Wako Mtiifu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2018
- 261
- 632
Mi voltz yangu bado haijapata mteja ipo kwenye hali nzuri mwenye uhitaji tuwasiliane pm!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walishaangalia kaka....ila inavyoonesha ni kama oili inachelewa kupanda kwa haraka pindi ninapo washa gari tu, inaonekana kama kuna kifilter hakipitishi oil chap ila wanashindwa kukibain kikowapi, maana inapigia kelele kwenye kem shaftyPeleka kwa wataalam hilo lutaisha tu. Vip walisha angalia mfumo wa starter maana hiyo kazi yake ni kuwasha gari na kutoka inabaki off.
Mkuu ukumbuke na sheria za barabara kwa ajili ya usalama wako na watumiaji wengine wa barabara.Kuna wengine ndio wanapenda vya bei chee kwakuwa wanajua wakatengeneze wapi na wapige vipi.
Kuna wengine hununua magari ambayo yamepata ajali unasemaje na hili.
By the way leo nina furaha sana. Yaani gari inafunguka kuliko hata nilivyoinunua aisee. Maana nilivyokuwa naibadilishia vitu kama oil, plugs, kusafisha filter ndio nikawa naitibu hivyo sasa baada ya kurekebisha hilo acha kabisa. Maana sasa hivi mlimani na overtake kama nateleza vile.
Habari. Napenda kushare uzoefu hapa kidogo nina gari ndogo ambayo ni VOLTZ na nimekuwa nayo sasa kwa takriban 3yrs. Miezi kama 10 iliyopita nilianza kuona gari inakosa nguvu kwa mbali. Baadae nikawa naona maybe gari yangu ndivyo ilivyo. Kadiri siku zikivyozidi kwenda mbele gari ikazidi kukosa nguvu nikafikia hatua mlima siwezi kupanda na nikipanda ni kwa tabu sana. Baadhi ya mafundi wakaniambia ni Transmission fluid ibadilishwe na baada ya kubadikisha bado tatizo likawa palepale. Nikaenda kwa mwingine akasema hapa tatizo ni transmission fluid filter ni chafu isafishwe baada ya kufanya hivyo tatizo likawa bado. Fundi mwingine akaniambia tatizo ni plugs maana tangu ninunue plugs sijawahi badilisha. Baada ya kubadili tatizo likawa palepale. Sasa jana nikapeleka sehemu ambayo wanabei kidogo gari ilifanyiwa diagnosis na kugundua kwamba tatizo likikuwa kwenye pump na fuel return valve. Baada ya kurekebishwa gari imekuwa na nguvu kuliko hata nilivyoinunua. Kiukweli nina furaha sana maana nilikuwa nawaza kuiuza na sasa nimefuta wazo hilo maana ningeuza ningepata hasara kubwa sana.
Karibuni.
Ndio, inatumiaHivi gari ya petrol inatumia pump? Naulizatu.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]Hili langu lina nguvu imara zaidi..[emoji23]View attachment 1175394
Gari la Mshana hili
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lakwake hilihapa analiuzaView attachment 1175440
Kwenda kwa mafundi wa mtaani ni sawa kwenda kwa waganga wa kienyejiNi kwel kaka, mi mwenyewe nimeshashuhudia sana watu wakinunulishwa spare parts kumbe tatizo nilingine kabisa, kiufupi huwa kaz kwa kuhic hic tu, mi mwenyewe nina toyota allex nikiwasha inatoa kelele fulani hv kama ya kunok halafu inaacha bac nimehangaika mpaka bass kila funɗ anakuambia nunua hiki lakin hakuna kitu.
Kaka hiiyo itakuwa ni fly wheel yangu ilikuwa na tatizo hilo hilo kapona.Ni kwel kaka, mi mwenyewe nimeshashuhudia sana watu wakinunulishwa spare parts kumbe tatizo nilingine kabisa, kiufupi huwa kaz kwa kuhic hic tu, mi mwenyewe nina toyota allex nikiwasha inatoa kelele fulani hv kama ya kunok halafu inaacha bac nimehangaika mpaka bass kila funɗ anakuambia nunua hiki lakin hakuna kitu.
Naomba unipe mchanganuo kidogo kaka, ulifanyaje hadi likaishaaa....maana mwenzio nilishusha hadi injin nikaweka nyingine ila tatizo lilirudia pale pale baada ya cku chache, nilichoka kabisa na kujisemea kumbe nilibadili injini bure tu broo....mpaka sasa bado cjui la kufanya kaka.Kaka hiiyo itakuwa ni fly wheel yangu ilikuwa na tatizo hilo hilo kapona.
Mi voltz yangu bado haijapata mteja ipo kwenye hali nzuri mwenye uhitaji tuwasiliane pm!
Ingia google andika fly wheel problem itakuletea,mafundi siku hizi ni wa kuelekeza,fundi wangu nilimwelekeza alipofungua tu fly wheel na kuifunga tena gari ilitulia ajabu. Hiyo sio injin ni fly wheel labda imekatika au nati zimelegea.Fanya hivyo mkuu utaleta mrejesho hapa.Naomba unipe mchanganuo kidogo kaka, ulifanyaje hadi likaishaaa....maana mwenzio nilishusha hadi injin nikaweka nyingine ila tatizo lilirudia pale pale baada ya cku chache, nilichoka kabisa na kujisemea kumbe nilibadili injini bure tu broo....mpaka sasa bado cjui la kufanya kaka.
Ndiyo, fuel pump kwenye usafiri wangu ipo ndani ya tangi la mafuta.Hivi gari ya petrol inatumia pump? Naulizatu.
Pamoja sana mkuuIngia google andika fly wheel problem itakuletea,mafundi siku hizi ni wa kuelekeza,fundi wangu nilimwelekeza alipofungua tu fly wheel na kuifunga tena gari ilitulia ajabu. Hiyo sio injin ni fly wheel labda imekatika au nati zimelegea.Fanya hivyo mkuu utaleta mrejesho hapa.
mtag John English a. k. a Mr. Bean!!!Lakwake hilihapa analiuzaView attachment 1175440
Kama hilo tatizo bado lipo...fanya hivi..Naomba unipe mchanganuo kidogo kaka, ulifanyaje hadi likaishaaa....maana mwenzio nilishusha hadi injin nikaweka nyingine ila tatizo lilirudia pale pale baada ya cku chache, nilichoka kabisa na kujisemea kumbe nilibadili injini bure tu broo....mpaka sasa bado cjui la kufanya kaka.