jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
Umenishawishi wacha nikafungue account hukoBonge moja la bank unahudumiwa Hadi unatamani umpe hela anaekuhudumia.
njoo nmb kidogo wana nafuu naweza kutoa mfno 500k nkakatwa mpka buku 2 tu kwenye ATM
kingine nachopendea ni ukiwa na app yao kucheki balance ni bure bas nikiwa na vijisent vyangu kila nikitoa hela lazma nihakiki mzigo wangu to be honest kwa hilo naenjoi nao
Umezungumzia mambo mawili.
- Makato
- Uharaka wa kuhudumiwa /Online Service
Nakushauri fungua account yako na benki ya FNB, kama benki mbadala
- Account type chagua ile yenye makato fixed kwa mwezi, ni kiasi kidogo, then chochote utakachofanya kwenye account yako hakuna makato.
- Online Banking wako vizuri, waweza login kwenye account yako kwa simu au PC na kufanya miamala wakati wowote..
Nmb ni wale wale tu hawana tofauti kubwa na CRDB . Hapa nimeshawishika kweli kujiunga na Equity BankCRDB Majambazi msiweke pesa huko, wajitathmini yawezekana kunawafanyakazi wa humo wameanzisha mchezo mchafu, juzi kuna mtu hajakuta hata cent kwenye account yake.
Wenye account CRDB mkakague account zenu mapema, kisha muamishe pesa zenu mabenki mengine. Benki nzuri ni NMB Bank.
Serikali iwachukulie hatua za kisheria CRDB Bank, kuna mchezo mchafu umeibuka wa kuiba pesa za watu wanadanganya makato.
Njoo standard chartered wakununulie mkopo uo na ela unapewa. Cash loan adi 150m. Mortgage loan adi 1b.
Wana makato kama vile hawana akili!!
Kwahiyo kumbe nikicheki salio kwa Sim banking app ya CRDB huwa ninakatwa bila kujua??njoo nmb kidogo wana nafuu naweza kutoa mfno 500k nkakatwa mpka buku 2 tu kwenye ATM
kingine nachopendea ni ukiwa na app yao kucheki balance ni bure bas nikiwa na vijisent vyangu kila nikitoa hela lazma nihakiki mzigo wangu to be honest kwa hilo naenjoi nao
ukiwa na nmb mobile app kuangalia salio kupitia app ni buree na hta kulipia bills ni bure piaKwahiyo kumbe nikicheki salio kwa Sim banking app ya CRDB huwa ninakatwa bila kujua??
KCB ndio naoan Bank inayo fanya vizuri sn katika kila nyanja sema mahati mbaya ni kutoka KENYA tu lkn ndio Bank Bora kwa sasa.
Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
Shida ya hizo banks hazijasambaa vizuri, na watu wengi wanaangalia urahisi wa ku-withdrawal pesa kupitia ATMs. Mambo ya kwenda kupanga foleni ili kutoa pesa yanahitaji commitment.Hata Equity ni ya Wakenya. Banks za wakenya kwa sasa zinafanya vizuri sana Hapa Tanzania. Wamejua udhaifu wa hizi banks zetu wameufanyia kazi fasta. Wabongo itabidi wajifunze kwa wenye hizo Bank.
Benki ya Posta ni bora kwako!Ndugu wasomaji,
Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?
Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.
Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.
Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.
Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
Au nenda benki yoyote ya Kiislam, maana nasikia wao masuala ya riba ni haramu kwao!Ndugu wasomaji,
Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?
Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.
Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.
Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.
Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
Sasa kuhusu hela zako banki ulifanyaje, au kulikuwa na salio lile la kinda mfuko la elfu tisa??Kadi yangu ya CRDB ilipotea, eti kupata nyingine sh 23800 niliwahama siku hiyo hiyo
CRDB hawako open kwenye gharama za huduma zao.
Riba kama kawa..usijidanganye.Au nenda benki yoyote ya Kiislam, maana nasikia wao masuala ya riba ni haramu kwao!