Habar wana jamii, kwanza nianze kwa kusema mm ni mtu mwenye hasira sana, ninasumbuliwa na depression napenda kujiisolate na kukaa mwenyewe, tangu nimalize chuo sikutafuta kazi nimejifungia ndani huu mwaka wa tano, sikuwa naelewa tatizo langu nini Ila nimejua mwaka Jana kuwa shida ni mental health
Tangu nikiwa mdogo sikuwa na ushirikiano na wenzangu na haswa pale nilipokuwa nikikutana na changamoto ninapata hasira mbaya sana.
Sijawahi kumwambia mtu coz sina mtu wa karibu wa kumweleza na mm ni msiri sana which I think inatokana na kuwa na ukichaa pia, je kuna dawa yoyote inayoweza nisaidia sehemu nilipo hamna mental hospital.
Tangu nikiwa mdogo sikuwa na ushirikiano na wenzangu na haswa pale nilipokuwa nikikutana na changamoto ninapata hasira mbaya sana.
Sijawahi kumwambia mtu coz sina mtu wa karibu wa kumweleza na mm ni msiri sana which I think inatokana na kuwa na ukichaa pia, je kuna dawa yoyote inayoweza nisaidia sehemu nilipo hamna mental hospital.