Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Pale mbezi Luguruni St JosehHii barabara ya kwembe kisopwa unaingilia wap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale mbezi Luguruni St JosehHii barabara ya kwembe kisopwa unaingilia wap
Tuliambiwa barabara ya Dk. William Shija inayotoka pale Kibamba kwenda Kibwegere kwenye chuo cha VETA ingejengwa lami mwezi wa 7 mwaka 2024, lakini mpaka sasa kupo kimya, haijulikani kama mkandarasi alipatikana au la, barabara ni vumbi na yenye mashimo ya kufa mtu.Hata hivyo kwa ujumla wilaya ya UBUNGO imepunjwa. Wangejumusha angalau sehemu ya barabara Ya MBEZI hadi MPIGI MAGOE ili baadae iunganishwe na ya Bagamoyo.
Unaingilia zilipo ofisi za Mkurugenzi wilaya ya Ubungo pale Luguruni.Hii barabara ya kwembe kisopwa unaingilia wap