Tundu lissu na CHADEMA itashinda kwa imani kwamba yatafanyika yafuatayo:-
1.Tundu lissu ataimarisha umoja chamani , kuongeza wanachama hai na kuwa na kipato kikubwa chamani .
2.Kupooza majeraha ya wafuasi wa Magufuli , Tundu lissu ni muhanga wa utawala wa awamu ya Tano lakini hakuna namna utatenganisha mapenzi ya watanzania kwa hayati Magufuli
Kuna wana CCM na wananchi wengi sana ni wafuasi wa Magufuli, hakuna namna ya kuwafurahisha zaidi ya kusema mazuri yake
3.kila kitu huwa kina mwanzo na mwisho CDM tukicheza siasa vizuri dola itakuwa upande wa Umma
Tundu lissu na CHADEMA itashinda kwa imani kwamba yatafanyika yafuatayo:-
1.Tundu lissu ataimarisha umoja chamani , kuongeza wanachama hai na kuwa na kipato kikubwa chamani .
2.Kupooza majeraha ya wafuasi wa Magufuli , Tundu lissu ni muhanga wa utawala wa awamu ya Tano lakini hakuna namna utatenganisha mapenzi ya watanzania kwa hayati Magufuli
Kuna wana CCM na wananchi wengi sana ni wafuasi wa Magufuli, hakuna namna ya kuwafurahisha zaidi ya kusema mazuri yake
3.kila kitu huwa kina mwanzo na mwisho CDM tukicheza siasa vizuri dola itakuwa upande wa Umma
Wakuu, Leo mbali na kuwa ni Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA pia wanasherekea Miaka 32 ya CHADEMA kupata Usajili wa Kudumu, ambapo ulipatikana Januari 21, 1993. https://www.youtube.com/watch?v=6W33TIKrrOE Mbivu na mbichi kujulikana leo, tumeona mengi na kusikia mengi kila upande ukitetea kwake. Je...
Tundu lissu na CHADEMA itashinda kwa imani kwamba yatafanyika yafuatayo:-
1.Tundu lissu ataimarisha umoja chamani , kuongeza wanachama hai na kuwa na kipato kikubwa chamani .
2.Kupooza majeraha ya wafuasi wa Magufuli , Tundu lissu ni muhanga wa utawala wa awamu ya Tano lakini hakuna namna utatenganisha mapenzi ya watanzania kwa hayati Magufuli
Kuna wana CCM na wananchi wengi sana ni wafuasi wa Magufuli, hakuna namna ya kuwafurahisha zaidi ya kusema mazuri yake
3.kila kitu huwa kina mwanzo na mwisho CDM tukicheza siasa vizuri dola itakuwa upande wa Umma
Wakuu, Leo mbali na kuwa ni Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA pia wanasherekea Miaka 32 ya CHADEMA kupata Usajili wa Kudumu, ambapo ulipatikana Januari 21, 1993. https://www.youtube.com/watch?v=6W33TIKrrOE Mbivu na mbichi kujulikana leo, tumeona mengi na kusikia mengi kila upande ukitetea kwake. Je...
Ni kama amepunguza sana kumsema. Anatakiwa asamehe ili kundi kubwa la wafuasi wa JPM limuunge mkono. Kuna kura nyingi sana atazizoa kwa kuyasema mazuri aliyoyafanya
Tundu lissu na CHADEMA itashinda kwa imani kwamba yatafanyika yafuatayo:-
1.Tundu lissu ataimarisha umoja chamani , kuongeza wanachama hai na kuwa na kipato kikubwa chamani .
2.Kupooza majeraha ya wafuasi wa Magufuli , Tundu lissu ni muhanga wa utawala wa awamu ya Tano lakini hakuna namna utatenganisha mapenzi ya watanzania kwa hayati Magufuli
Kuna wana CCM na wananchi wengi sana ni wafuasi wa Magufuli, hakuna namna ya kuwafurahisha zaidi ya kusema mazuri yake
3.kila kitu huwa kina mwanzo na mwisho CDM tukicheza siasa vizuri dola itakuwa upande wa Umma
Wakuu, Leo mbali na kuwa ni Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA pia wanasherekea Miaka 32 ya CHADEMA kupata Usajili wa Kudumu, ambapo ulipatikana Januari 21, 1993. https://www.youtube.com/watch?v=6W33TIKrrOE Mbivu na mbichi kujulikana leo, tumeona mengi na kusikia mengi kila upande ukitetea kwake. Je...
Ni kama amepunguza sana kumsema. Anatakiwa asamehe ili kundi kubwa la wafuasi wa JPM limuunge mkono. Kuna kura nyingi sana atazizoa kwa kuyasema mazuri aliyoyafanya
Huenda unarukia hoja hapa jukwaani kiasi huoni watu wanachangia nini. Mimi ni mmoja wa watu tuliokuwa tunasema Mbowe hastahili tena kuwa mwenyekiti wa cdm toka amchukue Lowasa. Sikuwahi kubadilisha msimamo wangu huo, na uko hadharani toka 2015. Tafuta popote ninapokubali Mbowe kuwa mwenyekiti wa cdm toka wakati huo, ukipaona nipigwe ban ya maisha hapa jukwaaani.
Hàkuna upinzani wa kweli utatoka nje ya CCM. Kama CCM haitameguka na kufanya upinzani, Chadema na tundu lissu hawawezi badilisha chochote!
CCM itaendelea kutawala hata waweke mgombea toka burundi.
Ona kizimkazi anavyosigina katiba na wátanganyika wametoa machogo tuu.
Tundu lissu na CHADEMA itashinda kwa imani kwamba yatafanyika yafuatayo:-
1.Tundu lissu ataimarisha umoja chamani , kuongeza wanachama hai na kuwa na kipato kikubwa chamani .
2.Kupooza majeraha ya wafuasi wa Magufuli , Tundu lissu ni muhanga wa utawala wa awamu ya Tano lakini hakuna namna utatenganisha mapenzi ya watanzania kwa hayati Magufuli
Kuna wana CCM na wananchi wengi sana ni wafuasi wa Magufuli, hakuna namna ya kuwafurahisha zaidi ya kusema mazuri yake
3.kila kitu huwa kina mwanzo na mwisho CDM tukicheza siasa vizuri dola itakuwa upande wa Umma
Wakuu, Leo mbali na kuwa ni Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA pia wanasherekea Miaka 32 ya CHADEMA kupata Usajili wa Kudumu, ambapo ulipatikana Januari 21, 1993. https://www.youtube.com/watch?v=6W33TIKrrOE Mbivu na mbichi kujulikana leo, tumeona mengi na kusikia mengi kila upande ukitetea kwake. Je...
Tundu lissu na CHADEMA itashinda kwa imani kwamba yatafanyika yafuatayo:-
1.Tundu lissu ataimarisha umoja chamani , kuongeza wanachama hai na kuwa na kipato kikubwa chamani .
2.Kupooza majeraha ya wafuasi wa Magufuli , Tundu lissu ni muhanga wa utawala wa awamu ya Tano lakini hakuna namna utatenganisha mapenzi ya watanzania kwa hayati Magufuli
Kuna wana CCM na wananchi wengi sana ni wafuasi wa Magufuli, hakuna namna ya kuwafurahisha zaidi ya kusema mazuri yake
3.kila kitu huwa kina mwanzo na mwisho CDM tukicheza siasa vizuri dola itakuwa upande wa Umma
Wakuu, Leo mbali na kuwa ni Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA pia wanasherekea Miaka 32 ya CHADEMA kupata Usajili wa Kudumu, ambapo ulipatikana Januari 21, 1993. https://www.youtube.com/watch?v=6W33TIKrrOE Mbivu na mbichi kujulikana leo, tumeona mengi na kusikia mengi kila upande ukitetea kwake. Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.