Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuunganishe ununue nyumba ipo mitaa ya Mwananyamala MchanganiHabari wadau . Nimefanikiwa kukopa pesa bank hivyo nahitaji kiwanja kilichokuwq mjini maeneo ya mwanayamala, kinondoni na makumbusho. Ikishindikana kabisa nipate hata maeneo ya kawe
Kipo kinondoni mita 5 kwa mita 7 milion 9Habari wadau . Nimefanikiwa kukopa pesa bank hivyo nahitaji kiwanja kilichokuwq mjini maeneo ya mwanayamala, kinondoni na makumbusho. Ikishindikana kabisa nipate hata maeneo ya kawe
Kama yupo Tayari kuna Nyumba inauzwa Mwananyamala Mchangani ni Mil 45 ANITAFUTE PM.You are joking right?
Weka pichaKama yupo Tayari kuna Nyumba inauzwa Mwananyamala Mchangani ni Mil 45 ANITAFUTE PM.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Njoo PM nikupe namba ya muuzaji, ni nyumba ya urithi watoto wanaiuza kwasababu kila mtu anaishi mkoa wake.Weka picha
Nyumba ya urithiNjoo PM nikupe namba ya muuzaji, ni nyumba ya urithi watoto wanaiuza kwasababu kila mtu anaishi mkoa wake.
Muuzaji ni kaka yao na ndiye RAFIKI YANGU.
Nakupa namba hayo mambo ya picha mtamalizana wenyewe.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Wazazi wao wamefarikiNyumba ya urithi