Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaombwaje?Pole sana mkuu, huwa haiombwi hivyo
Muonee huruma mwenzako mpe abusu hata mkonoApambane,wenziwe tunapambana
Afu wewe mbona huchangamkii ile issue?🙄Muonee huruma mwenzako mpe abusu hata mkono
KivingineInaombwaje?
Pole Sonona unaiondoa mwenyewe kama mkristo pendelea Sana kusoma bible hutakaa uskie Sonona everNahitaji rafiki wa kike angalau wa kuchati nae au calls niondokane na hii hali!
Tafuta bar yenye watoto wazuri agiza kinywaji, agiza nyama choma mwagilia moyo huku ukimchagua anayekuangalia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini pia akumbuke kuwa na condom mfukoni wakati moyo una mchagua anaye mwangalia sana.Tafuta bar yenye watoto wazuri agiza kinywaji, agiza nyama choma mwagilia moyo huku ukimchagua anayekuangalia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa nionavyo chanzo cha tatizo lake ni udomo zege. Ingempasa afungiwe kwanza chumbani na demu mjanja mjanja alafu tuone mwisho wake kama ataongea au atamwacha manzi aondoke.Tatizo la sonona haliwezi kwisha kwa kupata mwanamke, tafuta chañzo cha tatizo, litatue then tafuta kimwana wa kukupa raha.
😄😄 Mnyakyusa wewe utaniua!😀Afu wewe mbona huchangamkii ile issue?🙄
[emoji16][emoji16][emoji16]Tafuta bar yenye watoto wazuri agiza kinywaji, agiza nyama choma mwagilia moyo huku ukimchagua anayekuangalia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si useme tu una nyege
Unampoteza kijana maama vijana wengine akitunikiwa usiku mmoja tu anataka mhudumu asiongee na mtejaa yoyote anamgeuza demu wake fujo zinaanza kwa yoyote atakaye mtolea machoTafuta bar yenye watoto wazuri agiza kinywaji, agiza nyama choma mwagilia moyo huku ukimchagua anayekuangalia sana
Sent using Jamii Forums mobile app