Pre GE2025 Ninaiona dola ikiweka utaifa mbele na CHADEMA ikishinda uchaguzi mkuu 2025

Pre GE2025 Ninaiona dola ikiweka utaifa mbele na CHADEMA ikishinda uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Mwaka 2025 ni mwaka wa ukombozi wa Umma .

Tundu lissu na CHADEMA itashinda kwa imani kwamba yatafanyika yafuatayo:-

1.Tundu lissu ataimarisha umoja chamani , kuongeza wanachama hai na kuwa na kipato kikubwa chamani .

2.Kupooza majeraha ya wafuasi wa Magufuli , Tundu lissu ni muhanga wa utawala wa awamu ya Tano lakini hakuna namna utatenganisha mapenzi ya watanzania kwa hayati Magufuli

Kuna wana CCM na wananchi wengi sana ni wafuasi wa Magufuli, hakuna namna ya kuwafurahisha zaidi ya kusema mazuri yake

3.kila kitu huwa kina mwanzo na mwisho CDM tukicheza siasa vizuri dola itakuwa upande wa Umma

Soma:
 
Kama Lissu anaweza kuishawishi timu magufuli kuja kuongeza nguvu CDM basi 2025 itakuwa kimbunga.

Lakini kabla ya yote hizo timu mbili za uchaguzi wa ndani wanatakiwa wote wawe wamoja, makovu yote yapigwe pilipili kichaa ya unga yapone fasta.

Kuwavuta hao jamaa ni lazima waone kwanza CDM wote wapo pamoja timu Mbowe na Timu Lissu.

Yote yawezekana, Lissu anamuhitaji Mbowe kukamilisha hii project maana muda ni mchache.
 
Kuna kinabii cha kike kutoka visiwani kilitabiri kwamba hatuwezi kubadilishana nchi na vipande vya karatasi. Acha tuone, NO REFORMATION, NO ELECTION.
 
Kama Lissu anaweza kuishawishi timu magufuli kuja kuongeza nguvu CDM basi 2025 itakuwa kimbunga.

Lakini kabla ya yote hizo timu mbili za uchaguzi wa ndani wanatakiwa wote wawe wamoja, makovu yote yapigwe pilipili kichaa ya unga yapone fasta.

Kuwavuta hao jamaa ni lazima waone kwanza CDM wote wapo pamoja timu Mbowe na Timu Lissu.

Yote yawezekana, Lissu anamuhitaji Mbowe kukamilisha hii project maana muda ni mchache.
Hakika patachimbika
 
Mwaka 2025 ni mwaka wa ukombozi wa Umma .

Tundu lissu na CHADEMA itashinda kwa imani kwamba yatafanyika yafuatayo:-

1.Tundu lissu ataimarisha umoja chamani , kuongeza wanachama hai na kuwa na kipato kikubwa chamani .

2.Kupooza majeraha ya wafuasi wa Magufuli , Tundu lissu ni muhanga wa utawala wa awamu ya Tano lakini hakuna namna utatenganisha mapenzi ya watanzania kwa hayati Magufuli

Kuna wana CCM na wananchi wengi sana ni wafuasi wa Magufuli, hakuna namna ya kuwafurahisha zaidi ya kusema mazuri yake

3.kila kitu huwa kina mwanzo na mwisho CDM tukicheza siasa vizuri dola itakuwa upande wa Umma
Nilipokuwa mdogo nilijua baba ndo mwamba kuliko wanaume wote Duniani, baada ya kukua nikajionea mwenyewe nilichokuwa nakijua ulikuwa uongo, Ukikua hutachukua muda mrefu kwenye kibody kuandika Riwaya kama hii ya kujifariji mwenyewe.
 
Mkuu kimsingi sijaelewa unazungumzia dola ipi hapo??!!! Kama dola ya marekani naweza kukuelewa. Ila kama unazungumzia dola kwa maana ya kuitoa CCM Ikulu bado mkuu akili yangu IMEKATAA.
 
Mkuu kimsingi sijaelewa unazungumzia dola ipi hapo??!!! Kama dola ya marekani naweza kukuelewa. Ila kama unazungumzia dola kwa maana ya kuitoa CCM Ikulu bado mkuu akili yangu IMEKATAA.
Kuna mwanzo kati na mwisho
 
Kama Lissu anaweza kuishawishi timu magufuli kuja kuongeza nguvu CDM basi 2025 itakuwa kimbunga.

Lakini kabla ya yote hizo timu mbili za uchaguzi wa ndani wanatakiwa wote wawe wamoja, makovu yote yapigwe pilipili kichaa ya unga yapone fasta.

Kuwavuta hao jamaa ni lazima waone kwanza CDM wote wapo pamoja timu Mbowe na Timu Lissu.

Yote yawezekana, Lissu anamuhitaji Mbowe kukamilisha hii project maana muda ni mchache.
Kwani Mbowe amefukuzwa cdm hadi useme Lisu anamuhitaji Mbowe? Usimpe Mbowe umuhimu asiokuwa nao boss. Yeye Mbowe ajue ana wajibu kwa chama na Taifa, sio suala la kutaka aitwe kuombwaombwa.
 
Kwani Mbowe amefukuzwa cdm hadi useme Lisu anamuhitaji Mbowe? Usimpe Mbowe umuhimu asiokuwa nao boss. Yeye Mbowe ajue ana wajibu kwa chama na Taifa, sio suala la kutaka aitwe kuombwaombwa.
Leo umemkana mbowe hadharani
 
Leo umemkana mbowe hadharani
Huenda unarukia hoja hapa jukwaani kiasi huoni watu wanachangia nini. Mimi ni mmoja wa watu tuliokuwa tunasema Mbowe hastahili tena kuwa mwenyekiti wa cdm toka amchukue Lowasa. Sikuwahi kubadilisha msimamo wangu huo, na uko hadharani toka 2015. Tafuta popote ninapokubali Mbowe kuwa mwenyekiti wa cdm toka wakati huo, ukipaona nipigwe ban ya maisha hapa jukwaaani.
 
Mwaka 2025 ni mwaka wa ukombozi wa Umma .

Tundu lissu na CHADEMA itashinda kwa imani kwamba yatafanyika yafuatayo:-

1.Tundu lissu ataimarisha umoja chamani , kuongeza wanachama hai na kuwa na kipato kikubwa chamani .

2.Kupooza majeraha ya wafuasi wa Magufuli , Tundu lissu ni muhanga wa utawala wa awamu ya Tano lakini hakuna namna utatenganisha mapenzi ya watanzania kwa hayati Magufuli

Kuna wana CCM na wananchi wengi sana ni wafuasi wa Magufuli, hakuna namna ya kuwafurahisha zaidi ya kusema mazuri yake

3.kila kitu huwa kina mwanzo na mwisho CDM tukicheza siasa vizuri dola itakuwa upande wa Umma
Hàkuna upinzani wa kweli utatoka nje ya CCM. Kama CCM haitameguka na kufanya upinzani, Chadema na tundu lissu hawawezi badilisha chochote!
CCM itaendelea kutawala hata waweke mgombea toka burundi.
Ona kizimkazi anavyosigina katiba na wátanganyika wametoa machogo tuu.
 
Mwaka 2025 ni mwaka wa ukombozi wa Umma .

Tundu lissu na CHADEMA itashinda kwa imani kwamba yatafanyika yafuatayo:-

1.Tundu lissu ataimarisha umoja chamani , kuongeza wanachama hai na kuwa na kipato kikubwa chamani .

2.Kupooza majeraha ya wafuasi wa Magufuli , Tundu lissu ni muhanga wa utawala wa awamu ya Tano lakini hakuna namna utatenganisha mapenzi ya watanzania kwa hayati Magufuli

Kuna wana CCM na wananchi wengi sana ni wafuasi wa Magufuli, hakuna namna ya kuwafurahisha zaidi ya kusema mazuri yake

3.kila kitu huwa kina mwanzo na mwisho CDM tukicheza siasa vizuri dola itakuwa upande wa Umma
Sirikali haiwezi kushindwa na mtu mmoja hata siku Moja mpaka Taifa Zima lizinduke Yani namana sirikali Ina Siri hasa basi tu
 
Back
Top Bottom