenga mitaro ya kutiririsha maji ya mvua, kuweka taa za barabarani, kujenga njia za watembea kwa miguu, ujenzi wa maeneo ya mapumziko na vituo vya mabasi, ujenzi wa vyoo vya umma na ujenzi wa maeneo ya michezo.
Kuandaa Mpango kabambe wa Mfumo wa Maji ya Mvua na Maji Taka (Storm Drainage and Sewerage Master plan) kwa kushirikiana na DAWASA/DAWASCO ambao utasaidia kupanua wigo wa mifumo kwa asilimia 100% kufikia 2030. Kufunga mfumo wa kisasa wa ukusanyaji wa mapato katika Manispaa zote na kuepuka mianya ya kuvuja na ukwepaji wa kulipa kodi. Na Kujenga uwezo wa mwitikio wa haraka katika kukabiliana na majanga.
UTEKELEZAJI
Katika mwaka wa fedha 2015/16 Serikali iliingia Mkataba na Benki ya Dunia wenye thamani ya dola za Kimarekani 300 milioni za utekelezaji wa mradi wa DMDP kwa kipindi cha miaka mitano. Aidha, mfuko wa maendeleo ya nchi za Nordic (NDF) umechangia dola za Kimarekani 5 milioni kwa ajili ya kukabili changamoto za mabadiliko ya tabia Nchi na Serikali ya Tanzania ina changia dola za Kimarekani 25.3 milioni katika mradi huu.
Katika mwaka fedha 2016/17 utekelezaji wa miradi ya DMDP Awamu ya kwanza ulianza.
Sekretarieti ya Mkoa ndo ilikuwa na jukumu la ushiriki wa pamoja na Ofisi ya Rais TAMISEMI na Manispaa katika maandalizi ya usimamizi wa utekelezaji wa mradi. Kwa sasa Mchakato ya Kuunda Mamlaka ya Jiji la Dar Es Salaam kusimamia miradi huu unaendelea.
Manispaa Bajeti kwa Mwaka 2016/17 (Sh.) Kazi zilizoanza kutekelezwa Temeke 72,804,468,467.00
- Kujenga barabara za mlisho 14.51km
- Ujenzi wa mitaro mikubwa 8.9km
- Ujenzi wa barabara za mitaa 55km
Ilala 43,242,117,826.00
- Kujenga barabara za mlisho 2.84km
- Ujenzi wa mitaro mikubwa
- Ujenzi wa barabara za mitaa 55km
Kinondoni 63,938,175,211.00
- Kujenga barabara za mlisho 14.51km
- Ujenzi wa mitaro mikubwa 8.9km
- Ujenzi wa barabara za Mitaa 55km
Kutekelezwa kwa miradi hii kumeibadilisha sura ya Jiji la Dar es Salaam na kuwa na muonekano. Sasa hivi Ukienda Mbagala, Kijichi, Temeke, Ilala, Tandika nk, Unakuta lami hadi vichochochoroni. Yote hayo ni Matunda ya Miradi ya DMDP.
MIRADI YA DMDP II INAYOJENGWA KUANZIA 2024
Mwaka 2024, Miradi ya DMDP II inaanza tena ambapo, Mkoa wa Dar es Salaam, barabara za awali zitakazoanza kujengwa kwenye awamu ya kwanza ya utekelezaji na zimeshafanyiwa usanifu zitakuwa zina urefu wa kilomita 150.74.
Kwa wilaya ya Ubungo, jumla ya kilomita 36.11 zitajengwa kwenye maeneo zaidi ya 20 kwa umbali tofauti.
Katika maeneo yote barabara ndefu zaidi ni kilomita 9.83 ya Msumi, na Goba Wakorea kilomita 7.76, huku barabara fupi ni ile ya kilomita 0.28 ya Tiptop na barabara ya Shule.
Nyingine ni Hondogo Shija (4.16), Makoka (4.04), Posta Matembe (0.82), Sheikh Bofu (1.13), Msikitini (0.37), Sinza KKKT (0.27), Segesera (0.77), Lion (0.84), Juma Ikangaa (0.97), Mbegani (0.28), Namnani (0.66), Chimwaga (0.34) na Mikindani (0.45)
Zimo barabara za Ubungo NHC (0.6), Midizini (0.99) na Binti Kayenga (1.27). Jumla ni kilomita 36.11.
Manispaa ya Kinondoni
Kilomita 20.34 zitajengwa katika manispaa hii. Zipo barabara za Nakalekwa -Bwawani (7.32), Umoja (3.86), Mivumoni (4.79), Tegeta Polisi - Silver- Binti Matola (0.77), na Amiri/Leni Tatu (Dawasa) kilomita 0.68.
Nyingine ni Togo (0.36), Togo 2 (0.36) na Togo 3 (0.2).
Jiji la Dar es Salaam(Wilaya ya Ilala)
Jumla ya kilomita 29.8 zitajengwa zikijumuisha barabara ya Banana Kitunda- Kivule -Msongola kilomita (16.31), Barakuda- Changombe -Majichumvi (3.27), Majumba Sita - Segerea (3.31), Migombani (1.57), Tabata Mawenzi - Kisiwani 2.12 na Bombom Market (0.12).
Barabara nyingine ni Community Park 2 (0.38), Community Park 2 Road 2 (0.56), Community Park 2 Road 3 (0.11), Community Park 2 Road 4 (0.11), Community Park 1 (0.35), Community Park 2 (0.11), Kigilagila Market 2 (0.28), Kigilagila Market (0.76), Kigilagila Market 3 (0.44).
Temeke
Kilomita 32.09 zitajengwa zikigusa barabara ya Ndunguru (1.64), Masaki (3.91) Masuliza (4.04) Kipati (0.72), Agape (1.07), Kilimahewa -Toangoma (6.17), Msikitini (0.45), Mwembeni (Nyika) (0.44), Malawi (0.28), Songambele (0.32), Mwakalinga Road 1.07.
Nyingine ni Markas (0.48), Majimaji (0.32), Keko Machungwa (0.57), Magorofani (0.31), Igome (Yemen) kilomita 0.85, Diwani (0.67), Basri (0.9), Konisaga 1 (0.29), Konisaga (3 0.4), Kurasini (1.12), Taningira (0.42), Uhasibu (0.44), Kizota (0.91) na Lushoto (0.3).
Pia zimo barabara za Pendamoyo (0.56), Pendamoyo 1 (0.2), Mandera (0.85), Mkumba - Miburani (0.39).
Kigamboni
Kwa upande wa Manispaa ya Kigamboni, zitaboreshwa barabara za kilomita 32.4.
Hizi zitajumuisha MC Full Shangwe (1.38), Gofingo - Shangwe (1.77), Kibada Plot (2.91), Lingia - Nyakwale (3.75), Gezaulole (Mivumoni) (7.05), Geza Juu - Eddah Avenue (2.92), Muongozo P/S (2.85), Pengo Simba (2.47), Dege Mbutu (1.6) na Atani Dege (1.76).
Nyingine ni Machava Njama (0.7), Mtaa wa Maji - Posta (1.28), Orasa (0.89), Mzee Msomi (0.65) na Polisi Pikori.
ujio wa DMDP awamu ya pili ni kicheko na furaha kwa Wananchi ambao hawakufikiwa na awamu ya kwanza.
Je, Umenufaikaje na miradi hii Sehemu unayoishi? Nini maoni yako?
Asante.