Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

Nunua kibubu kwa fundi Maiko au kwa Mangi u manage pesa zako mwenyewe(just joking)
 
Ndugu wasomaji,

Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?

Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.

Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.

Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.

Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
zamani ukiweka fedha bank wanazifanyia bishara na kukuwekea interest angalau ya kufanya hela zako zisipungue baada ya makato yao, tofauti na sasa ukiweka laki mbili kwenye account baada ya miaka mitatu unaweza kuta zimebakia 140,000
Nahisi kuna kitu hakipo sawa kwenye makato kwa wateja
 
Bank yenye tabia za kipekee ni Equity tu kwa sasa! Hawana ujinga wa kuchezea hela zako ukiweka mle ni kama kibubu[emoji28]

Drawback:
Ikitokea Emergency kuipata hela yako utachora chini maana kwa Dar ATM yao iko Mikocheni tu[emoji28]! Usipompata wakala unaweza lia na mawakala wake sio wengi.
Equity kama upo Darisalama ni bank bora sana. Lakini mkoani huwezi kuimudu! Equity nimetumia sana ni bank nzuri hakuna makato ya hovyo kama CRDB. CRDB kila mwezi hunitumia statement Mara maintenance 300, nini fees 1500, kitu cha mtume 2000, ni wizi sana
 
Hata mi kwa sasa Equity ndio nawaelewa!
Uwe unatumia simbanking na atm zingine.

Hao crdb mi sina hamu nao, mwaka huu huu waliwahi kunifanyia mauza uza ambayo sitayasahau, VISA card yangu ilinigomea na ndio acc yangu iliyokuwa na hela na nilikuwa mbalii[emoji852][emoji852] yani ilinibidi nikawatafute hao crdb hadi twitter maana ndio niliona wanarespond haraka, napo wakasema niwatumie email ila mpaka walipokuja kurespond ilichukua muda na haikuishia hapo iliwachukua siku nyingi sana wao kutatua tatizo langu. Kiasi kama nisingekuwa na namna nyingine basi ningeadhirika mchana kweupee,

Toka hapo nikaanza kuithamini acc yangu ya Equity ambayo nilikuwa naidharau mno, kwanza nilikuwa naiwekea tu kama 10,000 kwa mwezi ili tu iwe active, lakini iliniokoa sana
Siku moja nilidownload App ya CRDB nilijua ni mambo ya Equity bank, unaingia bure, unatoka bure. Due! Kumbe ukiingia tu wanakata JERO sijui. Equity App ni bure. Muda wote unachungulia salio lako bando lako tu
 
Siku moja nilidownload App ya CRDB nilijua ni mambo ya Equity bank, unaingia bure, unatoka bure. Due! Kumbe ukiingia tu wanakata JERO sijui. Equity App ni bure. Muda wote unachungulia salio lako bando lako tu
Kumbe ukiingia tu kwenye app wanakata hela?? Hii sikuwa najua kwakweli
 
CRDB NI JANGA, kuna tawi pale Arusha linaitwa Usa-River kuna binti yuko kwenye mikopo anaitwa sijui Tarimo D anavyowanyanyasa wateja sijawahi ona. Ukiwa na mkopo wanakuchukulia km jambazi, ni km uliiba. Ikifika tar 22 kila mwezi wanafunga akaunti mpaka tar 27 kila mwezi. Km leo siwezi kuacces A/C yangu mpaka tar 27 kisa nina mkopo pale. Halafu makato hayana fomula, mtu una take home ya sh 1,200,000/ unakatwa mpaka 980,000/ kwa mwezi. Nimejaribu kufuatilia nimeshindwa. Nasuburi muda wao uishe kwa sahv naishi km shetani.

aisee pole sana
 
Ndugu wasomaji,

Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?

Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.

Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.

Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.

Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
CRDB Majambazi msiweke pesa huko, wajitathmini yawezekana kunawafanyakazi wa humo wameanzisha mchezo mchafu, juzi kuna mtu hajakuta hata cent kwenye account yake.

Wenye account CRDB mkakague account zenu mapema, kisha muamishe pesa zenu mabenki mengine. Benki nzuri ni NMB Bank.

Serikali iwachukulie hatua za kisheria CRDB Bank, kuna mchezo mchafu umeibuka wa kuiba pesa za watu wanadanganya makato.
 
Hakuna bank salama. Hakuna atakaekuwekea pesa yako Bure. Unataka yeye akale wapi. Apande daladala? Wese je. Kwa ufupi anayehangaika na benki anapteza raslinali pesa na muda kuhusu pesa bulky je huna cha ikuzifanyia? Hakba tafuta njianngine kuweka savings sio lazima benki. Kama ni mamilion kwa nn usiifanye fixed sasa
 
Fanyeni utafiti kwanza.. Halafu muwe makini na aina za akaunti mnazofungua benki.

Pia ukisoma alama za nyakati utagundua CRDB ipo under sabotage, haiwez kuwa na huduma nzuri kwa sasa
 
nlfikiri watu wanaongea tu kumbe haya mambi ni ya kweli baada ya mimi kwenda leo kutoa hela hapo ninunulie familia tukuku na soda.. aisee ndani ya tar 10 mpak 24 wamenikata charges 40k.. somthing is wrong.. na hii ndo itakua transaction yangu yamwsho...nimekomba kila kitu
 
nlfikiri watu wanaongea tu kumbe haya mambi ni ya kweli baada ya mimi kwenda leo kutoa hela hapo ninunulie familia tukuku na soda.. aisee ndani ya tar 10 mpak 24 wamenikata charges 40k.. somthing is wrong.. na hii ndo itakua transaction yangu yamwsho...nimekomba kila kitu
Mh. Check statement n branch desk watakufafanulia.kuna card fees kwa mwaka=zinanzia 19800, 29800 nakuendelea ikiwa ni mastercard yakawaida/visa 19800 kwa mwaka,izo platnumz infinity and so on ndo zinaanzia 29800 kwenda juu
 
CRDB NI JANGA, kuna tawi pale Arusha linaitwa Usa-River kuna binti yuko kwenye mikopo anaitwa sijui Tarimo D anavyowanyanyasa wateja sijawahi ona. Ukiwa na mkopo wanakuchukulia km jambazi, ni km uliiba. Ikifika tar 22 kila mwezi wanafunga akaunti mpaka tar 27 kila mwezi. Km leo siwezi kuacces A/C yangu mpaka tar 27 kisa nina mkopo pale. Halafu makato hayana fomula, mtu una take home ya sh 1,200,000/ unakatwa mpaka 980,000/ kwa mwezi. Nimejaribu kufuatilia nimeshindwa. Nasuburi muda wao uishe kwa sahv naishi km shetani.
Pole sana mkuu. Mi mwenyewe jamaa wananipiga panga kila mwezi. Mungu jalia mkopo wao ukiisha wataona manyoya tu
 
Kadi yangu ya CRDB ilipotea, eti kupata nyingine sh 23800 niliwahama siku hiyo hiyo
CRDB hawako open kwenye gharama za huduma zao.

Bot wanatakiwa kufuatilia jinsi mabenki wanavyotoza wateja wao wanapowahudumia. Unfortunalely, siku hizi toka Ndullu afariki Bot imezoorota sana hata section ya Bank supervision hawafanyi kazi yao inavyostahiri na ndio maana benki kama CRDB wanatengeneza faida kuwa kutokana na charges na sio kwa kuwakopesha wateja!!Something has to change.
 
Back
Top Bottom