Ninafuraha sana gari imepona

Ni wapi huko mkuu na bill yao ikoje mkuu. Msaada katika hilo
 
Likiwa bovu ndio unauza mkuu? Ulitaka 'kumshikisha' mtu?
Hii ni tabia mbaya kabisa, Mwenyezi MUNGU aniepushe nayo. Kumuuzia mtu kitu kibovu na wakati unajua haifai kabisa
 
Wakati mwingine bora kukubali gharama. Peleka kwenye centre za toyota mkuu
 
Ungemaliza basi japo haka ka week kuja kuonesha furaha yako humu maana sio baada ya siku tatu unaanza mayowe alitokea mteja bora ningeuza.
Huu sasa ni mwezi wa 4 bado wiki moja tangu kutoa uzi huu. Gari bado ipo vizuri sana.
Pia nilipiga safari zifuatazo.
1. Mwanza Arusha via Singida.
2. Arusha Dodoma via Kondoa
3. Dodoma Dar es Salaam
4. Dar Morogoro then back to Dar
5. Dar Babati via Dodoma and Kondoa
6. Babati Mwanza via Singida.

Hiyo nadhani ni feedback nzuri.
 
Hii ni tabia mbaya kabisa, Mwenyezi MUNGU aniepushe nayo. Kumuuzia mtu kitu kibovu na wakati unajua haifai kabisa
Kuna watu hununua yaliyopata ajali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…