Uchaguzi 2020 Ninachokiona Mbeya Mjini 2020

Uchaguzi 2020 Ninachokiona Mbeya Mjini 2020

Tulia hapiti nimeona ka-umati kake kanasikitisha.
Ushindi sio umati bali ni mipango,wapiga kura wa Cdm wanafayiwa mipango mwisho wa siku wanampigia kura dr.tulia.
Mjini mipango kaka.
kuna miundo mbinu na mbinu za miundo.
haya mambo mawili yakitimia haponi mtu.
 
Ushindi sio umati bali ni mipango,wapiga kura wa Cdm wanafayiwa mipango mwisho wa siku wanampigia kura dr.tulia.
Mjini mipango kaka.
kuna miundo mbinu na mbinu za miundo.
haya mambo mawili yakitimia haponi mtu.
Si ndio bao la mkono ambalo bila hilo ccm kamwe hawapati zaidi ya wabunge 40.
 
Bora abaki yule yule mwana Hip hop kuliko huyu CCM wamtakaye.

1. CCM itaamua nini kifanyike Mbeya Mjini bila msemaji wao kwani tayari atakuwa spika na yupo chini ya nyayo za mkuu solotep mdomoni.

2. Atakuwa spika kwa uchochoro wa Mwanamke anaweza tazama mh. samia ameweza tazama ummy ameweza. Vijana wa Mbeya mjini akiondoka Raisi wenu kama mnavyomwita hivi mnajua kitachofuata? Wakati wenu wakukaa kimyaaa ndio utakuwa umefika yaani kimya ninyi hadi msemaji wenu bungeni.


3. Tuombe Mungu Mjomba mwenyewe kwa hiyari yake aamue
ni jambo gani jipya la kimaendeleo ataamua alilete ndani ya Mbeya Mjini.


4. Rais Magufuli nakukumbusha barabara ya kutoka njia panda KK Rungwe TUKUYU kwenda ILEJE ni barabara KUU KWA SASA Kwani inaunganisha MKOA WA MBEYA NA SONGWE ila bado ni ya vumbi.

#Tafadhari ikumbuke naamini unatambua mchango wa masoko ya gurio la LUGOMBO NA IKUTI katika kuliingizia pato Taifa.

Asanteni.


Waandae kisaikolojia kubomolewa nyumba, sioni Magufuli akiweka rami labda Rais ajaye huko 2050 mbele huko
 
Si ndio bao la mkono ambalo bila hilo ccm kamwe hawapati zaidi ya wabunge 40.
Hapana sio bao la mkono.ni kuwashawishi wapigakura wakupigie wewe.
pia kuwashawishi wasio na nia walampango wa kupiga kura wapige.
 
Bora abaki yule yule mwana Hip hop kuliko huyu CCM wamtakaye.

1. CCM itaamua nini kifanyike Mbeya Mjini bila msemaji wao kwani tayari atakuwa spika na yupo chini ya nyayo za mkuu solotep mdomoni.

2. Atakuwa spika kwa uchochoro wa Mwanamke anaweza tazama mh. samia ameweza tazama ummy ameweza. Vijana wa Mbeya mjini akiondoka Raisi wenu kama mnavyomwita hivi mnajua kitachofuata? Wakati wenu wakukaa kimyaaa ndio utakuwa umefika yaani kimya ninyi hadi msemaji wenu bungeni.


3. Tuombe Mungu Mjomba mwenyewe kwa hiyari yake aamue
ni jambo gani jipya la kimaendeleo ataamua alilete ndani ya Mbeya Mjini.


4. Rais Magufuli nakukumbusha barabara ya kutoka njia panda KK Rungwe TUKUYU kwenda ILEJE ni barabara KUU KWA SASA Kwani inaunganisha MKOA WA MBEYA NA SONGWE ila bado ni ya vumbi.

#Tafadhari ikumbuke naamini unatambua mchango wa masoko ya gurio la LUGOMBO NA IKUTI katika kuliingizia pato Taifa.

Asanteni.
Bangi mbaya Sana?
 
Sugu atasaini wcb ili aanze maisha mapya 2021
Unamfahamu ama unamsikia? Sugu ambaye kaanza muziki kab;la wanamuziki wa WCB hawajazaliwa aje asaini WCB? Unafahamu label yake ina thamani gani?
 
Naibu spika yupo vizuri naamini atashinda
Labda kwa kutumia mabomu na maji ya kuwasha. Lkn kwa kura halali sio rahisi sana. Lile jimbo halijawahi kuongozwwa na mwanamke tangu kuanzishwa kwake na kwa miaka hii michache haitatokea!
 
Unamfahamu ama unamsikia? Sugu ambaye kaanza muziki kab;la wanamuziki wa WCB hawajazaliwa aje asaini WCB? Unafahamu label yake ina thamani gani?
Muziki ni biashara sio kuanza muziki kabla.mafanikio ya wcb kama lebel na mafanikio ya hiyo lebel ya sugu ni tofauti,wcb wapo juu kuliko sugu.
Embu nambie hiyo lebel ya sugu ambayo haina umarufu kama wcb ina thamani gani nijue.na ishafanya kazi zipi za ndani na nje ya nchi?
 
Unajidanganya kiongozi, utajiumiza bure Sugu atafute kazi ingine
Labda kwa kutumia mabomu na maji ya kuwasha. Lkn kwa kura halali sio rahisi sana. Lile jimbo halijawahi kuongozwwa na mwanamke tangu kuanzishwa kwake na kwa miaka hii michache haitatokea!
 
Mbeya kunani?? Mbona "vurugu" zimeanza mapema...
 
Back
Top Bottom