Sababu kubwa za sonona kwa vijana wa sasa ni
1- ukosefu wa pesa
2-ukosefu wa ajira (umesoma ila huna kazi)
3-Mapenzi (kutokuwa na mwenza wa kukupunguzia nyege)
4-Kuwa mbali sana na Mungu (moyo huwa unakosa amani)
5- Kupenda kujilinganisha maisha yako na watu wengine(wanaokuzunguka/mitandaoni)