Ninachokutana nacho kila nikijaribu kuingia kwenye mahusiano kinanifanya nahofia huenda nikabaki single hadi muda wa ndoa

Achana na pisi zile kabisa mdogo wangu. Zitakuua. Tafuta msichana wa kawaida ambae sio mwanafunzi asie na mambo mengi. Pia usionyeshe una uhitaji sana, yani usiwe too desparate.
 
Hujiamini..
Hahahahahah hajiamini wakati hana fuba.

Hio equation ngumu sana yani maana nikiwaza kile kiburi nachokuwaga nacho kuanzia tarehe 30 huwa sio cha kawaida 🤣🤣🤣!

Pesa ni silaha zaidi ya bunduki wanazotembea nazo askari. Kimsingi dogo atafte mama lishe tu aishi nae maana ndio ambao hawanaga usumbufu.
 
Nguvu ya kibunda sio mchezo
 
Nakupa siri...
Tafuta pesa....watakuja wenyewe.
 
Kanywe uji ukue kwanza, akili yako haijakomaa, au tongoza form four leavers ndo saizi yako, mnafanana akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…