Ninahisi nina kichaa, tafadhali nisaidieni, msinikejeli wala kunisema...

Ninahisi nina kichaa, tafadhali nisaidieni, msinikejeli wala kunisema...

Phenome

Member
Joined
May 5, 2018
Posts
51
Reaction score
38
Habar wana jamii, kwanza nianze kwa kusema mm ni mtu mwenye hasira sana, ninasumbuliwa na depression napenda kujiisolate na kukaa mwenyewe, tangu nimalize chuo sikutafuta kazi nimejifungia ndani huu mwaka wa tano, sikuwa naelewa tatizo langu nini Ila nimejua mwaka Jana kuwa shida ni mental health

Tangu nikiwa mdogo sikuwa na ushirikiano na wenzangu na haswa pale nilipokuwa nikikutana na changamoto ninapata hasira mbaya sana.

Sijawahi kumwambia mtu coz sina mtu wa karibu wa kumweleza na mm ni msiri sana which I think inatokana na kuwa na ukichaa pia, je kuna dawa yoyote inayoweza nisaidia sehemu nilipo hamna mental hospital.
 
Habar wana jamii, kwanza nianze kwa kusema mm ni mtu mwenye hasira sana, ninasumbuliwa na depression napenda kujiisolate na kukaa mwenyewe, tangu nimalize chuo sikutafuta kazi nimejifungia ndani huu mwaka wa tano, sikuwa naelewa tatizo langu nini Ila nimejua mwaka Jana kuwa shida ni mental health, tangu nikiwa mdogo sikuwa na ushirikiano na wenzangu na haswa pale nilipokuwa nikikutana na changamoto ninapata hasira mbaya sana... Sijawah kumwambia mtu coz sina mtu wa karibu wa kumweleza na mm ni msiri sana which I think inatokana na kuwa na ukichaa pia, je kuna dawa yoyote inayoweza nisaidia sehemu nilipo hamna mental hospital.
Pole sana,
Mwenyezi Mungu atajalia heri kama unamuamini.
Kila matatizo yanahuduma ya kwanza je, umejaribu kuanza na huduma gani ya kwanza?
 
Okay mi sio psychiatrist lakininaweza uliza au shauri vitu vichache.

Humu mitandaoni wengi tupo kama wewe, sema tumetofautiana level wengine zaidi wengine below yako.

Kwanini, usingeanza na kutuambia hobbies zako mfano Mpira, Basketi, Disko etc. kama hauna, ungeanza na kutafuta ilo kwanza. Hapo ndio utakutana na watu wa karibu ambao wangekusaidia zaidi. Kujificha nyuma ya keyboard haiwezi saidia.
 
Mpaka unadhani una kichaa basi ujue hauna kichaa.

Huwezi kuwa kichaa alafu ukajijua kuwa una kichaa.

Anyway, usiogope, kila mtu ni kichaa ila kichaa kinatofautiana.

Iwapo kila mmoja wetu kwa nyakati tofauti amewahi kufunga mlango akalala, ila baadaye akahisi hajafunga, na kuamka tena kukagua na kukuta umefungwa, basi hii ni dalili ya ukichaa
 
Mtafute pusha akupe kitu ukavute,kile kitu "Kipande" kinasaidia kufichua kichaa kilichojificha.
 
Kutokana na maelezo ya jamaa, hapo zipo possibilities mbili; inawezekana kweli jamaa anaanza kuugua ukichaa, au ana tatizo la kisaikolojia. Namshauri aanze kuwaona wataalamu wa saikolojia, wakiona hana tatizo hilo, awahi hospital ya magonjwa ya akili kabla tatizo halijakuwa kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi kuishi usiendekeze shobo na watu including your family it good to hear from you live ur life Mkuu.
 
Kichaa hawezi kujitambua yeye ni kichaa Mkuu.

Watu wengi wapo Kama wewe, hiyo ni moja ya athari za utandawazi na kukua Kwa Miji.

Zingatia, upweke Unaua, tafuta mke kisha OA upate challenge za kikubwa ili walau uwe mtu mzima mwenye majukumu
Kumbika kasema akikumbwa na changamoto anakua na hasira sana.

Akioa huyu ni rahisi kuua au kujeruhi akipata mashaka juu ya mkewe hata kidogo tu.
 
Kijana reply usaidiwe au hata hapa jukwaani hutaki id yako iwe inaonekana?
Wewr ni ke/me?
Unaishi kwenu au umepanga??
Hujatafuta kazi kwahiyo huna pa kujipatia kipato!? Unaishije na huo umri mkubwa?? (umemaliza chuo 5 yrs ago so hapo utakua late 20's au 30 kabisa)!!

Una mpenzi?? Ulishawahi kua nae?? Ilikuaje?
 
Back
Top Bottom