Ninahitaji Mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi

Ninahitaji Mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi

Hii 10% sio mbaya hata benki mtu haipati hii faida akiweka hela mwaka mzima kwa 10m.

Pia wewe umeweka security kwa investors(yaani hapotezi lolote hata iweje).

Ila kwa investors mwenye ku take risk anaona hii 10% ndogo sana.
Ni kweli nipo tayari kujifunza zaidi lakin siwezi zidisha hapo kwa mwaka wa kwanza,

Acha tuone Mambo yataendaje
Kheri itapatikana tu
 
Mi sijui hesabu za biashara na uchumi.
Ila niliona kwasababu wewe umepambania brand basi hiyo 10% ya annual profit iwe kwa mwaka wa kwanza then m waka unaofuata ipande iwe 15% kama asipojitoa mwekezaji...
Nadhani alipotaja machinery maanake ni asset ambazo zitaweza cover liabilities zote ikiwemo madeni kwahy suala la makubaliano na naona ni business nzuri ambyo hata mm binafsi npo tyr kuwa investor at its standing point Ila sio kwa kuchukua overall 10%

Sent from my 21051182G using JamiiForums mobile app
 
Hii 10% sio mbaya hata benki mtu haipati hii faida akiweka hela mwaka mzima kwa 10m.

Pia wewe umeweka security kwa investors(yaani hapotezi lolote hata iweje).

Ila kwa investors mwenye ku take risk anaona hii 10% ndogo sana.
Lakini amesema hiyo 10% ni jumla ya faida yote ya mwaka, maanake kama imetengenezwa faida ya 100mil una mil 10 yako huku mtaji ukiwa pale pale na ww waka hujishughulishi na hiyo biashara unafanya mambo yako tu....! Sio mbaya
 
Lakini amesema hiyo 10% ni jumla ya faida yote ya mwaka, maanake kama imetengenezwa faida ya 100mil una mil 10 yako huku mtaji ukiwa pale pale na ww waka hujishughulishi na hiyo biashara unafanya mambo yako tu....! Sio mbaya
Asante kwa kunielewa mkuu
 
kwa Investment ya 10M ambayo unaweka una assurance ya kupata 25%+ profit ya 10 M yako hela ambayo hakuna benki wala UTT watakupa
Hapa umedadavua vizuri boss, nafikiri hapa issue kubwa itakuwa kuogopa risks!
Kila heri sana! Nakuona kwenye next level.

BTW, huwezi kutafuta alternative ya kukopa kwenye financial institutions?
 
Heshima kwenu wakuu,

Ninahitaji mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi ni kiwanda kidogo kinachojihusisha na uzalishaji wa bidhaa za urembo Mafuta, sabuni, lotions, scrubs, serums nk

Biashara imesajiliwa na mamlaka zote na inajiendesha kihalali

Thamani ya biashara kwa sasa ni 20m
Ambayo inajumuisha machines na working capital

Uhai wa biashara ni miaka miwili na kuna feedback nzuri sana za wateja

Wateja
Tunatumia social media (duka mtandao)
Beauty botiques
Machinga (kkoo hawa tunawasambazia sabuni)
mawakala wa mikoani na nchi jirani (Congo,Malawi na Zambia)

Nahitaji mwekezaji awekeze 10m ambayo itaingia kwenye working capital na mwekezaji atapata 10% equity share huku mtaji wake ukiwa upo pale pale na endapo akaamua kusitisha mkataba atarudishiwa pesa yake kulingana na muda tutakao kubaliana

NB: 10% ni ownership, profit split ni annualy ambapo mwenye ownership ya 10% atapata 10% of the profit generated annualy.

Mwekezaji atakuwa mjumbe wa bodi pia kushiriki vikao vya bodi ya washauri tunavyofanya Kila baada ya miezi mitatu pia atapata access ya taarifa zote za biashara (sales,purchase,transactions and contracts) muda wowote atakaohitaji

Biashara ina team ya watu 6 na mawakala zaidi ya 20

Kwa ambae atakuwa interested

Karibu whatsapp 0769922210 nikutumie company profile,pitch deck,pitch video na financial reports za mwaka 2022-2023

Pia napokea appointment za meeting za ana kwa ana ofisini kwetu au zoom meeting kwa waliombali

Niwatakie mapumziko mema ya juma
Nice presentation all the best
 
Napenda sana ujasiriamal na kujifunza hiv vitu. Km hutojali naomba kujifunza huu ujasiriamali ndug

Hiyo ndo business model ninayotumia unaweza google "canvas business model" ukujaza hapo vizuri kabisa basi the sky is the
limit
images.jpg
 
Back
Top Bottom