Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

Ndugu wasomaji,

Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?

Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.

Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.

Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.

Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
CRDB NI JANGA, kuna tawi pale Arusha linaitwa Usa-River kuna binti yuko kwenye mikopo anaitwa sijui Tarimo D anavyowanyanyasa wateja sijawahi ona. Ukiwa na mkopo wanakuchukulia km jambazi, ni km uliiba. Ikifika tar 22 kila mwezi wanafunga akaunti mpaka tar 27 kila mwezi. Km leo siwezi kuacces A/C yangu mpaka tar 27 kisa nina mkopo pale. Halafu makato hayana fomula, mtu una take home ya sh 1,200,000/ unakatwa mpaka 980,000/ kwa mwezi. Nimejaribu kufuatilia nimeshindwa. Nasuburi muda wao uishe kwa sahv naishi km shetani.
 
CRDB NI JANGA, kuna tawi pale Arusha linaitwa Usa-River kuna binti yuko kwenye mikopo anaitwa sijui Tarimo D anavyowanyanyasa wateja sijawahi ona. Ukiwa na mkopo wanakuchukulia km jambazi, ni km uliiba. Ikifika tar 22 kila mwezi wanafunga akaunti mpaka tar 27 kila mwezi. Km leo siwezi kuacces A/C yangu mpaka tar 27 kisa nina mkopo pale. Halafu makato hayana fomula, mtu una take home ya sh 1,200,000/ unakatwa mpaka 980,000/ kwa mwezi. Nimejaribu kufuatilia nimeshindwa. Nasuburi muda wao uishe kwa sahv naishi km shetani.
Nategemea kipindi hiki cha ukosefu wa ajira vijana waliotoka law school watanusa kitu😊😊
 
Kweli sana tu sio haki kwa wateja hakuna ushindani na ubunifu maana hiyo ndio nafuu kwa wateja, nchi haiwezi kwenda kwa kufanana miaka ya 80 kulikuwa kina Mama wanavaa kaniki zinaitwa mawingu sijui maduka yote nguo zinafanana lakini unakuta mtu anatembea maduka yote anataka kununua lakini maduka yote yana bidhaa zilezile za mawingu hakuna jipya sasa badala ya kuokoa muda ingia duka moja tu chukuwa ondoka lakini mtu anatembea maduka yote akitegemea labda ataona kitu tofauti ndio kama Bank zetu na kampuni za simu.
Chupi za VIP unazifahamu mhenga?
 
Bank yenye tabia za kipekee ni Equity tu kwa sasa! Hawana ujinga wa kuchezea hela zako ukiweka mle ni kama kibubu😅

Drawback:
Ikitokea Emergency kuipata hela yako utachora chini maana kwa Dar ATM yao iko Mikocheni tu😅! Usipompata wakala unaweza lia na mawakala wake sio wengi.
Hata mi kwa sasa Equity ndio nawaelewa!
Uwe unatumia simbanking na atm zingine.

Hao crdb mi sina hamu nao, mwaka huu huu waliwahi kunifanyia mauza uza ambayo sitayasahau, VISA card yangu ilinigomea na ndio acc yangu iliyokuwa na hela na nilikuwa mbalii☹☹ yani ilinibidi nikawatafute hao crdb hadi twitter maana ndio niliona wanarespond haraka, napo wakasema niwatumie email ila mpaka walipokuja kurespond ilichukua muda na haikuishia hapo iliwachukua siku nyingi sana wao kutatua tatizo langu. Kiasi kama nisingekuwa na namna nyingine basi ningeadhirika mchana kweupee,

Toka hapo nikaanza kuithamini acc yangu ya Equity ambayo nilikuwa naidharau mno, kwanza nilikuwa naiwekea tu kama 10,000 kwa mwezi ili tu iwe active, lakini iliniokoa sana
 
Bank yenye tabia za kipekee ni Equity tu kwa sasa! Hawana ujinga wa kuchezea hela zako ukiweka mle ni kama kibubu😅

Drawback:
Ikitokea Emergency kuipata hela yako utachora chini maana kwa Dar ATM yao iko Mikocheni tu😅! Usipompata wakala unaweza lia na mawakala wake sio wengi.
Ningehamia huko, shida ni matawi yake sio mengi.
Hawa CRDB wapuuzi kweli
 
Ndugu wasomaji,

Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?

Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.

Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.

Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.

Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
Online transactions waone ABSA hutojuta
 
Mkuu nenda Amana bank utanishukuru Mimi Niko nayo nina miaka 8 sasa nina account benk 3 lakini naona Amana anawazidi hawa wote kwa huduma murua yaani unahudumiwa Kama vile uko nyumbani.
 
Ndugu wasomaji,

Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?

Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.

Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.

Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.

Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
CRDB siku hizi ni SACCOS, si benki ya kuaminika tena.
Malalamiko ya wengi ni mafoleni yaliyopo, na customer care mufilisi.

Majuzi wameniambia eti nikahakiki particulars zangu.
Nikawuliza nini kimebadilika?
Wakasema we njoo tu!
Nikawaambia siwezi kuja hapo kwa hiari kukaa masaa mawili kusubiri huduma, na nitaifunga hiyo account!
Niliyekuwa naongea naye akashtuka na kusema si hivyo!
Nikafikiri , hawa wanafaya mambo kwa mazoea, wana email yangu na wana simu, kama kuna mabadiliko si watuemie email?

CRDB iliondoka na Kimei!
 
Hivi KWA nn makato ya kibank si rafiki sanaaa,Yani kama wanatuvizia wateja tu tufanye service Kisha ujistukie umelimwa fedha ya maana,KWA nn wasiweke wazi ukifika bank una kuta kila kitu kiko wazi,ama wakutambulishe huduma unayo taka kufanya cost yake ni kiasi kadhaaa.

Mfano NMB,Atm card zao zipo local sana yani ukitumia sana inaanza kusumbua ktk atm,ukiuliza simple wanakujibu ni utunzaji,Ajabu Atm card naweka kwenye wallet KWA bank zote ninazo tumia,ila wao tu ndo haipiti miaka miwili naenda kubadilisha Card,afu makato ya kubadilisha ATM card yapo juu,Baada ya kuomba Atm Kisha uchukulie dirishani ,wanakulima mpaka unakuja juta.
 
Back
Top Bottom