Ninachokiona kwenye jezi za Simba kama ni kweli, Yanga wapo level nyingine kabisa

Ninachokiona kwenye jezi za Simba kama ni kweli, Yanga wapo level nyingine kabisa

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Neno "Sanda" kwenye jezi ya Simba, nina uhakika halijakaa pale kwa bahati mbaya. Simba kuna viongozi wapumbavu sijawahi kuona. Na ndio maana sioni Simba ikienda mbali kwa hawa viongozi wasio na aibu kuharibu brand ya Simba kwa kuwavalisha mashabiki "Sanda"

Ninaamini kuwa viongozi wa Yanga wana tumia akili sana kuua brand ya Simba na watafanikiwa iwapo viongozi ndio hawa.

Huyu sandaland siamini kama ni shabiki wa Simba na anaweza kulipwa ili afanye huu ujinga. Hii yanga ina mafia na ninachoona hapa ni utangulizi tu.

Tayari tumeshasikia siku ya tarehe 4 Agosti wanaenda kufagia uwanja wafanye jambo lao. Kuna namna hii Simba inazidiwa sana akili na mikakati ndani na nje ya uwanja.

Hata suala la Kibu mwisho mtanielewa tu kuwa hawa jamaa wametuzidi sana mbinu.

Kibu amebadilishwa na haaminiki tena.
 
Acha ushamba wewe kwamba hilo neno sanda lina shida gani kuwepo pale[emoji848] hujioni kama wewe ndio mpumbavu tuu [emoji848] hauja lazimishwa kununua wala kuvaa subiria vijora vyenu vya magoma fc
Acha ujinga we jamaa.Unanunuaje nguo imeandikwa Sanda?
Watanunua wapumbavu wachache tu au watalibandua hilo jina hapo kifuani
 
Kwa kweli neno Sanda halijakaa vizuri, Ni vema wahusika wakarekebisha vinginevyo naona wanaenda kupata hasara kubwa sana. Hii inaonyesha baadhi ya viongozi wa simba hawaisaidii timu.
 
Neno "Sanda" kwenye jezi ya Simba, nina uhakika halijakaa pale kwa bahati mbaya. Simba kuna viongozi wapumbavu sijawahi kuona. Na ndio maana sioni Simba ikienda mbali kwa hawa viongozi wasio na aibu kuharibu brand ya Simba kwa kuwavalisha mashabiki "Sanda"

Ninaamini kuwa viongozi wa Yanga wana tumia akili sana kuua brand ya Simba na watafanikiwa iwapo viongozi ndio hawa.

Huyu sandaland siamini kama ni shabiki wa Simba na anaweza kulipwa ili afanye huu ujinga. Hii yanga ina mafia na ninachoona hapa ni utangulizi tu.

Tayari tumeshasikia siku ya tarehe 4 Agosti wanaenda kufagia uwanja wafanye jambo lao. Kuna namna hii Simba inazidiwa sana akili na mikakati ndani na nje ya uwanja.

Hata suala la Kibu mwisho mtanielewa tu kuwa hawa jamaa wametuzidi sana mbinu.

Kibu amebadilishwa na haaminiki tena.
tuvaeni sanda jamani kkkkk
 
1721586304141.jpg
 
Back
Top Bottom