Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Kwa hiyo we ni kichaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa huo ukichaa huyo mke atapata shida sana, aende tu clinic za phycology awaelezee hata kama ni mbali lipa gharama za nauli na hotel nenda utapata huduma nzuri sana na matibabu ni siku moja tu unapewa dawa unakwenda kutumia alafu unapangiwa tarehe za kuwa unahudhulia clinic mpaka unapona hilo tatizo.Kichaa hawezi kujitambua yeye ni kichaa Mkuu.
Watu wengi wapo Kama wewe, hiyo ni moja ya athari za utandawazi na kukua Kwa Miji.
Zingatia, upweke Unaua, tafuta mke kisha OA upate challenge za kikubwa ili walau uwe mtu mzima mwenye majukumu
Ni kweli kabisa, asioe kabla ya tiba, tuna mtu wa hivyo katika famiia alioa kabla ya tiba ikawa shida wanawake wakawa wanakimbia ila baada ya tiba amepona ila dalili hatarishi zikimutokea anawasaliana na daktari wake pia watu wa hivyo wanapata ugonjwa wa presha mambo yao yasipokwenda wanavyotaka hivyo clinic ya magonjwa ya akili ni muhimu kwao.Kumbika kasema akikumbwa na changamoto anakua na hasira sana.
Akioa huyu ni rahisi kuua au kujeruhi akipata mashaka juu ya mkewe hata kidogo tu.
Ilikuwa michongo yangu way back enzi najifungia ndani kama mwali.Na mgegedo vipi ama anagegeda mikono
Ni kichaa anayejitambua, hizo ni tabia za mental disorder kabisa aende clinic ya phycology haraka.kwa hizi dalili wewe sio kichaa,ila una tabia ambazo unatakiwa kuzibadili.INAWEZEKANA.View attachment 2256650
Jamaa ni kichaa kwa kujiongezea,yani kasoma chuo kapaform fresh halafu aende kujifungia ndaniKwa hiyo we ni kichaa?
Mkuu, hapa unamaanisha wengine Kweny kioo wanaona mtu mwingine?[emoji1787][emoji23]Pole. Lkn ukichukua kioo ukajiangalia unaoyemuona ni wewe?
Kumbika kasema akikumbwa na changamoto anakua na hasira sana.
Akioa huyu ni rahisi kuua au kujeruhi akipata mashaka juu ya mkewe hata kidogo tu.
Mpaka unadhani una kichaa basi ujue hauna kichaa.
Huwezi kuwa kichaa alafu ukajijua kuwa una kichaa.
Anyway, usiogope, kila mtu ni kichaa ila kichaa kinatofautiana.
Iwapo kila mmoja wetu kwa nyakati tofauti amewahi kufunga mlango akalala, ila baadaye akahisi hajafunga, na kuamka tena kukagua na kukutwa umegingwa, basi hii ni dalili ya ukichaa
Tafuta demu tu ndio dawa yakoHabar wana jamii, kwanza nianze kwa kusema mm ni mtu mwenye hasira sana, ninasumbuliwa na depression napenda kujiisolate na kukaa mwenyewe, tangu nimalize chuo sikutafuta kazi nimejifungia ndani huu mwaka wa tano, sikuwa naelewa tatizo langu nini Ila nimejua mwaka Jana kuwa shida ni mental health
Tangu nikiwa mdogo sikuwa na ushirikiano na wenzangu na haswa pale nilipokuwa nikikutana na changamoto ninapata hasira mbaya sana.
Sijawahi kumwambia mtu coz sina mtu wa karibu wa kumweleza na mm ni msiri sana which I think inatokana na kuwa na ukichaa pia, je kuna dawa yoyote inayoweza nisaidia sehemu nilipo hamna mental hospital.
Unapata tabu bure,Habar wana jamii, kwanza nianze kwa kusema mm ni mtu mwenye hasira sana, ninasumbuliwa na depression napenda kujiisolate na kukaa mwenyewe, tangu nimalize chuo sikutafuta kazi nimejifungia ndani huu mwaka wa tano, sikuwa naelewa tatizo langu nini Ila nimejua mwaka Jana kuwa shida ni mental health
Tangu nikiwa mdogo sikuwa na ushirikiano na wenzangu na haswa pale nilipokuwa nikikutana na changamoto ninapata hasira mbaya sana.
Sijawahi kumwambia mtu coz sina mtu wa karibu wa kumweleza na mm ni msiri sana which I think inatokana na kuwa na ukichaa pia, je kuna dawa yoyote inayoweza nisaidia sehemu nilipo hamna mental hospital.
Kawaida bossBasi mim kichaa aisee
Naendaga kukagua mlango hata mara tatu kama nimefunga
Kwan usukuman ukijifungia ndan wanakuitia mwizi?Jamaa ni kichaa kwa kujiongezea,yani kasoma chuo kapaform fresh halafu aende kujifungia ndani
Angekuwa usukumani tayari angekuwa keshaitiwa masungusungu kwa kuhisiwa mwibhi