Lishule gani hilo muda wote huo?Namaliza nikiwa na miaka 28, mkuu Sasa itakuwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lishule gani hilo muda wote huo?Namaliza nikiwa na miaka 28, mkuu Sasa itakuwaje
😆 😆 😆 😆Hahahahahah hajiamini wakati hana fuba.
Hio equation ngumu sana yani maana nikiwaza kile kiburi nachokuwaga nacho kuanzia tarehe 30 huwa sio cha kawaida 🤣🤣🤣!
Pesa ni silaha zaidi ya bunduki wanazotembea nazo askari. Kimsingi dogo atafte mama lishe tu aishi nae maana ndio ambao hawanaga usumbufu.
[emoji23][emoji23][emoji23] daaah aisee mkuu umenifanya nicheke saana [emoji119][emoji119]Umri huo wenzio wasio na pesa wanapiga nyeto
We unayataka mapenzi ya nini? Utakufa shaurizo
ndio ushauri wako huo ukiwa kama mtu mwenye akili iliyokomaa ?Kanywe uji ukue kwanza, akili yako haijakomaa, au tongoza form four leavers ndo saizi yako, mnafanana akili.
Sijasema, nimetypeUmesema uko na 22 yrs old?
Acha uoga na jiaminiNaombeni ushauri wakuu.
Leo pia nimeahirisha jaribio langu la kutaka kuingia kwenye mahusiano, hii ikiwa ni mara yangu ya nne sasa, na hiki ndio hupelekea mimi kukumbana na hali hii.
👉Msichana nayempenda na kudhamiria kumtongoza nakuja kugundua kuwa kuna mtu mwingne bora zaidi yangu (status), yaani ana pesa na umri kunizidi jambo linalopelekea mimi kupuuzwa hata baada ya kumtongoza hivyo kuishia kunyong'onyea tu.
Wakuu kama pesa ni case mbona kuna washikaji zangu hawana pesa na wako kwenye mahusiano? What went wrong with me?
Sawa nitafute hela hadi lini? Hata nikizipata bado kuna watu watakuwa wananizidi tu, labda niwe tajiri wa kwanza duniani.
Hapa nawaza labda mimi niishi maisha ya kutowaza mahusiano hadi pale nitakapooa, tena niende vijijini huko ndanindani ndio nioe.
Au wakuu mnanishaurije, ushauri wenu ndiyo hatima ya mimi na mapenzi (age 22).
Asanteni.
mtu anauliza vizuri anataka akusaidie wewe unajibu pumba shenz kbsSijasema, nimetype
mkuu sasa mbona swali halikuwa necessarymtu anauliza vizuri anataka akusaidie wewe unajibu pumba shenz kbs
duh!Ukiwa hauna demu kupata demu sahau
Wii 🤣🤣🤣😂😂😂Wii
Mkuu una umri mzuri bado na una nafasi ya kujitafuta na kutafuta mchumba bado saana. Jitafute zaido mapenzi usiyaweke seriously yatakuja yenyewe muda wowote bila ku forceNaombeni ushauri wakuu.
Leo pia nimeahirisha jaribio langu la kutaka kuingia kwenye mahusiano, hii ikiwa ni mara yangu ya nne sasa, na hiki ndio hupelekea mimi kukumbana na hali hii.
👉Msichana nayempenda na kudhamiria kumtongoza nakuja kugundua kuwa kuna mtu mwingne bora zaidi yangu (status), yaani ana pesa na umri kunizidi jambo linalopelekea mimi kupuuzwa hata baada ya kumtongoza hivyo kuishia kunyong'onyea tu.
Wakuu kama pesa ni case mbona kuna washikaji zangu hawana pesa na wako kwenye mahusiano? What went wrong with me?
Sawa nitafute hela hadi lini? Hata nikizipata bado kuna watu watakuwa wananizidi tu, labda niwe tajiri wa kwanza duniani.
Hapa nawaza labda mimi niishi maisha ya kutowaza mahusiano hadi pale nitakapooa, tena niende vijijini huko ndanindani ndio nioe.
Au wakuu mnanishaurije, ushauri wenu ndiyo hatima ya mimi na mapenzi (age 22).
Asanteni.
Asante sana mkuu kwa ushauri wakoMkuu una umri mzuri bado na una nafasi ya kujitafuta na kutafuta mchumba bado saana. Jitafute zaido mapenzi usiyaweke seriously yatakuja yenyewe muda wowote bila ku force
🤜Asante sana mkuu kwa ushauri wako
Naombeni ushauri wakuu.
Leo pia nimeahirisha jaribio langu la kutaka kuingia kwenye mahusiano, hii ikiwa ni mara yangu ya nne sasa, na hiki ndio hupelekea mimi kukumbana na hali hii.
[emoji117]Msichana nayempenda na kudhamiria kumtongoza nakuja kugundua kuwa kuna mtu mwingne bora zaidi yangu (status), yaani ana pesa na umri kunizidi jambo linalopelekea mimi kupuuzwa hata baada ya kumtongoza hivyo kuishia kunyong'onyea tu.
Wakuu kama pesa ni case mbona kuna washikaji zangu hawana pesa na wako kwenye mahusiano? What went wrong with me?
Sawa nitafute hela hadi lini? Hata nikizipata bado kuna watu watakuwa wananizidi tu, labda niwe tajiri wa kwanza duniani.
Hapa nawaza labda mimi niishi maisha ya kutowaza mahusiano hadi pale nitakapooa, tena niende vijijini huko ndanindani ndio nioe.
Au wakuu mnanishaurije, ushauri wenu ndiyo hatima ya mimi na mapenzi (age 22).
Asanteni.
Asante sana mkuu,Sorry to tell u this, umri huo ulionao ni ngum au ni nadra kupata mschana wa kuwa nae serious au mahusiano stable kwasababu mschana wa umri wako unayemtaka kwa sasa ndio yuko kwenye peak! Wanaume Wengi wanamtaka tena probably ni high value men lakini thamani yake inaenda ikishuka Na wewe bado unajitafuta hivyo bado ni ngumu kuingia kwenye ligi cha msingi jitafute kwanza na ikiwezekana usiwe serious sana na mahusiano kwa sasa pambana hadi na wewe uwe a high value man kama hao wengine, ukifika 30 na kuendelea ukiwa umefanikiwa hao waschana walio kwenye peak watakufata wenyewe & utakuwa options nyingi tu kwasasahv wala usiumie na pia usipoteze muda wako Jitafute kwanza!!
Huo umri ulio nao siyo wa kuyachukulia kabisa mapenzi kwa uzito. Utakufa kabla ya wa wakati wako kufika.Naombeni ushauri wakuu.
Leo pia nimeahirisha jaribio langu la kutaka kuingia kwenye mahusiano, hii ikiwa ni mara yangu ya nne sasa, na hiki ndio hupelekea mimi kukumbana na hali hii.
👉Msichana nayempenda na kudhamiria kumtongoza nakuja kugundua kuwa kuna mtu mwingne bora zaidi yangu (status), yaani ana pesa na umri kunizidi jambo linalopelekea mimi kupuuzwa hata baada ya kumtongoza hivyo kuishia kunyong'onyea tu.
Wakuu kama pesa ni case mbona kuna washikaji zangu hawana pesa na wako kwenye mahusiano? What went wrong with me?
Sawa nitafute hela hadi lini? Hata nikizipata bado kuna watu watakuwa wananizidi tu, labda niwe tajiri wa kwanza duniani.
Hapa nawaza labda mimi niishi maisha ya kutowaza mahusiano hadi pale nitakapooa, tena niende vijijini huko ndanindani ndio nioe.
Au wakuu mnanishaurije, ushauri wenu ndiyo hatima ya mimi na mapenzi (age 22).
Asanteni.
Sasa nikikushauri vilivyokomaa utaelewa kweli, maana akili yako haijafikia hicho kiwango cha kuyabeba, tunatoa ushauri kulingana na dozi ya akili yako.ndio ushauri wako huo ukiwa kama mtu mwenye akili iliyokomaa ?