Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

Bank zote TZ zinafanana. Bahati mbaya huna namna.
Zinafanana kama vituo vya mafuta, Tanzania hakuna ubunifu hakuna ushindani yaani ukienda Bank moja wakikupa jibu basi wala usihangaike kwenda Bank nyingine ukadhani utapata jibu au huduma tofauti wafanya kazi kwa kukariri tu huduma za wateja ni walewale hawana jipya. mbaya zaidi bank yenye wateja wengi na yenye wateja wachache ni wale wale hakuna ushindani wa ubunifu unategemea mdogo akaja kivingine ile we mkubwa kuvuta watu ila narudi pale pale hawana jipya wala ubunifu.

Wakati mmoja nilidafiri mji mmoja nikafikia Hotel moja nzuri sana tu japo mji ule una Hotel nyingi tu 5 star zinafanana kwa ubora ila hii Hotel kufika pale hujazi chochote unapewa chumba then anakuja yule mtu wa reception na Laptop yake kwa adabu anakuja room anafanya taratibu zote chumbani inakufanya usiwasahu sababu wanakufanya ujisikie Bill gates kumbe huna lolote kubwa huu ni ubunifu kuwa tofauti na wengine.

Ila Tz Bank zote sawa kampuni zote za simu sawa tofauti majina ya ajabu tu ya package zao. Utakuwa Bank inajitangaza sana sasa mteja fika Bank hao customer care utatapika wakati walitakiwa wafanye juhudi wakunase usitoke ili ukienda nje uwatangaze kwa mazuri ndio strategy ya kujitangaza ila ukitoka hapo hata kuangalia nyuma huangalii jioni unawaona kwenye TV Bank bora fika tawi lolote bla bla bla ujinga mtupu..
 
Zinafanana kama vituo vya mafuta, Tanzania hakuna ubunifu hakuna ushindani yaani ukienda Bank moja wakikupa jibu basi wala usihangaike kwenda Bank nyingine ukadhani utapata jibu au huduma tofauti wafanya kazi kwa kukariri tu huduma za wateja ni walewale hawana jipya. mbaya zaidi bank yenye wateja wengi na yenye wateja wachache ni wale wale hakuna ushindani wa ubunifu unategemea mdogo akaja kivingine ile we mkubwa kuvuta watu ila narudi pale pale hawana jipya wala ubunifu. Wakati mmoja nilidafiri mji mmoja nikafikia Hotel moja nzuri sana tu japo mji ule una Hotel nyingi tu 5 star zinafanana kwa ubora ila hii Hotel kufika pale hujazi chochote unapewa chumba then anakuja yule mtu wa reception na Laptop yake kwa adabu anakuja room anafanya taratibu zote chumbani inakufanya usiwasahu sababu wanakufanya ujisikie Bill gates kumbe huna lolote kubwa huu ni ubunifu kuwa tofauti na wengine. Ila Tz Bank zote sawa kampuni zote za simu sawa tofauti majina ya ajabu tu ya package zao. Utakuwa Bank inajitangaza sana sasa mteja fika Bank hao customer care utatapika wakati walitakiwa wafanye juhudi wakunase usitoke ili ukienda nje uwatangaze kwa mazuri ndio strategy ya kujitangaza ila ukitoka hapo hata kuangalia nyuma huangalii jioni unawaona kwenye TV Bank bora fika tawi lolote bla bla bla ujinga mtupu..

[emoji16][emoji16][emoji16]umeandika kwa hasira sana.
 
Njoo kwa hawa jamaa wa Blue. Utaomba poo.

Watu tunachezea Negative imagine.

38F37F92-8787-4C06-BB84-B833DE791010.jpeg
 
[emoji16][emoji16][emoji16]umeandika kwa hasira sana.
Kweli sana tu sio haki kwa wateja hakuna ushindani na ubunifu maana hiyo ndio nafuu kwa wateja, nchi haiwezi kwenda kwa kufanana miaka ya 80 kulikuwa kina Mama wanavaa kaniki zinaitwa mawingu sijui maduka yote nguo zinafanana lakini unakuta mtu anatembea maduka yote anataka kununua lakini maduka yote yana bidhaa zilezile za mawingu hakuna jipya sasa badala ya kuokoa muda ingia duka moja tu chukuwa ondoka lakini mtu anatembea maduka yote akitegemea labda ataona kitu tofauti ndio kama Bank zetu na kampuni za simu.
 
Bank yenye tabia za kipekee ni Equity tu kwa sasa! Hawana ujinga wa kuchezea hela zako ukiweka mle ni kama kibubu😅

Drawback:
Ikitokea Emergency kuipata hela yako utachora chini maana kwa Dar ATM yao iko Mikocheni tu😅! Usipompata wakala unaweza lia na mawakala wake sio wengi.
Kwani hawana internet banking ?
 
Bank yenye tabia za kipekee ni Equity tu kwa sasa! Hawana ujinga wa kuchezea hela zako ukiweka mle ni kama kibubu😅

Drawback:
Ikitokea Emergency kuipata hela yako utachora chini maana kwa Dar ATM yao iko Mikocheni tu😅! Usipompata wakala unaweza lia na mawakala wake sio wengi.

Equity ni benki ya kuhifadhi tu hela (savings)
 
Back
Top Bottom