Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ndo tabu inaanzia hapo mkuu.Watu wapweke ndio tabia zao hizo ππ
Hasira za kipuuzi wanakuwaga nazo.
Hata mume au mke aliyeolewa lakini mwenza wake Hana time Naye baadaye hujihisi upweke na matokeo yake huwa na kisirani, Gubu na hasira za kijinga.
Hili lipo zaidi Kwa wanawake walioolewa alafu wakawa hawapewi attention na waume zao hujihisi upweke na kujikuta na mahasira ya kijinga
Swali zuri,tuanzie hapa kwanzaWe Ni ke au mee
Pole sana ndugu , ulipo waishi na nani ? Je unaweza kuitafuta hospitali ya tatizo lako ?Habar wana jamii, kwanza nianze kwa kusema mm ni mtu mwenye hasira sana, ninasumbuliwa na depression napenda kujiisolate na kukaa mwenyewe, tangu nimalize chuo sikutafuta kazi nimejifungia ndani huu mwaka wa tano, sikuwa naelewa tatizo langu nini Ila nimejua mwaka Jana kuwa shida ni mental health
Tangu nikiwa mdogo sikuwa na ushirikiano na wenzangu na haswa pale nilipokuwa nikikutana na changamoto ninapata hasira mbaya sana.
Sijawahi kumwambia mtu coz sina mtu wa karibu wa kumweleza na mm ni msiri sana which I think inatokana na kuwa na ukichaa pia, je kuna dawa yoyote inayoweza nisaidia sehemu nilipo hamna mental hospital.
[emoji849][emoji16]Huna kichaa, ila unamajini...
Fanya ibada utakuwa sawa.