NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Ushindi sio umati bali ni mipango,wapiga kura wa Cdm wanafayiwa mipango mwisho wa siku wanampigia kura dr.tulia.Tulia hapiti nimeona ka-umati kake kanasikitisha.
Si ndio bao la mkono ambalo bila hilo ccm kamwe hawapati zaidi ya wabunge 40.Ushindi sio umati bali ni mipango,wapiga kura wa Cdm wanafayiwa mipango mwisho wa siku wanampigia kura dr.tulia.
Mjini mipango kaka.
kuna miundo mbinu na mbinu za miundo.
haya mambo mawili yakitimia haponi mtu.
Bora abaki yule yule mwana Hip hop kuliko huyu CCM wamtakaye.
1. CCM itaamua nini kifanyike Mbeya Mjini bila msemaji wao kwani tayari atakuwa spika na yupo chini ya nyayo za mkuu solotep mdomoni.
2. Atakuwa spika kwa uchochoro wa Mwanamke anaweza tazama mh. samia ameweza tazama ummy ameweza. Vijana wa Mbeya mjini akiondoka Raisi wenu kama mnavyomwita hivi mnajua kitachofuata? Wakati wenu wakukaa kimyaaa ndio utakuwa umefika yaani kimya ninyi hadi msemaji wenu bungeni.
3. Tuombe Mungu Mjomba mwenyewe kwa hiyari yake aamue
ni jambo gani jipya la kimaendeleo ataamua alilete ndani ya Mbeya Mjini.
4. Rais Magufuli nakukumbusha barabara ya kutoka njia panda KK Rungwe TUKUYU kwenda ILEJE ni barabara KUU KWA SASA Kwani inaunganisha MKOA WA MBEYA NA SONGWE ila bado ni ya vumbi.
#Tafadhari ikumbuke naamini unatambua mchango wa masoko ya gurio la LUGOMBO NA IKUTI katika kuliingizia pato Taifa.
Asanteni.
Hapana sio bao la mkono.ni kuwashawishi wapigakura wakupigie wewe.Si ndio bao la mkono ambalo bila hilo ccm kamwe hawapati zaidi ya wabunge 40.
Watu wa Mbeya hawaongozwi na mwanamke wanaitwa wanyambaraNaibu spika yupo vizuri naamini atashinda
Watu wa Mbeya hawaongozwi na mwanamke wanaitwa wanyambara
Labda atashinda njaa.Naibu spika yupo vizuri naamini atashinda
Labda msomi fake na mpuuzi asiekuwa na nidhamu.Mbeya wameamua kuchagua Msomi badala ya Maandamano
Bangi mbaya Sana?Bora abaki yule yule mwana Hip hop kuliko huyu CCM wamtakaye.
1. CCM itaamua nini kifanyike Mbeya Mjini bila msemaji wao kwani tayari atakuwa spika na yupo chini ya nyayo za mkuu solotep mdomoni.
2. Atakuwa spika kwa uchochoro wa Mwanamke anaweza tazama mh. samia ameweza tazama ummy ameweza. Vijana wa Mbeya mjini akiondoka Raisi wenu kama mnavyomwita hivi mnajua kitachofuata? Wakati wenu wakukaa kimyaaa ndio utakuwa umefika yaani kimya ninyi hadi msemaji wenu bungeni.
3. Tuombe Mungu Mjomba mwenyewe kwa hiyari yake aamue
ni jambo gani jipya la kimaendeleo ataamua alilete ndani ya Mbeya Mjini.
4. Rais Magufuli nakukumbusha barabara ya kutoka njia panda KK Rungwe TUKUYU kwenda ILEJE ni barabara KUU KWA SASA Kwani inaunganisha MKOA WA MBEYA NA SONGWE ila bado ni ya vumbi.
#Tafadhari ikumbuke naamini unatambua mchango wa masoko ya gurio la LUGOMBO NA IKUTI katika kuliingizia pato Taifa.
Asanteni.
Unamfahamu ama unamsikia? Sugu ambaye kaanza muziki kab;la wanamuziki wa WCB hawajazaliwa aje asaini WCB? Unafahamu label yake ina thamani gani?Sugu atasaini wcb ili aanze maisha mapya 2021
Labda kwa kutumia mabomu na maji ya kuwasha. Lkn kwa kura halali sio rahisi sana. Lile jimbo halijawahi kuongozwwa na mwanamke tangu kuanzishwa kwake na kwa miaka hii michache haitatokea!Naibu spika yupo vizuri naamini atashinda
Muziki ni biashara sio kuanza muziki kabla.mafanikio ya wcb kama lebel na mafanikio ya hiyo lebel ya sugu ni tofauti,wcb wapo juu kuliko sugu.Unamfahamu ama unamsikia? Sugu ambaye kaanza muziki kab;la wanamuziki wa WCB hawajazaliwa aje asaini WCB? Unafahamu label yake ina thamani gani?
Labda kwa kutumia mabomu na maji ya kuwasha. Lkn kwa kura halali sio rahisi sana. Lile jimbo halijawahi kuongozwwa na mwanamke tangu kuanzishwa kwake na kwa miaka hii michache haitatokea!
Yupo vizuri kwa Sanaa ya kula kwa mama lisheYupo vizuri katika lipi mkuu?
Je ni katika kuwaletea wanambeya maendeleo?
Then akishinda we utapata nnNaibu spika yupo vizuri naamini atashinda