Ninaingia kwenye maombi dakika 10 kuvunja matambiko na uchawi wa timu inayotumia mvua kubeba nyota yao . Huo uchawi haufanyi kazi leo

Ninaingia kwenye maombi dakika 10 kuvunja matambiko na uchawi wa timu inayotumia mvua kubeba nyota yao . Huo uchawi haufanyi kazi leo

Kwani wakati tunawapiga kono la nyani mvua si ilinyesha tena nyingi kuliko hii lakini mtu jioni akala kono la nyani.
 

Attachments

  • FB_IMG_17092318215078852.jpg
    FB_IMG_17092318215078852.jpg
    297.5 KB · Views: 1
Kwanini mchawi akikutana na nguvu za Mungu anaamini uchawi...kweli mchawi hana akili kabisa
 
Back
Top Bottom