Ninahisi nina kichaa, tafadhali nisaidieni, msinikejeli wala kunisema...

Ninahisi nina kichaa, tafadhali nisaidieni, msinikejeli wala kunisema...

Watu wapweke ndio tabia zao hizo 😀😀
Hasira za kipuuzi wanakuwaga nazo.

Hata mume au mke aliyeolewa lakini mwenza wake Hana time Naye baadaye hujihisi upweke na matokeo yake huwa na kisirani, Gubu na hasira za kijinga.

Hili lipo zaidi Kwa wanawake walioolewa alafu wakawa hawapewi attention na waume zao hujihisi upweke na kujikuta na mahasira ya kijinga
Ndo tabu inaanzia hapo mkuu.
 
Habar wana jamii, kwanza nianze kwa kusema mm ni mtu mwenye hasira sana, ninasumbuliwa na depression napenda kujiisolate na kukaa mwenyewe, tangu nimalize chuo sikutafuta kazi nimejifungia ndani huu mwaka wa tano, sikuwa naelewa tatizo langu nini Ila nimejua mwaka Jana kuwa shida ni mental health

Tangu nikiwa mdogo sikuwa na ushirikiano na wenzangu na haswa pale nilipokuwa nikikutana na changamoto ninapata hasira mbaya sana.

Sijawahi kumwambia mtu coz sina mtu wa karibu wa kumweleza na mm ni msiri sana which I think inatokana na kuwa na ukichaa pia, je kuna dawa yoyote inayoweza nisaidia sehemu nilipo hamna mental hospital.
Pole sana ndugu , ulipo waishi na nani ? Je unaweza kuitafuta hospitali ya tatizo lako ?
Kama ndivyo basi mshauri huyo unaekaa naye akufikishe katika hospitali yenye uwezo n.a. shida yako ..

Ila ikiwa huna mtu wa karibu basi jikongoje mpaka hospitali ya magonjwa hayo upate tiba

Ila yote kwa yote jitahidi kupunguza hasira na punguza kujitenga na jamii lakini pia kula mboga za majani kwa wingi .

Ushauri tu pole sana

TEKERI.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Short and clear!!!
Nakushauri jisalimishe Milembe kesho
 
Back
Top Bottom