Ninahitaji kiwanja maeneo ya Mwananyamala, Kinondoni na Makumbusho ofa milioni 20

Ninahitaji kiwanja maeneo ya Mwananyamala, Kinondoni na Makumbusho ofa milioni 20

Nikuunganishe ununue nyumba ipo mitaa ya Mwananyamala Mchangani
Bei 45Mil

Mi nakuunganisha na muuzaji kwa kukupa namba.

Mengine mtamalizana wenyewe.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Hicho ni kiwanja pia.hiyo haiwezi kuwa bei ya nyumba kwa mwananyamala.yaani ukipanunua hapo inabidi ubomoe ujenge nyumba nyingine
 
Nikuunganishe ununue nyumba ipo mitaa ya Mwananyamala Mchangani
Bei 45Mil

Mi nakuunganisha na muuzaji kwa kukupa namba.

Mengine mtamalizana wenyewe.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ndio maeneo gani mkuu hati?ukubwa?
 
Back
Top Bottom