Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

Juzi nilitoa kiasi flan salio likabaki vzuri tuu, Jana nmeenda kutoa tena nakuta kiasi Cha elf 20 hakipo, Sasa najiuliza iyo elf 20 imepotelea wap? Ni moja kati ya bank ya ajabu Sana na wanakata pesa bila sababu yoyote nasubiri apa wakanipe maelezo vizuri kabla sijaama iyo bank
tatizo wanakata bila kusema, sikuhyo walinikata, nikaachana nao mara moja

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Bank ilinitia hasara iyo nakumbuka wakati nipo shule wizi umeshamiri nikawaambia rafiki zangu hela tuhamishie kwenye account yangu ya CRDB basi kila jumapili anayependa kanisani anaenda kuweka pesa Basi pesa ziliwekwa hadi ikafika kama laki 2 na 80 pesa za hao jamaa wawili na pesa yangu laki 1 tulipo maliza shule nipo na jamaa tukaenda kwa wakala makato makubwa nikasema niende ATM pesa niliyoikuta [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Ndugu wasomaji,

Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?

Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.

Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.

Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.

Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
Maendeleo Bank
 
Bank zote TZ zinafanana. Bahati mbaya huna namna.
CRDB wamezidi jamani, kuna siku nilikuwa na shida na sh laki moja, mtu kanitumia bank, kwenda kutoa nikaambulia elfu 75....niliumia sana
 
crdb ilikua bank bora sana Kimei kaondoka na crdb yake hii ya sasa majanga
 
Mkuu, siku za nyuma ulikuwa unajitolea sana kusanua watu wasipigwe na madalali matapeli wanaouza gari zenye usajili wa zamani kwa bei kubwa ya soko kwenye nyuzi za magari...

Matapeli walikuchukia, lkn kwa wanyonge wengi ulikuwa na msaada mkubwa sana!

Kwanini uliamua kuacha..?
Sababu ni kuwa watu hawajielewi,
 
Ndugu wasomaji,

Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?

Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.

Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.

Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.

Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
Mkuu fungua blockhain wallet au exchanges kama Binace,trust wallet ,Huobi global etc......weka hela zako interm of stable currencies kama USDT
 
CRDB NI JANGA, kuna tawi pale Arusha linaitwa Usa-River kuna binti yuko kwenye mikopo anaitwa sijui Tarimo D anavyowanyanyasa wateja sijawahi ona. Ukiwa na mkopo wanakuchukulia km jambazi, ni km uliiba. Ikifika tar 22 kila mwezi wanafunga akaunti mpaka tar 27 kila mwezi. Km leo siwezi kuacces A/C yangu mpaka tar 27 kisa nina mkopo pale. Halafu makato hayana fomula, mtu una take home ya sh 1,200,000/ unakatwa mpaka 980,000/ kwa mwezi. Nimejaribu kufuatilia nimeshindwa. Nasuburi muda wao uishe kwa sahv naishi km shetani.

Alafu huu ujinga wa CRDB kudanganya watu kwamba kutuma hela CRDB kwenda CRDB ni bure waache kabisa. Wanakata vizuri tuu
Kuna muda meseji haziji kabisa kwa miamala. Na ikija wanakuambia tu umetuma kiasi fulani hawakupi salio.
Bank hovyo sana hili.
 
Halafu utawasikia mwisho wa mwaka wanatangaza faida ya mabilioni!! Kumbe wizi mtupu!! Ni manyang'anyi yanayovaa tai na suti.
CRDB wamezidi jamani, kuna siku nilikuwa na shida na sh laki moja, mtu kanitumia bank, kwenda kutoa nikaambulia elfu 75....niliumia sana
 
Naam watu wanasahau. Kwenye miaka ya 2000 mwanzoni nilipata katenda ka $. Nikafungua akaunti ya $ hapo CRDB kwa Kimei. Kila nikitoa pesa zangu na wao wanatoa, eti ni chaji za kutoa. Nikafunga, nikahamia benki nyingine. Lakini sasa karibu benki zote zimeiga huu wizi wa mchana. Hakuna sehemu ya kukimbilia. Zinatofautiana tu kiasi cha makato.
Hata wakati wa Kimei ilikuwa hovyo tu. Tena ilivyoanza pata tenda za serikali kama nmb ndo ikafia huko.
 
Ajabu kweli. Hata kama uchumi wa nchi unatelemka wao wanaropiti faida ya mabilioni! Mabilioni ya wizi wa makato. Faida yao yai reflect hali halisi ya uchumi wa nchi.
Mabank ya Kitanzania sijui yanafanyaje biashara yani makato ni makubwa kama una ka hela ka ngama ni bora uweke chini ya godoro tu.

Ndiomaana yanapata super profit kila msimu.
 
Ndugu wasomaji,

Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?

Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.

Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.

Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.

Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
Aisee kama sina dharura na haraka huwa naingia kutoa ndani dirishani kwa teller angalau makato ni nafuu.
 
Back
Top Bottom