Mkuu, unanitusi kwa sababu ya hizi jezi za Simba tu au kuna mengine? Maana kwenye hili sioni room ya haya matusi yote kwenye hili tu.Wewe ni chizi ndio maana huoni shida.
Ukikuta bus lina jina mortuary utapanda tu,au nyumba ya kulala wageni imeandikwa kaburi bila shaka utalala humo tu.
Akili hazina ushirikiano na mazingira bila shaka nyie ndio mnaokula kinyesi kuwafurahisha wake zenu
Haina shida.FILA ina shida gani? Au una matatizo ya kuchanganya L na R??
Zetu wana Simba nyie utopolokwinyo subirini vijora vyenu vya baikokoZako wewe na nani?
Sisi si maiti
Umefikia hatua ya kutafutiwa mshauri nasaha. Yaani niache kupanda bus kwa sababu lina jina la mochware? Au niache kulala lodge kwa sababu ina jina la kaburi?Wewe ni chizi ndio maana huoni shida.
Ukikuta bus lina jina mortuary utapanda tu,au nyumba ya kulala wageni imeandikwa kaburi bila shaka utalala humo tu.
Akili hazina ushirikiano na mazingira bila shaka nyie ndio mnaokula kinyesi kuwafurahisha wake zenu
Sanda ina shida gani?FILA ina shida gani??
Sanda ni nguo ya kuzikia maiti,Sanda ina shida gani?
Sanda kwenye jezi ya Simba Sc ni neno lililotolewa kwenye brand name "Sandaland" ya muuzaji wa jezi za Simba Sc.Sanda ni nguo ya kuzikia maiti,
Nini maana ya FILA??
anasema SANDAMuhasibu anasemeje?
Jezi kama bango la matangazoWame punguza matangazo ya kanji au kwakua sija ona nyuma ya jezi ,,wana ficha nini
Washajivisha sanda wenyewe mapemaaa πππ
Tueleze wewe SANDA ni Nani ndani ya Simba?Acha ushamba wewe kwamba hilo neno sanda lina shida gani kuwepo paleπ€ hujioni kama wewe ndio mpumbavu tuu π€ hauja lazimishwa kununua wala kuvaa subiria vijora vyenu vya magoma fc
Mimi sitaki kujua ni kifupi au kirefu Cha nini jezi ni kwa ajili yetu wana Simba nyie utopolokwinyo mnaumia nini π€π€ ambacho hamjui kadri mnavyo zidi kuhangaika na hilo neno ndivyo jezi inazidi kua maarufuTueleze wewe SANDA ni Nani ndani ya Simba?
Ni mdhamini - hapana
Ni Mfadhili - Hapana
Ni mwekezaji - Hapana
Jibu NI KIFUPI CHA SANDALAND.
Tangu lini brand name inafupiahwa?
kifuatachoMlianza kununua jeneza na kuingia nalo uwanjani sasa ni zamu ya Sanda.