Ninahisi nimebugi, nataka tuandikishiane nimpe milioni 5 ya msingi. Anipe mwanangu atakapofikisha umri

Ushauri mzuri sana huu.
 
Naungana na mdau mmoja hapo juu alipotoa ushauri wa kukutaka kusimama kama mwanaume,kimaamuzi na kimwenendo.Pia jitahidi sana kuwa msiri na mipango na mambo yako,usimwamini sana mwanamke na kumpa siri za mambo yako hasa kifedha.Naamini huyo mrembo anajua detail zako nyingi za kifedha( kwa wewe kujianika kwake) ndio maana anatumia nafasi ya kukuendesha awezavyo.Pia jitathmini kwenye maamuzi yako,kama baba na kama mwanaume aliye kiongozi wa familia.
 
Suala la kuoa,nakushauri liahirishe kwanza,ili upate muda wa kuutathmini huo uhusiano wenu na kuiona kesho yenu itakuwa vp,pia upate muda wa kumuuguza mama mzazi.Huo muda wa kujitathmini ningeshauri kila mmoja angeishi kivyake ili umsome vyema huyo mtarajiwa wako,msiihi pamoja,aende hata kwao kwa muda kidogo.Hapo ndio utajipa nafasi ya kumjua vyema.Kumbuka " Usiongozwe na hisia(mapenzi),ongozwa na akili zaidi katika maamuzi!!!
 
Wanawake wa Makabila ya mkoa wa Mara ni pasua kichwa Sana kwenye ndoa. Hawajali kuvuruga ndoa kwa uzinzi au kubambikia mimba,kuzaa watoto wa baba tofauti,mdomo na ukorofi.

Chunguza kwa nini aliachika au aliachwa baada ya kuzalishwa
 

Aisee
 
Usikosee mkuu utakuja kujuta
 
Kwanza hapo ulipo nakuona tuu hauko sawa mkuu.

Umefiwa na mke tena mwenye ujauzito lakini hujapitisha hata miaka 2 umeenda kuangukia kwa mwanamke ambaye ni wazi kabisa yuko desperate na ndoa.

Nakushauri huyo mwanamke endelea kukaa naye umsome tabia vizuri.

Mchane wazi kwamba wewe hauna uwezo wa kumlea huyo mwanaye mwingine hivyo asikupe mzigo.

Mchane wazi kwamba kwa sasa haupo kwenye position ya kufanya process zozote za kuoa asubiri mpaka mama ako atakapopona.

Mchane wazi kwamba yeye kuwa na mimba yako kisiwe kigezo cha kukupelekesha. Mwambie wewe ndiye mwamuzi wa mwisho hivyo atulize boli.

Yani uanaume wako sio unafanya mipango kwa kupelekeshwa pelekeshwa na kukurupuka.

Unforgetable
 
hivi kumbe bado Madume bwege wanasavaivo kwenye karne hii
 
Subiri ya mama yapite..hayo ya mimba baadaye..ila pole sana
 
Huyo aliemzalisha mbona hajatoa mahari,unaoa familia inapepo la umaskini...utailea hiyo familia mpka uote mvi
 
Mwanamke akiwa anakupenda na kujua hali yenu kiuchumi,anamalizana na familia yake kwa kuwaambia hali ni mbaya mahari yangu isizidi labda laki 5...wewe umeona wapi mahari kila mtu na kiwango chake...hiyo familia inaroho y kimasikini sana,wazazi wenye utu na busara wanaweza kumuoza binti yao kwa kumsikiliza yeye anataka nini
 
Jamaa afunguke Asema ana laki 5.. Iwe sababu tosha familia inaweza sema toa laki 6 bhasi [emoji23][emoji23]
Mimi wakati nachumbia mke aliwaambia wazazi wake mahari yake isizidi laki 5,mana hesabu ilikua 2m...uwezo nlikua nao mkubwa tu ila mke ndio alisema na familia ikamsikiliza
 
Huyu ndio mwanaume,sio huyu anapelekwa kama gari bovu na single maza
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umepata demu mweupee jamaa languuu
 
2 million mahari kwa single mother ?, ilitakiwa wewe ndo ulipwe kwa kumpa Nusra huyo bidada ,kimbia haraka sana.
 
Una pesa za kuchezea, MTU ana mtoto wa miaka 9 unajua baba mtoto alipo!! Kila siku mnaambiwa kuoa single mother ni kama kujitega mwenyewe kwa Bomu ila hampati somo....

Ukiona hafai jitenge naye
 
Usimuamini mwanamke kuwa mkoloni kwa mwanamke ww ni mwanaume fanya mamuzi magumu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…