Ninachokiona kwa Israel ni kuchanganyikiwa na vita!

Ninachokiona kwa Israel ni kuchanganyikiwa na vita!

Myahudi ni hatari tu kwenye stori za vijiweni nje ya hapo ni sawa na yale matoto mabonge nyanya yenye baba zao matajiri hua ni machokozi na maonevu sana kwa wenzao ila ukisema leo sitaki kujua baba yake ni nani unalitandika vizuri tu.
 
Sijui ni kwa nini! Ila watu wa aina yako,mnapokuwa na mimba changa huwa mnavurugwa sana.

Yaani usimzanie baba yako aliyekuzaa kama ana akili, au la! Uje umzanie mtu usiyemfahamu! Wewe ni Jinga kabisa.
{}
 
Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu ambacho siyo! Mji wa mwisho kuuteketeza utakuwa ni Rafah, lakini nako ataambulia patupu na mateka hawatakuja kupatikana kamwe!.
Na hao watesi wake hawapo Gaza! cha kushangaza Mossad wameishiwa mbinu kabisa za kujua mateka wapo wapi hadi sasa,Kambi za wakimbizi zimelipuliwa,hospitali zimechomwa kwakisingizio wamejificha humo lakini wapi wanakuta ni raia,!
Sasa Israel nikama mtu mlevi kashika LMG na mkanda wa risasi 300 na kaporwa simu katikati ya soko!, anafyatua risasi hovyo hovyo! badadala ya kutuliza kichwa!na kujua mwizi kaelekea wapi ili ajue namna ya kumkamata!
Zayun kachanganyikiwa!
Nakupa hongera walau unaelewa kinacho endelea.

Siyo wale punguani wanao kimbilia kusifia mauaji ya hovyo hovyo eti ni taifa la Mungu, sijui mataifa mengine huwa ni ya shetani au nani.

Mpaka sasa aslimia zaidi ya 75 % waliouwawa ni raia wa kawaida na siyo HAMAS.

Kibaya zaidi ni kwamba waliouwawa robo tatu yao ni wanawake na watoto.

Mareakani juzi hapa amekiri kuwa Israel imeua HAMAS kwa asilimia isiyo zidi 25 %, kwa maana hiyo 75 % bado wako active.

Lengo la muyahudi sasivi ni kulipua makazi ili tu wapalestina wakate tamaa wakose pakuishi waamue kuhama wenyewe kwa hiari ili mayahudi yachukue GAZA yote
 
Nakupa hongera walau unaelewa kinacho endelea.

Siyo wale punguani wanao kimbilia kusifia mauaji ya hovyo hovyo eti ni taifa la Mungu, sijui mataifa mengine huwa ni ya shetani au nani.

Mpaka sasa aslimia zaidi ya 75 % waliouwawa ni raia wa kawaida na siyo HAMAS.

Kibaya zaidi ni kwamba waliouwawa robo tatu yao ni wanawake na watoto.

Mareakani juzi hapa amekiri kuwa Israel imeua HAMAS kwa asilimia isiyo zidi 25 %, kwa maana hiyo 75 % bado wako active.

Lengo la muyahudi sasivi ni kulipua makazi ili tu wapalestina wakate tamaa wakose pakuishi waamue kuhama wenyewe kwa hiari ili mayahudi yachukue GAZA yote
Israel piga haya matahira mavaa kobasi akili ziwakae sawa
 
Kwa mtazamo wangu bila kwenda mbali, nikwamba Islael kashindwa vita! alichobaki nacho ni War Madness!. Amebaki kupiga huko na huku akiua watu wasiyo na hatia akidhani anawaua watesi wake, kitu ambacho siyo! Mji wa mwisho kuuteketeza utakuwa ni Rafah, lakini nako ataambulia patupu na mateka hawatakuja kupatikana kamwe!.
Na hao watesi wake hawapo Gaza! cha kushangaza Mossad wameishiwa mbinu kabisa za kujua mateka wapo wapi hadi sasa,Kambi za wakimbizi zimelipuliwa,hospitali zimechomwa kwakisingizio wamejificha humo lakini wapi wanakuta ni raia,!
Sasa Israel nikama mtu mlevi kashika LMG na mkanda wa risasi 300 na kaporwa simu katikati ya soko!, anafyatua risasi hovyo hovyo! badadala ya kutuliza kichwa!na kujua mwizi kaelekea wapi ili ajue namna ya kumkamata!
Zayun kachanganyikiwa!
Israel ni kama kuku aliekatwa kichwa anaruka hovyo hovyo tu.
 
Back
Top Bottom