Hivi KWA nn makato ya kibank si rafiki sanaaa,Yani kama wanatuvizia wateja tu tufanye service Kisha ujistukie umelimwa fedha ya maana,KWA nn wasiweke wazi ukifika bank una kuta kila kitu kiko wazi,ama wakutambulishe huduma unayo taka kufanya cost yake ni kiasi kadhaaa.
Mfano NMB,Atm card zao zipo local sana yani ukitumia sana inaanza kusumbua ktk atm,ukiuliza simple wanakujibu ni utunzaji,Ajabu Atm card naweka kwenye wallet KWA bank zote ninazo tumia,ila wao tu ndo haipiti miaka miwili naenda kubadilisha Card,afu makato ya kubadilisha ATM card yapo juu,Baada ya kuomba Atm Kisha uchukulie dirishani ,wanakulima mpaka unakuja juta.