Ninahitaji Mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi

Ninahitaji Mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi

Yaani nimeshageuka mwizi? Naomba futa hiyo kauli ili twende vizuri

Nipo tayari kujifunza lakin sio kwakuniita MWIZI
Hii ndio changamoto y wasomi wasio fanyia kazi elimu zao. Naomba nikutoe shaka nasema PIGA KAZI.Pia huyu anaonekana maisha yamemchapa uko. Kanyaga twende tumechelewa mnoo
 
Hii ndio changamoto y wasomi wasio fanyia kazi elimu zao. Naomba nikutoe shaka nasema PIGA KAZI.Pia huyu anaonekana maisha yamemchapa uko. Kanyaga twende tumechelewa mnoo
Kweli mkuu waswahili wanasema raha ya ngoma uingie ucheze, biashara za kwenye makaratasi wanaona rahisi sana
 
Heshima kwenu wakuu,

Ninahitaji mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi ni kiwanda kidogo kinachojihusisha na uzalishaji wa bidhaa za urembo Mafuta, sabuni, lotions, scrubs, serums nk

Biashara imesajiliwa na mamlaka zote na inajiendesha kihalali

Thamani ya biashara kwa sasa ni 20m
Ambayo inajumuisha machines na working capital

Uhai wa biashara ni miaka miwili na kuna feedback nzuri sana za wateja

Wateja
Tunatumia social media (duka mtandao)
Beauty botiques
Machinga (kkoo hawa tunawasambazia sabuni)
mawakala wa mikoani na nchi jirani (Congo,Malawi na Zambia)

Nahitaji mwekezaji awekeze 10m ambayo itaingia kwenye working capital na mwekezaji atapata 10% equity share huku mtaji wake ukiwa upo pale pale na endapo akaamua kusitisha mkataba atarudishiwa pesa yake kulingana na muda tutakao kubaliana

NB: 10% ni ownership, profit split ni annualy ambapo mwenye ownership ya 10% atapata 10% of the profit generated annualy.

Mwekezaji atakuwa mjumbe wa bodi pia kushiriki vikao vya bodi ya washauri tunavyofanya Kila baada ya miezi mitatu pia atapata access ya taarifa zote za biashara (sales,purchase,transactions and contracts) muda wowote atakaohitaji

Biashara ina team ya watu 6 na mawakala zaidi ya 20

Kwa ambae atakuwa interested

Karibu whatsapp 0769922210 nikutumie company profile,pitch deck,pitch video na financial reports za mwaka 2022-2023

Pia napokea appointment za meeting za ana kwa ana ofisini kwetu au zoom meeting kwa waliombali

Niwatakie mapumziko mema ya juma
Umezungumza vitu vingi ila revenue hujagusia kabisa.
 
Mkuu niko na swali la mwisho je huo mkataba utakuwa wa permanent kama DP world au ni wa muda gani?
Kitu kingine naomba tuchekiane pm tupeane contacts ili anytime mgodi ukitema nakuwa nishapata sehemu ya kuwekeza.
Pesa kama hizi tulizichezea siku za nyuma kwa kutopata watu potential kama wewe.
God Bless you.
 
Mkuu niko na swali la mwisho je huo mkataba utakuwa wa permanent kama DP world au ni wa muda gani?
Kitu kingine naomba tuchekiane pm tupeane contacts ili anytime mgodi ukitema nakuwa nishapata sehemu ya kuwekeza.
Pesa kama hizi tulizichezea siku za nyuma kwa kutopata watu potential kama wewe.
God Bless you.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkataba wa diiPee tena.

Lazima kuna agreements nadhan as kampuni inatoa equity investment inaweza kua kwa muda kias chake probably 5years etc,. Mwenyewe anajua zaidi msubiri.
 
Mkuu niko na swali la mwisho je huo mkataba utakuwa wa permanent kama DP world au ni wa muda gani?
Kitu kingine naomba tuchekiane pm tupeane contacts ili anytime mgodi ukitema nakuwa nishapata sehemu ya kuwekeza.
Pesa kama hizi tulizichezea siku za nyuma kwa kutopata watu potential kama wewe.
God Bless you.
Naomba nije tu PM mkuu tuyajenge

Amen, I receive
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkataba wa diiPee tena.

Lazima kuna agreements nadhan as kampuni inatoa equity investment inaweza kua kwa muda kias chake probably 5years etc,. Mwenyewe anajua zaidi msubiri.
Asante sana mkuu
 
Bank wana Riba,
Imani yangu inanibana mno kwenye riba

Asante kwa ushauri mkuu

Jane!? How imani plus Riba? Kwani mtu akiwekeza si anapewa hio 10% (hio si sawa na riba)? Au shida kuitwa riba?
Any way kila la heri.
 
Jane!? How imani plus Riba? Kwani mtu akiwekeza si anapewa hio 10% (hio si sawa na riba)? Au shida kuitwa riba?
Any way kila la heri.
Hapana sio riba,akiwekeza anakuwa mmiliki Wa Biashara na Yeye,na ndio maana tunachogawana ni faida, nikama yeye katoa mtaji sisi tumefanya kazi
 
Najua. Najua pia ugumu wa mtu mwenye mtaji kuweka imani tu na kukupa huo mtaji. Kama ni mwislamu nenda NBC wana service zinazofuata misingi hio, islamic banking.
Nadhani tunahitaji elimu ya fedha zaidi
Keep digging ndugu yangu utakuja kunielewa mbele ya safari


Kuhusu mtu kuamini, kama wewe huwezi basi jua wapo wanaoweza,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani tunahitaji elimu ya fedha zaidi
Keep digging ndugu yangu utakuja kunielewa mbele ya safari


Kuhusu mtu kuamini, kama wewe huwezi basi jua wapo wanaoweza,

Sent using Jamii Forums mobile app

If it was that simple ungeshakuwa umepata. Hio elimu ya fedha unayozungumzia ni ipi!! So unazani unaelimu hio kunizidi mimi! Im not sure. 10m ni hela ndogo sana and yet unakuja kuomba mwekezaji JF. Tunakupa options unaleta dharau eti elimu ya fedha. Fyi hata ungehitaji 50m ipo under my capacity lakini najua biashara haifanyiki hivo.
Unless una motive tofauti na uwekezaji.
Kila la kheri.
 
If it was that simple ungeshakuwa umepata. Hio elimu ya fedha unayozungumzia ni ipi!! So unazani unaelimu hio kunizidi mimi! Im not sure. 10m ni hela ndogo sana and yet unakuja kuomba mwekezaji JF. Tunakupa options unaleta dharau eti elimu ya fedha. Fyi hata ungehitaji 50m ipo under my capacity lakini najua biashara haifanyiki hivo.
Unless una motive tofauti na uwekezaji.
Kila la kheri.
Ndio maana nikajijumuisha kuwa tunahitaji kama wewe elimu uliyonayo inakutosha to me i still need,
Kuhusu kuja JF wala isikusumbue mkuu kama watu wanapata hadi life partners humu kwanini mimi nisipate business investor?
biashara ni mapambano pia hongera sana na wewe
 
Heshima kwenu wakuu,

Ninahitaji mwekezaji kwenye biashara yangu ya uzalishaji wa vipodozi ni kiwanda kidogo kinachojihusisha na uzalishaji wa bidhaa za urembo Mafuta, sabuni, lotions, scrubs, serums nk

Biashara imesajiliwa na mamlaka zote na inajiendesha kihalali

Thamani ya biashara kwa sasa ni 20m
Ambayo inajumuisha machines na working capital

Uhai wa biashara ni miaka miwili na kuna feedback nzuri sana za wateja

Wateja
Tunatumia social media (duka mtandao)
Beauty botiques
Machinga (kkoo hawa tunawasambazia sabuni)
mawakala wa mikoani na nchi jirani (Congo,Malawi na Zambia)

Nahitaji mwekezaji awekeze 10m ambayo itaingia kwenye working capital na mwekezaji atapata 10% equity share huku mtaji wake ukiwa upo pale pale na endapo akaamua kusitisha mkataba atarudishiwa pesa yake kulingana na muda tutakao kubaliana

NB: 10% ni ownership, profit split ni annualy ambapo mwenye ownership ya 10% atapata 10% of the profit generated annualy.

Mwekezaji atakuwa mjumbe wa bodi pia kushiriki vikao vya bodi ya washauri tunavyofanya Kila baada ya miezi mitatu pia atapata access ya taarifa zote za biashara (sales,purchase,transactions and contracts) muda wowote atakaohitaji

Biashara ina team ya watu 6 na mawakala zaidi ya 20

Kwa ambae atakuwa interested

Karibu whatsapp 0769922210 nikutumie company profile,pitch deck,pitch video na financial reports za mwaka 2022-2023

Pia napokea appointment za meeting za ana kwa ana ofisini kwetu au zoom meeting kwa waliombali

Niwatakie mapumziko mema ya juma
Niuzie biashara nzima kwa 10mil halafu wewe nikufanye CEO niwe nakulipa 1mil per month.
 
Back
Top Bottom