Ninafuraha sana gari imepona

Ninafuraha sana gari imepona

Peleka kwa wataalam hilo lutaisha tu. Vip walisha angalia mfumo wa starter maana hiyo kazi yake ni kuwasha gari na kutoka inabaki off.
Walishaangalia kaka....ila inavyoonesha ni kama oili inachelewa kupanda kwa haraka pindi ninapo washa gari tu, inaonekana kama kuna kifilter hakipitishi oil chap ila wanashindwa kukibain kikowapi, maana inapigia kelele kwenye kem shafty
 
Kuna wengine ndio wanapenda vya bei chee kwakuwa wanajua wakatengeneze wapi na wapige vipi.
Kuna wengine hununua magari ambayo yamepata ajali unasemaje na hili.
By the way leo nina furaha sana. Yaani gari inafunguka kuliko hata nilivyoinunua aisee. Maana nilivyokuwa naibadilishia vitu kama oil, plugs, kusafisha filter ndio nikawa naitibu hivyo sasa baada ya kurekebisha hilo acha kabisa. Maana sasa hivi mlimani na overtake kama nateleza vile.
Mkuu ukumbuke na sheria za barabara kwa ajili ya usalama wako na watumiaji wengine wa barabara.
 
Habari. Napenda kushare uzoefu hapa kidogo nina gari ndogo ambayo ni VOLTZ na nimekuwa nayo sasa kwa takriban 3yrs. Miezi kama 10 iliyopita nilianza kuona gari inakosa nguvu kwa mbali. Baadae nikawa naona maybe gari yangu ndivyo ilivyo. Kadiri siku zikivyozidi kwenda mbele gari ikazidi kukosa nguvu nikafikia hatua mlima siwezi kupanda na nikipanda ni kwa tabu sana. Baadhi ya mafundi wakaniambia ni Transmission fluid ibadilishwe na baada ya kubadikisha bado tatizo likawa palepale. Nikaenda kwa mwingine akasema hapa tatizo ni transmission fluid filter ni chafu isafishwe baada ya kufanya hivyo tatizo likawa bado. Fundi mwingine akaniambia tatizo ni plugs maana tangu ninunue plugs sijawahi badilisha. Baada ya kubadili tatizo likawa palepale. Sasa jana nikapeleka sehemu ambayo wanabei kidogo gari ilifanyiwa diagnosis na kugundua kwamba tatizo likikuwa kwenye pump na fuel return valve. Baada ya kurekebishwa gari imekuwa na nguvu kuliko hata nilivyoinunua. Kiukweli nina furaha sana maana nilikuwa nawaza kuiuza na sasa nimefuta wazo hilo maana ningeuza ningepata hasara kubwa sana.
Karibuni.

Hivi gari ya petrol inatumia pump? Naulizatu.
 
Engine computer diagnosis ndio habari ya mjini kwa sasa,ila kama unapendelea ile ya kujaribu hiki acha kile lazima utaliwa sana...
 
Nilinunua taa kubwa moja ya mbele kwa milioni moja na laki mbili nilichoka kabisa.
Mie waliiba fog light 1 niliipata kwa 80k.
But wauzaji wengi walikuwa wanataka 150k
 
Ni kwel kaka, mi mwenyewe nimeshashuhudia sana watu wakinunulishwa spare parts kumbe tatizo nilingine kabisa, kiufupi huwa kaz kwa kuhic hic tu, mi mwenyewe nina toyota allex nikiwasha inatoa kelele fulani hv kama ya kunok halafu inaacha bac nimehangaika mpaka bass kila funɗ anakuambia nunua hiki lakin hakuna kitu.
Kwenda kwa mafundi wa mtaani ni sawa kwenda kwa waganga wa kienyeji
 
Ni kwel kaka, mi mwenyewe nimeshashuhudia sana watu wakinunulishwa spare parts kumbe tatizo nilingine kabisa, kiufupi huwa kaz kwa kuhic hic tu, mi mwenyewe nina toyota allex nikiwasha inatoa kelele fulani hv kama ya kunok halafu inaacha bac nimehangaika mpaka bass kila funɗ anakuambia nunua hiki lakin hakuna kitu.
Kaka hiiyo itakuwa ni fly wheel yangu ilikuwa na tatizo hilo hilo kapona.
 
Kaka hiiyo itakuwa ni fly wheel yangu ilikuwa na tatizo hilo hilo kapona.
Naomba unipe mchanganuo kidogo kaka, ulifanyaje hadi likaishaaa....maana mwenzio nilishusha hadi injin nikaweka nyingine ila tatizo lilirudia pale pale baada ya cku chache, nilichoka kabisa na kujisemea kumbe nilibadili injini bure tu broo....mpaka sasa bado cjui la kufanya kaka.
 
Naomba unipe mchanganuo kidogo kaka, ulifanyaje hadi likaishaaa....maana mwenzio nilishusha hadi injin nikaweka nyingine ila tatizo lilirudia pale pale baada ya cku chache, nilichoka kabisa na kujisemea kumbe nilibadili injini bure tu broo....mpaka sasa bado cjui la kufanya kaka.
Ingia google andika fly wheel problem itakuletea,mafundi siku hizi ni wa kuelekeza,fundi wangu nilimwelekeza alipofungua tu fly wheel na kuifunga tena gari ilitulia ajabu. Hiyo sio injin ni fly wheel labda imekatika au nati zimelegea.Fanya hivyo mkuu utaleta mrejesho hapa.
 
Ingia google andika fly wheel problem itakuletea,mafundi siku hizi ni wa kuelekeza,fundi wangu nilimwelekeza alipofungua tu fly wheel na kuifunga tena gari ilitulia ajabu. Hiyo sio injin ni fly wheel labda imekatika au nati zimelegea.Fanya hivyo mkuu utaleta mrejesho hapa.
Pamoja sana mkuu
 
Fuel pump uliweka mpya au walifanyaje mkuu?
 
Naomba unipe mchanganuo kidogo kaka, ulifanyaje hadi likaishaaa....maana mwenzio nilishusha hadi injin nikaweka nyingine ila tatizo lilirudia pale pale baada ya cku chache, nilichoka kabisa na kujisemea kumbe nilibadili injini bure tu broo....mpaka sasa bado cjui la kufanya kaka.
Kama hilo tatizo bado lipo...fanya hivi..
Kama unatumia Engine oil SAE 40 imwage na uweke 5w30....endapo tatizo litaendelea itakuwa ni major issue
 
Back
Top Bottom