Wamewanyima na chakula na kufunga mpaka lakini wapiNipo maktaba naangalia sababu za hao jamaa kupigana miezi Saba na watu ambao bunduki zao wametengenezea Sido ambapo tulielezwa kwenye medani za kivita Duniani hao zayuni ni moto WA kuotea mbali wanadaka mpaka mishale.
{}Sijui ni kwa nini! Ila watu wa aina yako,mnapokuwa na mimba changa huwa mnavurugwa sana.
Yaani usimzanie baba yako aliyekuzaa kama ana akili, au la! Uje umzanie mtu usiyemfahamu! Wewe ni Jinga kabisa.
Nimekutahadharisha tu kupitia haya maneno yako! Wewe changia mada iliyopo mezani. Huna sababu ya kuni quote na kuniletea matapishi yako.Nilizaniaga una akili, leo Nimeamini ni {}
{}Nimekutahadharisha tu kupitia haya maneno yako! Wewe changia mada iliyopo mezani. Huna sababu ya kuni quote na kuniletea matapishi yako.
😄 Al Qaeda na ISIS wote ndio hao hao US na Israel kuharibu Uislam, lakini Allah ameisha waibisha.
Nakupa hongera walau unaelewa kinacho endelea.Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu ambacho siyo! Mji wa mwisho kuuteketeza utakuwa ni Rafah, lakini nako ataambulia patupu na mateka hawatakuja kupatikana kamwe!.
Na hao watesi wake hawapo Gaza! cha kushangaza Mossad wameishiwa mbinu kabisa za kujua mateka wapo wapi hadi sasa,Kambi za wakimbizi zimelipuliwa,hospitali zimechomwa kwakisingizio wamejificha humo lakini wapi wanakuta ni raia,!
Sasa Israel nikama mtu mlevi kashika LMG na mkanda wa risasi 300 na kaporwa simu katikati ya soko!, anafyatua risasi hovyo hovyo! badadala ya kutuliza kichwa!na kujua mwizi kaelekea wapi ili ajue namna ya kumkamata!
Zayun kachanganyikiwa!
Israel piga haya matahira mavaa kobasi akili ziwakae sawaNakupa hongera walau unaelewa kinacho endelea.
Siyo wale punguani wanao kimbilia kusifia mauaji ya hovyo hovyo eti ni taifa la Mungu, sijui mataifa mengine huwa ni ya shetani au nani.
Mpaka sasa aslimia zaidi ya 75 % waliouwawa ni raia wa kawaida na siyo HAMAS.
Kibaya zaidi ni kwamba waliouwawa robo tatu yao ni wanawake na watoto.
Mareakani juzi hapa amekiri kuwa Israel imeua HAMAS kwa asilimia isiyo zidi 25 %, kwa maana hiyo 75 % bado wako active.
Lengo la muyahudi sasivi ni kulipua makazi ili tu wapalestina wakate tamaa wakose pakuishi waamue kuhama wenyewe kwa hiari ili mayahudi yachukue GAZA yote
Israel ni kama kuku aliekatwa kichwa anaruka hovyo hovyo tu.Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu ambacho siyo! Mji wa mwisho kuuteketeza utakuwa ni Rafah, lakini nako ataambulia patupu na mateka hawatakuja kupatikana kamwe!.
Na hao watesi wake hawapo Gaza! cha kushangaza Mossad wameishiwa mbinu kabisa za kujua mateka wapo wapi hadi sasa,Kambi za wakimbizi zimelipuliwa,hospitali zimechomwa kwakisingizio wamejificha humo lakini wapi wanakuta ni raia,!
Sasa Israel nikama mtu mlevi kashika LMG na mkanda wa risasi 300 na kaporwa simu katikati ya soko!, anafyatua risasi hovyo hovyo! badadala ya kutuliza kichwa!na kujua mwizi kaelekea wapi ili ajue namna ya kumkamata!
Zayun kachanganyikiwa!