Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
- Thread starter
-
- #61
Ni kweli nipo tayari kujifunza zaidi lakin siwezi zidisha hapo kwa mwaka wa kwanza,Hii 10% sio mbaya hata benki mtu haipati hii faida akiweka hela mwaka mzima kwa 10m.
Pia wewe umeweka security kwa investors(yaani hapotezi lolote hata iweje).
Ila kwa investors mwenye ku take risk anaona hii 10% ndogo sana.
Nadhani alipotaja machinery maanake ni asset ambazo zitaweza cover liabilities zote ikiwemo madeni kwahy suala la makubaliano na naona ni business nzuri ambyo hata mm binafsi npo tyr kuwa investor at its standing point Ila sio kwa kuchukua overall 10%Mi sijui hesabu za biashara na uchumi.
Ila niliona kwasababu wewe umepambania brand basi hiyo 10% ya annual profit iwe kwa mwaka wa kwanza then m waka unaofuata ipande iwe 15% kama asipojitoa mwekezaji...
Sawa mkuu nimepokea maoni yako10% kwa mwaka..lol ni ndogo
Then mwaka mmoja ni kipindi kifupi sana...
Lakini amesema hiyo 10% ni jumla ya faida yote ya mwaka, maanake kama imetengenezwa faida ya 100mil una mil 10 yako huku mtaji ukiwa pale pale na ww waka hujishughulishi na hiyo biashara unafanya mambo yako tu....! Sio mbayaHii 10% sio mbaya hata benki mtu haipati hii faida akiweka hela mwaka mzima kwa 10m.
Pia wewe umeweka security kwa investors(yaani hapotezi lolote hata iweje).
Ila kwa investors mwenye ku take risk anaona hii 10% ndogo sana.
Asante kwa kunielewa mkuuLakini amesema hiyo 10% ni jumla ya faida yote ya mwaka, maanake kama imetengenezwa faida ya 100mil una mil 10 yako huku mtaji ukiwa pale pale na ww waka hujishughulishi na hiyo biashara unafanya mambo yako tu....! Sio mbaya
10% is too low!, zidisha kidogo, hebu nijuze nitakapoweka cha kumi, I know nitakuwa dormant partner , how will I assure the arithmetic occuracy!?Asante kwa kunielewa mkuu
kwa Investment ya 10M ambayo unaweka una assurance ya kupata 25%+ profit ya 10 M yako hela ambayo hakuna benki wala UTT watakupa10% is too low!, zidisha kidogo, hebu nijuze nitakapoweka cha kumi, I know nitakuwa dormant partner , how will I assure the arithmetic occuracy!?
Hivyo kwa 10ml, napata 2.5ml,per annum!kwa Investment ya 10M ambayo unaweka una assurance ya kupata 25%+ profit ya 10 M yako hela ambayo hakuna benki wala UTT watakupa
SwadaktaHivyo kwa 10ml, napata 2.5ml,per annum!
2.5ml / 12 =208,000/-p.m
Si hata.
While his investment stand firmly!
Hapa umedadavua vizuri boss, nafikiri hapa issue kubwa itakuwa kuogopa risks!kwa Investment ya 10M ambayo unaweka una assurance ya kupata 25%+ profit ya 10 M yako hela ambayo hakuna benki wala UTT watakupa
The higher the riskHapa umedadavua vizuri boss, nafikiri hapa issue kubwa itakuwa kuogopa risks!
Kila heri sana! Nakuona kwenye next level.
BTW, huwezi kutafuta alternative ya kukopa kwenye financial institutions?
Nice presentation all the bestHeshima kwenu wakuu,
Ninahitaji mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi ni kiwanda kidogo kinachojihusisha na uzalishaji wa bidhaa za urembo Mafuta, sabuni, lotions, scrubs, serums nk
Biashara imesajiliwa na mamlaka zote na inajiendesha kihalali
Thamani ya biashara kwa sasa ni 20m
Ambayo inajumuisha machines na working capital
Uhai wa biashara ni miaka miwili na kuna feedback nzuri sana za wateja
Wateja
Tunatumia social media (duka mtandao)
Beauty botiques
Machinga (kkoo hawa tunawasambazia sabuni)
mawakala wa mikoani na nchi jirani (Congo,Malawi na Zambia)
Nahitaji mwekezaji awekeze 10m ambayo itaingia kwenye working capital na mwekezaji atapata 10% equity share huku mtaji wake ukiwa upo pale pale na endapo akaamua kusitisha mkataba atarudishiwa pesa yake kulingana na muda tutakao kubaliana
NB: 10% ni ownership, profit split ni annualy ambapo mwenye ownership ya 10% atapata 10% of the profit generated annualy.
Mwekezaji atakuwa mjumbe wa bodi pia kushiriki vikao vya bodi ya washauri tunavyofanya Kila baada ya miezi mitatu pia atapata access ya taarifa zote za biashara (sales,purchase,transactions and contracts) muda wowote atakaohitaji
Biashara ina team ya watu 6 na mawakala zaidi ya 20
Kwa ambae atakuwa interested
Karibu whatsapp 0769922210 nikutumie company profile,pitch deck,pitch video na financial reports za mwaka 2022-2023
Pia napokea appointment za meeting za ana kwa ana ofisini kwetu au zoom meeting kwa waliombali
Niwatakie mapumziko mema ya juma
Karibu unahitaji kujifunza nini?Napenda sana ujasiriamal na kujifunza hiv vitu. Km hutojali naomba kujifunza huu ujasiriamali ndug
Napenda sana ujasiriamal na kujifunza hiv vitu. Km hutojali naomba kujifunza huu ujasiriamali ndug
Utengenezaji wa hivo vipodoz na sabuni jpo na idea juu ya sabun iz za vipandaeKaribu unahitaji kujifunza nini?
SIDO ni mwalimu mzuri sana na itakusaidia kwenye vibaliUtengenezaji wa hivo vipodoz na sabuni jpo na idea juu ya sabun iz za vipandae
Hiyo ndo business model ninayotumia unaweza google "canvas business model" ukujaza hapo vizuri kabisa basi the sky is the
limitView attachment 2793583