Ninaipenda Taifa Stars Ila Nasikitika Kusema kuwa Inaendwa kufungwa na DR Congo pale pale Kwa Mkapa

Wakati unaingia vitani, huhitaji kuwa na watu wenye mawazo ya kisaliti kama ya kwako kwani hukatisha tamaa!

ikikupendeza na kuonesha kuwa uko matured ungefuta tu hii post yako!

Katoa mtizamo wake na sababu zake na kweli tumekufa vibaya [emoji28][emoji28]
 
Niliacha kuishabikia taifa stars tulipokandamizwa nne na akina mamadoe niang,naamini ulikuwa uamuzi sahihi sana hongereni bana Kongo kwa kuwafunga taifa stars.
😁😁😁😁
 
Genius
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…