Ninachokiona kwenye jezi za Simba kama ni kweli, Yanga wapo level nyingine kabisa

Ninachokiona kwenye jezi za Simba kama ni kweli, Yanga wapo level nyingine kabisa

Acha ushamba wewe kwamba hilo neno sanda lina shida gani kuwepo pale🤔 hujioni kama wewe ndio mpumbavu tuu 🤔 hauja lazimishwa kununua wala kuvaa subiria vijora vyenu vya magoma fc
SANDA 😆😆😆😆😆😆
 
Neno "Sanda" kwenye jezi ya Simba, nina uhakika halijakaa pale kwa bahati mbaya. Simba kuna viongozi wapumbavu sijawahi kuona. Na ndio maana sioni Simba ikienda mbali kwa hawa viongozi wasio na aibu kuharibu brand ya Simba kwa kuwavalisha mashabiki "Sanda"

Ninaamini kuwa viongozi wa Yanga wana tumia akili sana kuua brand ya Simba na watafanikiwa iwapo viongozi ndio hawa.

Huyu sandaland siamini kama ni shabiki wa Simba na anaweza kulipwa ili afanye huu ujinga. Hii yanga ina mafia na ninachoona hapa ni utangulizi tu.

Tayari tumeshasikia siku ya tarehe 4 Agosti wanaenda kufagia uwanja wafanye jambo lao. Kuna namna hii Simba inazidiwa sana akili na mikakati ndani na nje ya uwanja.

Hata suala la Kibu mwisho mtanielewa tu kuwa hawa jamaa wametuzidi sana mbinu.

Kibu amebadilishwa na haaminiki tena.
Sanda zenu ndizo zitawazika kwenye nafasi ya Tatu au ya nne kwenye ligi, sandaland kaamua kufungua code mapema kabisaaa😆😆😆
 
Mdakuzi Vipi nikununulie hii jezi mpya? Nimebaki njia panda nashindwa kukununulia sanda b...
Hii ni kawaida kwa kila jezi mpya ya Simba ikitoka, naona Yanga ndiyo wanateswa nazo sana. Mimi sioni shida kwenye hili.

Sanda sio jina, ila ni vazi. Kwamba sio kila kilichoandikwa sanda ni sanda, ila sanda yenyewe kama vazi ndiyo itabaki kuwa sanda.

Sanda iko kama brand name, kama ilivyo Fila au nembo ya Kappa yenye picha ya watu wasio na nguo, lakini haina shida.

Ova
 
Hii ni kawaida kwa kila jezi mpya ya Simba ikitoka, naona Yanga ndiyo wanateswa nazo sana. Mimi sioni shida kwenye hili.

Sanda sio jina, ila ni vazi. Kwamba sio kila kilichoandikwa sanda ni sanda, ila sanda yenyewe kama vazi ndiyo itabaki kuwa sanda.

Sanda iko kama brand name, kama ilivyo Fila au nembo ya Kappa yenye picha ya watu wasio na nguo, lakini haina shida.

Ova
Nilijua tu, wewe tena? Ila utanisamehe, siwezi kukununulia sanda b...
Ofa umeikosa.
 
Hii ni kawaida kwa kila jezi mpya ya Simba ikitoka, naona Yanga ndiyo wanateswa nazo sana. Mimi sioni shida kwenye hili.

Sanda sio jina, ila ni vazi. Kwamba sio kila kilichoandikwa sanda ni sanda, ila sanda yenyewe kama vazi ndiyo itabaki kuwa sanda.

Sanda iko kama brand name, kama ilivyo Fila au nembo ya Kappa yenye picha ya watu wasio na nguo, lakini haina shida.

Ova
Wewe ni chizi ndio maana huoni shida.

Ukikuta bus lina jina mortuary utapanda tu,au nyumba ya kulala wageni imeandikwa kaburi bila shaka utalala humo tu.
Akili hazina ushirikiano na mazingira bila shaka nyie ndio mnaokula kinyesi kuwafurahisha wake zenu
 
Yaani nyie binadamu. Mbona huwa mnavaa jezi zimeandikwa FILA. Leo "sanda" mnashangaa!
 
Neno "Sanda" kwenye jezi ya Simba, nina uhakika halijakaa pale kwa bahati mbaya. Simba kuna viongozi wapumbavu sijawahi kuona. Na ndio maana sioni Simba ikienda mbali kwa hawa viongozi wasio na aibu kuharibu brand ya Simba kwa kuwavalisha mashabiki "Sanda"

Ninaamini kuwa viongozi wa Yanga wana tumia akili sana kuua brand ya Simba na watafanikiwa iwapo viongozi ndio hawa.

Huyu sandaland siamini kama ni shabiki wa Simba na anaweza kulipwa ili afanye huu ujinga. Hii yanga ina mafia na ninachoona hapa ni utangulizi tu.

Tayari tumeshasikia siku ya tarehe 4 Agosti wanaenda kufagia uwanja wafanye jambo lao. Kuna namna hii Simba inazidiwa sana akili na mikakati ndani na nje ya uwanja.

Hata suala la Kibu mwisho mtanielewa tu kuwa hawa jamaa wametuzidi sana mbinu.

Kibu amebadilishwa na haaminiki tena.
Uzi bila picha sawa na bure kabisaa
 
Hii ni kawaida kwa kila jezi mpya ya Simba ikitoka, naona Yanga ndiyo wanateswa nazo sana. Mimi sioni shida kwenye hili.

Sanda sio jina, ila ni vazi. Kwamba sio kila kilichoandikwa sanda ni sanda, ila sanda yenyewe kama vazi ndiyo itabaki kuwa sanda.

Sanda iko kama brand name, kama ilivyo Fila au nembo ya Kappa yenye picha ya watu wasio na nguo, lakini haina shida.

Ova
FILA ina shida gani? Au una matatizo ya kuchanganya L na R??
 
Wewe ni chizi ndio maana huoni shida.

Ukikuta bus lina jina mortuary utapanda tu,au nyumba ya kulala wageni imeandikwa kaburi bila shaka utalala humo tu.
Akili hazina ushirikiano na mazingira bila shaka nyie ndio mnaokula kinyesi kuwafurahisha wake zenu
Jezi Iko poa lakini kazingua kwenye ilo neno SANDA, ubunifu inatakiwa uangalie na aina ya maneno unayoyaweka kwenye product yako sio ilimradi umeamka na kupachika tu bila kuangalia mazingira na utamaduni wa walaji wako, ni Bora angekamilisha neno sandaland ikajulikana moja
 
Back
Top Bottom