Ninachokijua kuhusu Miradi ya DMDP na Ujenzi wa Miundombinu Mkoani Dar

Wajitahidi waweke lami zinazoeleweka halafu mambo ya matuta hayana maana dunia ya leonjia km 4 matuta elfu moja kweli.
Jimbo la mpiga kelele mtandaoni gwajima lina hali mbaya sana ya barabara sijui ccm wakimpitisha watapanda watakachovuna.

Mtandaoni kawalipa walokole feki wenzie akiwaaminisha yeye ndio raisi ajaye gwajiboy alias kibwetere ana mambo sana
 
Hii barabara sijui kama itajengwa, maana hata ujenzi wa chuo cha Veta ambapo ndio barabara inaishia umesimama kwa karibu miezi 9 sasa!! Bajeti ilipitishwa toka mwezi Julai, sijui kama hata mkandarasi ameshapatikana
 
Inaweza kujengwa hata kama haipo kwenye mradi. Sababu sio kila barabara inayojengwa na Tarura ipo DMDP. Ila watu wa Viwege kazi mnayo. Upite ile Barabara hadi Utoboe kwa Muhaya, lazima utubu🤣🤣🤣
Tuombe Mungu
 
Malamba mawili,king'azi,kwembe na kibamba kuna lile dongo mfinyazi,kipindi cha mvua si binadamu wala vyombo vya moto,ni kuteleza tu!
 
Jimbo la kawe , nimeshangaa kuona ni kilometa chache sana. Ni aibu kwa mbunge wa kawe. Barabara za jimbo la kawe kuanzia mbezi beach mpaka bunju ni matope tupu.
Ndio maana mwakani ntachukua form kugombea jimbo la kawe kwa ticketi ya ccm.
Gwajima kashindwa ku-deliver.
 
Nazungumzia jimbo la kawe.
Hapo kwenye uchaguzi mbunge wetu aliletwa na magufuli.
Nileteeeeni Gwajima, Nileteeeeni Gwajima!!!
 
Mwaka 2021 Zilitengwa pesa Kwa ajili ya ujenzi wa barabara kutokea mbezi kwenda misumi na mpigi magoe je zilienda wapi?maana wameanza kutenga fungu la hizo barabara kuanzia 2021,2022 na 2023 lakini watu wa huko Kila siku Wanakula vumbi
Hii utekelezaji wake sijui utaanza lini!
 
Sidhani kama wote wanaweza kufikiwa kwa wakati mmoja. Nchi ya Tanzania bado Masikini. Hata hapo panapojengwa na hela za Mikopp nahisi.
Lazima kuww na balance, jimbo la Kibamba linakuwa isolated siku zote na sijui shida iko wapi.
 
Jimbo la.kawe ccm msituletee gwajima tena hana faida.na.wapiga.kura tunaishi. Kwenye matope barabara.hazijengwi.

Ukienda nae.kampeni anawalisha mihogo. Tupeni.hata.Yusufu mwenda japo kwa nguvu.aliyonayo mama kizigha najua anaweza kuteuliwa na chama ila.nae hana maajabu
 
"Sasa hivi Ukienda Mbagala, Kijichi, Temeke, Ilala, Tandika nk, Unakuta lami hadi vichochochoroni"! Hiyo Mbagala yenye lami mpaka vichochoroni ni Mbagala ya nchi gani? Mbagala ina barabara ya lami toka Rangitatu kwenda Kijichi, toka Rangitatu kwenda Mbande na barabara ya Kilwa kwenda Mtwara. Mitaa yote ya Rangitatu ni ya vumbi licha ya kuwepo viwanda na bandarikavu.
Unapoandika jambo jaribu kufafanua.
 
Ndio maana mwakani ntachukua form kugombea jimbo la kawe kwa ticketi ya ccm.
Gwajima kashindwa ku-deliver.
Mnachanganya mambo. Hizi barabara ni za DMDP sio za Mbunge wala CCM wala Mgawanyo wake hautokani na Majimbo bali Wilaya. Japo kwenye Kampeni wanasema wao ndo wamejenga.
 
Mbona Mbezi Beach hakuna linaloendelea? Ni lini barabara ya Ndafu itakarabatiwa na kuwekwa lami?
 
Hawa jamaa wanatelekeza maeneo mengi sana. Barabara za Malamba-Kwembe, Luguruni-Kwembe-Kisopwa hadi Kisarawe? Mbona wamebase sana upande wa kulia wa barabara ya Morogoro?
Hii barabara ya kwembe kisopwa unaingilia wap
 
Togo ilijengwa lami ya kihuni iliisha kati tu haikumaliza Togo Street yote
Hapo naona kama wakijenga kuanzia bwawani kuelelekea nyakakalekwa hiyo barabara ntafaidika nayo

Ova
Barabara ya bwawani nakalekwa unaingilia wap? Nataka nijue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…